Usimuoe mwanamke kama hujawahi kukesha naye msibani ama kushinda naye shambani. Utamuacha ghafla.

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Siku hizi wanawake wanavyoonekana makazini sivyo walivyo majumbani kwao. Ukimshitukiza mwanamke nyumbani kwake anaweza kagoma kutoka nje kwa kuwa anakuwa kwenye muonekano halisi ambao haujauzoeleka

Kila kitu ni bandia siku hizi:-kope, kucha, shape, rangi, makalio, matiti na sura.

Kabla hujaoa mpitishe kwenye matukio yatakayopukutisha hayo makitu bandia ili uuone uhalisia.


 
nyumbani tunakua na sura za kushindia jamani, Ile kama umetoka jela, kwani ni dhambi?? 😂😂
 
Sio kumpitisha wanawake wa kaliba hiyo utamuona anaamka tu mwenyewe na kuelekea kwenye matukio bila hata kumwambia! Labda tu nikazie malezi yanachangia kwa kiasi kikubwa.
 
Sipendi wanawake wanaovaa makeup mara kwa mara. They're so fake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…