Usimuonee huruma Mwanamke

Asante feminist katika ubora wako!!
 
Ww ndo chizi, sema ngoja tukusamehe na upumbavu wako.
 
Nakubali [emoji109]
 
Hapo kwenye kumpoteza ndio sijaelewa, yani kama kwenye awamu ya tano au?
 
Mwanamke unaweza ukamnunulia chupi ikavuliwa na wengine.Unaweza ukajikosha kwake ukampiga lunch jion akalazwa na mhuni [emoji36]
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… mwanamke ni kiumbe complex ku deal nae unatakiwa kuwa na akili haswa! Ukiwa boya lazima usande...Enjoy love as it lasts!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ