Usimuonee huruma Mwanamke

We jamaa nakuonaga mara nyingi sana humu sina shaka kama huna vinasaba vya Aggrey ama Dulvani maana kwenye mada za malaya unajifanyaga mtetezi sana. Napata mashaka na washeli yako kama kweli bado itakuwa sealed!

Mkuu[emoji23]
 
We jamaa nakuonaga mara nyingi sana humu sina shaka kama huna vinasaba vya Aggrey ama Dulvani maana kwenye mada za malaya unajifanyaga mtetezi sana. Napata mashaka na washeli yako kama kweli bado itakuwa sealed!
Kwamba hana Stamala Wajada kwa mwaikimba hakupo salama [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lakini ndoa zinatukuta kwa bahati mbaya Sana!sitokaa nifunge ndoa na mwanamke yeyote tutalea watoto tu!!!

mkuu una maana gani kusema mtalea watoto TU, una maanisha kuwa utalea ukiwa nao mjengoni japo hujafunga nae ndoa ama utalea nao watoto mkiwa mbali mbali!!?
 
[emoji38][emoji38] sawa mkuu. Asante kwa ushauri. Lkn ivi hutuonei kweli jmn


Nawapenda Sana.
Na nawaheshimu Sana
Siwezi kuwaonea na sijawahi kuonea mtoto wa kike.


Lakini huruma Kwa kweli sina nanyi.

Tena mwanamke akitaka nimchukie alete mambo ya kutaka kuonewa huruma huruma za kipuuzi. Huyo tunashindwana mapema Sana.

Na hii nakuelekeza nawe, muepuke mtu anayependa kuonewa huruma. Tena usimuonee mtu huruma utakuja kunishukuru.

MPE mtu anachostahili.
 
Such an empowering masculine thread . I approve and accept the context. U r officially a GOAT.
 
Wanawake asilimia kubwa tamaa mbele
Ndomana sahv asilimia kubwa wanaliwa
Jichoo

Ova

mnawala jicho halafu mnasingizia warabu wanapenda jicho kumbe sisi waafrica ndio mchezo wetu kudaadek
 

fake story
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…