Hao ndo wanawake huwa awajui wanataka Nini mfanyie ubaya atakuona WA maana kwake.Binafsi nimeliona kwangu!!
Nilichukua kinyoka kikiwa kidogo sana Tena kinatia huruma huko kwao,nikakaleta nikakalea Leo limekua joka kubwa hadi linasema eti nililichukua coz lilikua linahela Kwa akaunti!wakati hata senti lilikua halina!!
Hongera ya nini?Aisee,hongera kwakuwala
Hata wewe ni binti wa mtu aliyekula binti wa mtu na sasa wewe binti yake unaliwa na mtoto wa mtu mwingineNawewe binti yako au mjukuu wako watamtafuna bila huruma
OkHongera ya nini?
Kukula ni hitaji la msingi kwa kila kiumbe wala sio sifa wala ushujaa.
Anayekula anafurahia na anayeliwa anafurahia
Uko poa lkn?
yeah niko poa,just missing youUko poa lkn?
Missing you too kipenzi❤️yeah niko poa,just missing you
Chapa ilale na yule main chick ni yule ambaye humzingatii😀😀😀yaani ni wa kawaida kishenzi maisha full burdani.Mi hata siku Moja sitakagi kua ktk uhusiano na Mwanamke ninae naempenda najua madhara yake
Umetumia akili sana , ungeongea tu mwanamke watu wangesema mama Yako, dada zako. Si wanawake hahahaha Bora mama Yako KASEMA mapema.Mi katika maisha yangu nimeishi sana na Mjomba wangu katika Jambo ambalo Mjomba wangu alinikataza sana alisema'" mpwa wangu katika Maisha yako usioe mke unaempenda"
Hili Jambo Mjomba alinisisitiza mara nyingi sana.
Katika Jambo ambalo mama yangu alinisisitiza sana ni katika swala la utunzaji wa Fedha, Mama yangu alinikataza sana nisiwe Mwepesi wa kutoa Fedha kwa mwanamke.
Mama yangu aliniambia "Mwanamke Hana Upendo na mwanaume ila anaupendo na Vitu unavyompa na pesa yako, kama hauna kitu mwanamke hatokua karibu na wewe, sasa Ili uishi kwa Raha hakikisha pesa na Mali zako azipotei kwa sababu ya mwanamke au mapenzi"
Na siku nyingine mama yangu aliniambia mwanangu" Usimuamini mwanamke ulienae katika mapenzi, na usimpende sana mwanamke, siku akijua kua unampenda ndo mwanzo wa kuaribu Maisha yako"
Pia siku nyingine mama yangu aliniambia USIWEKEZE kwa Mwanamke, alirudia Tena USIWEKEZE kwa Mwanamke Mwanamke Hana kumbukumbu ya mema unayomtendea ila ana kumbukumbu mbaya utakayo mtendea, USIWEKEZE kwa Mwanamke.
"Katika Maisha hautakiwi kumuamini mwanamke, hata iweje Usimuamini, mwanamke ni Nyoka,
Nyoka Paswi kuaminiwa.
Mi hata siku Moja sitakagi kua ktk uhusiano na Mwanamke ninae naempenda najua madhara yake
📌Huna akili!!!Vijana mnashindana kuwa makungwi wa mapenzi JF.
Wewe kama ni kijana wa kiume.Wewe ni a waste sperm!!!!Mama yako nae ana ushetani au ni wanawake wengine tu yeye ni special? Anaacha kukupa ushauri wa maana wa maisha na namna za kutafuta pesa anakupa ushauri wa hovyo. Wamatumbi mna safari ndefu.
📌Huna akili!!!Masikini hela yenyewe ya kula tu shida halafu ndio unatoa ushauri wa jinsi ya kuishi na mwanamke
Hii nchii imejaa ujinga mwingi sana
📌Wewe ni genius💪Mama yako yupo sawa maana anazungumza na kitu anachokijua maana naye pia ni mwanamke kwaiyo anajijua alivyo na alivyokuwa na baba yako kwaiyo hataki mwanae apite huko ndo maana mwanamke anapenda mwanaume anayeonga ila hapendi mwanae wakiume awe anaonga hela
Huu mtego GOLD DIGGERS wengi huwa wananasa asubuhi na mapema🤣🤣🤣🤣🤣Mama yako alimaliza Kila kitu.
Katika vitu huwa namjaribu mwanamke niliye na malengo naye ni kumnyima pesa nione kama Bado atakuwa tayari kuwa nami
Huu ni moja ya ushauri wa kishetani kabisa.Ambao huwezi kumshauri mtoto wako wa kiume.Acheni utapeli nyie mashetani.Sifa ya realman lazima ujiamini , tafuta mwanamke mpambanaji, asiye mbinafsi lako lake ,lake lako ....achana na mambo ya mali zangu sijui Nye Nye Nye nyi nyi mxieeew
📌Huna akili!!!Tayari huko kishaumana...hayo umeyakanyaga mwenyewe usisingizie wanawake wote
Bado ananuka maziwa hyo achana nae😀😀Kuna kitu kinaniambia wewe bado ni mchanga sana kwenye mahusiano na kitu kinaniambia utakuja lizwa vibaya sana siku zijazo.
Unajicontradict you moron....shame upon you!!!DUNIA inatudanganya sana na kusababisha MAISHA yakae mbali na SISI 👉 haiingii akilini MTU anakushauri usioe mwanamke unae mpenda how? Mantiki yake hapa uone mwanamke unae mchukia?
May be angekushauri hivi 👉 usioe mwanamke ambaye una Mapenzi makubwa juu yake B'se Msingi wa NDOA ukiwa ni Mapenzi mwisho wake huwa ni mchungu kama pakanga
Note 👉 Mapenzi huwa yana expire i.e huwa yanaisha Ndio maana Msingi wa NDOA ukiwa ni mapenzi ni HATARI b'se mapenzi yakiexpire/yakiisha na NDOA inaisha 😁