Usimuonee huruma Mwanamke

Maandishi wa huu uzi nahisi ni mmojawapo wa wale wanaoendesha kampeni ya KATAA NDOA kama wanashabihiana vile
 
Shukran sana kaka kwa kurasimisha hili,,,maana wengi tunakuwa hatusikilizi roho zetu,,,tunasikiliza niulize yetu ndo maana wanatuteka kirahisi,,,,
 
Mkuu tunasubiri mwongozo au road map ya kutembea nayo 2024 unatupa Elimu kubwa Sana mkuu barikiwa Sana.
 
Shemeji yako naye poyoyo yaani kuwa na hela tu basi akili hana
 
Mkuu kumbuka unaishi na watu hauishi na wanyama.....hii ni misemo tu hapo ulipo hata maji unachota kwa jirani harafu unajidanya Do no favor to any one😆😆😆
 
roja roja!!!!!
 
Nakubaliana na wewe kwa asilimia 150. Mwanamke sio wa kumuonea huruma kabisa, wana roho mbaya sana, yani mwanamke kukumaliza ni jambo la fasta sanaaa. Hawana huruma kabisa.
 
Ni kweli wanawake wanamatukio mengi sana ya kikatili na kipumbavu tunayaona na kuyasikia Kila siku kikubwa ni kuishi nao Kwa akili tu Kwa kweli never trust a woman
 
Nakubaliana na wewe kwa asilimia 150. Mwanamke sio wa kumuonea huruma kabisa, wana roho mbaya sana, yani mwanamke kukumaliza ni jambo la fasta sanaaa. Hawana huruma kabisa.
Na mwanao wa kike naye hivyo hivyo.
 
Ni kweli wanawake wanamatukio mengi sana ya kikatili na kipumbavu tunayaona na kuyasikia Kila siku kikubwa ni kuishi nao Kwa akili tu Kwa kweli never trust a woman
Mbona report zinaonesha Ukatiri Wa wanaume dhidi ya. wanawake? Mnataka kumdanganya nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…