Usimuonee huruma Mwanamke

wanawake ni waajabu ukiwa mwanaume huchepuki kuna time anazusha kelele tu ukiwa unachepuka kelele ukiwa unawahi kurudi home anakuzoea mwisho kelele ukichelewa ulikuwa wap yaan ilimrad taflani tu na ndio sabab wanaume tunakufa mapema
 
Kama unachukia wanawake kivyako, usiambukize wengine, bye.
Badilikeni acheni ubishi ubishi na ukichwa ngumu. Mbona mgumu kuelewa wewe? Unakomaza kichwa kama koboko(sorry it was not intentional). Mchukiwe kwa lipi nyie wanawake wa Bongo?!
 
wanawake ni waajabu ukiwa mwanaume huchepuki kuna time anazusha kelele tu ukiwa unachepuka kelele ukiwa unawahi kurudi home anakuzoea mwisho kelele ukichelewa ulikuwa wap yaan ilimrad taflani tu na ndio sabab wanaume tunakufa mapema
Dawa ni kuwapuuza kila wanachosema
 
wanawake ni waajabu ukiwa mwanaume huchepuki kuna time anazusha kelele tu ukiwa unachepuka kelele ukiwa unawahi kurudi home anakuzoea mwisho kelele ukichelewa ulikuwa wap yaan ilimrad taflani tu na ndio sabab wanaume tunakufa mapema
Ndivyo walivyo awaeleweki.
 
wanawake ni waajabu ukiwa mwanaume huchepuki kuna time anazusha kelele tu ukiwa unachepuka kelele ukiwa unawahi kurudi home anakuzoea mwisho kelele ukichelewa ulikuwa wap yaan ilimrad taflani tu na ndio sabab wanaume tunakufa mapema
Ukiwa fala fala utakufa tu mapema
 
Badilikeni acheni ubishi ubishi na ukichwa ngumu. Mchukiwe kwa lipi nyie wanawake wa Bongo?!

Naona ushaambukizwa ugonjwa wa kuchukia wanawake... hapa unatafuta mwanamke mbongo wa ku attack, poleeeeeeeeeeeee hujanipata bado, byeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…