Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
Three W's involved
1.Women
2.Wine
3.Wars
Rome empire collapsed under three W's
1.Women
2.Wine
3.Wars
Rome empire collapsed under three W's
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Three W's involved
1.Women
2.Wine
3.Wars
Rome empire collapsed under three W's
Lete story mkuu, maana mama watoto anapambana nirudiane nae baada ya kuachika alipoolewa hukoMtoa Uzi upo sahihi sana, hasa Mwanamke akikuacha akirudi tena akiomba Msamaha MSAMEHE kama Binadamu ila USIKUBALI USIKUBALI USIKUBALI kurudiaana nae hata alie vipi, hawa Viumbe acha kabisa #yashanikuta
Mara nyingi kurudi kwake sio kwa ajili ya mapenzi, ila hali ishakua tete..... utafanywa kitega uchumi hadi ujute, mpaka unakuja kustuka ushachelewa na hua wapole kweli kweli anajishusha hasaLete story mkuu, maana mama watoto anapambana nirudiane nae baada ya kuachika alipoolewa huko
Ndo anachofanya sasa, kawa mpole kweli kweli nawaza nimfanyie nini ili aache kunitafuta nakosa jibuMara nyingi kurudi kwake sio kwa ajili ya mapenzi, ila hali ishakua tete..... utafanywa kitega uchumi hadi ujute, mpaka unakuja kustuka ushachelewa na hua wapole kweli kweli anajishusha hasa
Kakaaaa hayo maigizo tu ukimkaribisha huyo utaanzisha uzi humu, kaza Moyo mchane kua huwezi kua nae tena..... narudia YASHANIKUTA MWENZAKOOOONdo anachofanya sasa, kawa mpole kweli kweli nawaza nimfanyie nini ili aache kunitafuta nakosa jibu
Nilishamwambia, aliniomba tuonane kwenda kumsikiliza manaanza kuniomba msamaha na kuniomba tufunge ndoa kabla ya Ramadhan kuanzaKakaaaa hayo maigizo tu ukimkaribisha huyo utaanzisha uzi humu, kaza Moyo mchane kua huwezi kua nae tena..... narudia YASHANIKUTA MWENZAKOOOO
Simama na msimamo wako ukimkaribisha tena sidhani kama kuna mapenzi hapoNilishamwambia, aliniomba tuonane kwenda kumsikiliza manaanza kuniomba msamaha na kuniomba tufunge ndoa kabla ya Ramadhan kuanza
, nikamjibu, "kwa sasa sihitaji kuishi na mwanamke na hata kama itatokea nikahitaji nitamuoa mwanamke niliyenae" kisha nikaondoka
Mtoa Uzi upo sahihi sana, hasa Mwanamke akikuacha akirudi tena akiomba Msamaha MSAMEHE kama Binadamu ila USIKUBALI USIKUBALI USIKUBALI kurudiaana nae hata alie vipi, hawa Viumbe acha kabisa #yashanikuta
Katika mazingira gani?Nimekuelewa sana mkuu
Inawezkana nimekuelewa zaidi ya wewe uliyeandika namna ambavyo umeelewa
Mwanamke si wakuonewa huruma
Mkuu ni story ndefu ila mwanamke tofauti na mama ako mzazi hawa wengine ni kujitoa muhanga tuKatika mazingira gani?
Aliniacha akarudi akatia tia huruma nikampokea alichonifanya mh!!!!Toa ushuhuda Mkuu
Wamekufanyaje mkuu,funguka hapa tupate funzo na sisi.Doh!!cna la kuchangia kwenye ili kwakuwa nimechelewa.
"Ucmuonee huruma mwanamke'Ni maneno niliyokuwa nayackia kila cku ila ckuyajua kabisa umuhim wake.
Ila sasa nimeyajua.Nami naludia kusema tena ucmuonee huruma mwanamke.
heshima??? wtf??? heshima ya niniHakika, mwanamke si wa kuonewa huruma.
Ukimpata mwanamke anaekuelewa na ukamuelewa, atakachohitaji toka kwako ni heshima na upendo; sio huruma zako!!
Mwizukulu Mgikuru[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tuliishashtuka kitambo sana mkuu
Duuuh maji ya moto??Sitosahau,jamaa yangu alifumania massage ya kimapenzi kwa mkewake wa ndoa,Alivomuuliza juu ya nini kinaedelea mwanamke kachukia mpaka kumwagia mmewake maji ya moto,Hawa viumbe sio
Duh maji ya moto?Sitosahau,jamaa yangu alifumania massage ya kimapenzi kwa mkewake wa ndoa,Alivomuuliza juu ya nini kinaedelea mwanamke kachukia mpaka kumwagia mmewake maji ya moto,Hawa viumbe sio