Usimuonee huruma Mwanamke

Usimuonee huruma Mwanamke

USIMUONEE HURUMA MWANAMKE.

Kwa Mkono wa Robert Heriel.

Wangestahili huruma lakini si sasa.
Wangestahili kupendwa lakini si Zama hizi.
Wangestahili kujaliwa na kuheshimiwa lakini hiyo ingefaa Zama zile sio Zama hizi.

Hata zamani walipokuwa wanasifa za wanawake hawakuonewa huruma sembuse sasa ambapo wamepoteza sifa ya uanamke Kwa 90%. Sasa hivi ndio hawapaswi kuonewa huruma hata kidogo.

Ni Mama zetu, shangazi zetu, wake zetu, dada na Bibi zetu lakini kamwe usimuonee mwanamke huruma hasa katika Zama hizi. Ni kitanzi na kaburi lako mwenyewe.

Siwafundishi roho mbaya Kwa maana sio asili yetu wanaume. Sisi ni watu wema tangu kale mpaka pale huruma mbaya ilipotuingia na hapo ndipo ubaya ukatuingia.

Jitahidi kuwa mbinafsi Kwa kadiri utakavyoweza ili kujifurahisha wewe mwenyewe kuliko kuhangaika kumfurahisha mwanamke. Haitakusaidia popote pale zaidi ya kujiumiza na kuonekana kazi bure.

Usimuonee huruma Mwanamke hata Kama macho yako na akili yako vinaona anastahili kuonewa huruma.

Pengine Mama Yako tuu angalau huyo waweza mkumbuka kidogo lakini waliobaki cheza nao Kwa akili nyingi huruma sifuri.

Huruma yako iwe na maslahi mapana. Apate kumi upate Mia. Apate Mia upate elfu. Usitumie moyo wako, tumia akili.

Usiwe na huruma Kwa maana wanawake hupenda kuonewa huruma Kwa wale watu wasiowapenda, huziweka nyuso zao za huruma ili kukulaghai na kuziteka hisia zako, usiwaangalie usoni wala usisikie sauti zao pindi Wazungumzapo.

Walakini usimsahau mke WA ujana wako ukamtendee wema ikiwa ulimchukua akiwa means mwali bikra Safi. Huyo na Mama yako walau unaweza wapa huruma yako kidogo hata Kama wangekutenda makosa kadha wa kadha.

Lakini kama hawana sifa hizo kamwe huruma yako isiwe karibu na Mwanamke.

Pia usitake huruma zozote kutoka Kwa yeyote, tena akiwa mwanamke ndio usizitafute huruma zake.

Sina la ziada. Mwaka mpya mwema

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Makanya, Kilimanjaro
Mkuu ROBERT HERIEL una akili nyingi sana, nakupa pongezi kwa post zako mbalimbali maana unaziandaa kwa akili kubwa sana.
 
Aiseeee [emoji26][emoji26][emoji26]wanawake tuna msalaba jmn Leo Tu kuna dada kafariki kwa uzazi kaacha katoto kachanga afu watoto wenywe tunaozaa ndo nyie mnakuja kutunanga na kutudhalilisha duh hii dunia kweli sio yetu[emoji30][emoji30][emoji30]asante mtoa Mada [emoji24][emoji24]!!

Sent from my SCV39 using JamiiForums mobile app
Wanawake wanaojielewa sikuhizi ni sawa na 5% ambao wanaponzwa na 95% ya wapuuzi! Poleni sana ila population sample inawacost!

95% women are hoes ni ukweli mchungu ila that seems true...Fatilia tu kwa utaratibu utagundua jinsi walivyooza, kama mtu atarubuniwa kwa pesa ajichomeke chupa na kujirekodi ni mtu huyo?

Ikumbukwe obvious alikuwa ana kibwana chake ambacho walikuwa katika serious relationship terms constantly wanawasiliana ila behind his back demu ana engage kufanya mambo ya hatari namna hio.
 
MWANAMKE :

1) Aliungana na Shetani kumfanya Adam amkosee Mungu muumbaji wake.

2) Alitumiwa na shetani kuchunguza siri ya Samson na mwishowe akamsaliti, Samson akatobolewa macho na kuteswa sana na Wafilisti

3) Aliungana na Shetani kumdharau Ayubu na kumwambia amwache Mungu wake kabisa.

4) Aliambiwa na Mungu asigeuke nyuma, akageuka na kuwa jiwe la chumvi.

NB: Hata leo ugomvi mkubwa wa Mwanaume na Mungu unasababishwa na Mwanamke.

Tuishi nao huku tukiwafahamu walivyo
 
Aiseeee [emoji26][emoji26][emoji26]wanawake tuna msalaba jmn Leo Tu kuna dada kafariki kwa uzazi kaacha katoto kachanga afu watoto wenywe tunaozaa ndo nyie mnakuja kutunanga na kutudhalilisha duh hii dunia kweli sio yetu[emoji30][emoji30][emoji30]asante mtoa Mada [emoji24][emoji24]!!

Sent from my SCV39 using JamiiForums mobile app
kwendaaaaa
 
Screenshot_20211231-060712.jpg
 
Mleta mada ni mwanaume nimekufuatilia sana Unaandika sana kuhusu wanawake!!! Sio wanaume wenzio!!! Kulikoni ?

Wataalamu wa saikolojia na utabibu husema kuwa wanaume wengi wanaopenda sana kuvaa kiike,au kuwasema sana wanawake wengi huwa ni mashoga Kwa mujibu wa tafiti zao.Sijui kwa upande wako wewe
 
Aiseeee [emoji26][emoji26][emoji26]wanawake tuna msalaba jmn Leo Tu kuna dada kafariki kwa uzazi kaacha katoto kachanga afu watoto wenywe tunaozaa ndo nyie mnakuja kutunanga na kutudhalilisha duh hii dunia kweli sio yetu[emoji30][emoji30][emoji30]asante mtoa Mada [emoji24][emoji24]!!

Sent from my SCV39 using JamiiForums mobile app
Wewe huoni tu hata SSH anavyoandamwa, dunia hii tembeeni taratibu.

On a serious note, utandawazi umewabadilisha sana wanawake. Tusipoangalia wanaume tutakuwa tunakufa na miaka 45 wallah, ngoja tu tupeane madini ya jinsi ya kuishi na ninyi.
 
Kuna demu mmoja alikuwa analia& kujitia vihuruma kwangu kuwa hana hela ya Krismas,alisema atapika zake wali maharage siku ipite.Sikutuma hela nikamuahidi kumpelekea zawadi kesho geto kwake,siku ya boxing day jion nikafunga safari kumpelekea zawadi zake,nilijiongeza kidogo nikanunua zawadi neutral,anaweza kuzitumia hata mwanaume.Nikiwa njiani nlimtumia sms kuwa naenda kwake,nilipofika kwake nilimpigia kama mara mbili lakini hakupokea,kwa kuwa tulikuwa tunaishi karibu niliamua kujongea zangu geto kwangu nikiwa nimemaindi,zile zawadi nikajizawadia.Baadaye demu akanipigia akilalamikia zawadi zake na kusema kwamba muda nilipopiga alikuwa saluni.Niliamua kupotezea nikamwambia afate zawadi zake kwangu,akasema boy friend wake kamkataza kwenda mageto ya watu usiku.Nikamdanganya nina laki mbili cash mkononi kwa ajili yake,alikuja mbio nikala mzigo afu zile zawadi nilizificha,niliendea pedi za buku dukani,nikampiga swaga alipomaindi akazikubali akasepa.
Hawa wanawake unatakiwa kucheza Kama Pele.Hata ajilize vipi unatakiwa kutumia akili[emoji108]
 
Aiseeee [emoji26][emoji26][emoji26]wanawake tuna msalaba jmn Leo Tu kuna dada kafariki kwa uzazi kaacha katoto kachanga afu watoto wenywe tunaozaa ndo nyie mnakuja kutunanga na kutudhalilisha duh hii dunia kweli sio yetu[emoji30][emoji30][emoji30]asante mtoa Mada [emoji24][emoji24]!!

Sent from my SCV39 using JamiiForums mobile app


Kuweni wanawake kamili sio mashetani katika motherboard ya kike
 
USIMUONEE HURUMA MWANAMKE.

Kwa Mkono wa Robert Heriel.

Wangestahili huruma lakini si sasa.
Wangestahili kupendwa lakini si Zama hizi.
Wangestahili kujaliwa na kuheshimiwa lakini hiyo ingefaa Zama zile sio Zama hizi.

Hata zamani walipokuwa wanasifa za wanawake hawakuonewa huruma sembuse sasa ambapo wamepoteza sifa ya uanamke Kwa 90%. Sasa hivi ndio hawapaswi kuonewa huruma hata kidogo.

Ni Mama zetu, shangazi zetu, wake zetu, dada na Bibi zetu lakini kamwe usimuonee mwanamke huruma hasa katika Zama hizi. Ni kitanzi na kaburi lako mwenyewe.

Siwafundishi roho mbaya Kwa maana sio asili yetu wanaume. Sisi ni watu wema tangu kale mpaka pale huruma mbaya ilipotuingia na hapo ndipo ubaya ukatuingia.

Jitahidi kuwa mbinafsi Kwa kadiri utakavyoweza ili kujifurahisha wewe mwenyewe kuliko kuhangaika kumfurahisha mwanamke. Haitakusaidia popote pale zaidi ya kujiumiza na kuonekana kazi bure.

Usimuonee huruma Mwanamke hata Kama macho yako na akili yako vinaona anastahili kuonewa huruma.

Pengine Mama Yako tuu angalau huyo waweza mkumbuka kidogo lakini waliobaki cheza nao Kwa akili nyingi huruma sifuri.

Huruma yako iwe na maslahi mapana. Apate kumi upate Mia. Apate Mia upate elfu. Usitumie moyo wako, tumia akili.

Usiwe na huruma Kwa maana wanawake hupenda kuonewa huruma Kwa wale watu wasiowapenda, huziweka nyuso zao za huruma ili kukulaghai na kuziteka hisia zako, usiwaangalie usoni wala usisikie sauti zao pindi Wazungumzapo.

Walakini usimsahau mke WA ujana wako ukamtendee wema ikiwa ulimchukua akiwa means mwali bikra Safi. Huyo na Mama yako walau unaweza wapa huruma yako kidogo hata Kama wangekutenda makosa kadha wa kadha.

Lakini kama hawana sifa hizo kamwe huruma yako isiwe karibu na Mwanamke.

Pia usitake huruma zozote kutoka Kwa yeyote, tena akiwa mwanamke ndio usizitafute huruma zake.

Sina la ziada. Mwaka mpya mwema

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Makanya, Kilimanjaro
UKIONA HIVI UJUE KESHA UMIZWA MTU HUKO
 
Biblia inasema wanawake ni dhaifu halafu hapo hapo inasema tuishi nao kwa akili hivi kitu dhaifu unatumia akili kuishi nacho??
Kule eden apart from lile tunda kuna mambo mengine ambayo shetani aliongea na mwanamke ambayo sisi wanaume hatutakaa tuyaelewe kamwe.
Ndio maana kile kitabu mimi nimeacha kukiamini kabisa!? Siwezi kusoma huku naambiwa hivi halafu mbeleni kinakuja kujikengeusha chenyewe.
 
Mnavyowananga wanawake utadhan nyie n perfect human being in each and every angle of you,,, hamkosei nyie [emoji2376] hamna madhaifu ?
Kwann wakiona kibanzi jichon mwa jiran au ndugu yako na hapo hapo huitoi boriti iliyoko jichon mwako ?
Acheni hizo bhn [emoji57]
 
USIMUONEE HURUMA MWANAMKE.

Kwa Mkono wa Robert Heriel.

Wangestahili huruma lakini si sasa.
Wangestahili kupendwa lakini si Zama hizi.
Wangestahili kujaliwa na kuheshimiwa lakini hiyo ingefaa Zama zile sio Zama hizi.

Hata zamani walipokuwa wanasifa za wanawake hawakuonewa huruma sembuse sasa ambapo wamepoteza sifa ya uanamke Kwa 90%. Sasa hivi ndio hawapaswi kuonewa huruma hata kidogo.

Ni Mama zetu, shangazi zetu, wake zetu, dada na Bibi zetu lakini kamwe usimuonee mwanamke huruma hasa katika Zama hizi. Ni kitanzi na kaburi lako mwenyewe.

Siwafundishi roho mbaya Kwa maana sio asili yetu wanaume. Sisi ni watu wema tangu kale mpaka pale huruma mbaya ilipotuingia na hapo ndipo ubaya ukatuingia.

Jitahidi kuwa mbinafsi Kwa kadiri utakavyoweza ili kujifurahisha wewe mwenyewe kuliko kuhangaika kumfurahisha mwanamke. Haitakusaidia popote pale zaidi ya kujiumiza na kuonekana kazi bure.

Usimuonee huruma Mwanamke hata Kama macho yako na akili yako vinaona anastahili kuonewa huruma.

Pengine Mama Yako tuu angalau huyo waweza mkumbuka kidogo lakini waliobaki cheza nao Kwa akili nyingi huruma sifuri.

Huruma yako iwe na maslahi mapana. Apate kumi upate Mia. Apate Mia upate elfu. Usitumie moyo wako, tumia akili.

Usiwe na huruma Kwa maana wanawake hupenda kuonewa huruma Kwa wale watu wasiowapenda, huziweka nyuso zao za huruma ili kukulaghai na kuziteka hisia zako, usiwaangalie usoni wala usisikie sauti zao pindi Wazungumzapo.

Walakini usimsahau mke WA ujana wako ukamtendee wema ikiwa ulimchukua akiwa means mwali bikra Safi. Huyo na Mama yako walau unaweza wapa huruma yako kidogo hata Kama wangekutenda makosa kadha wa kadha.

Lakini kama hawana sifa hizo kamwe huruma yako isiwe karibu na Mwanamke.

Pia usitake huruma zozote kutoka Kwa yeyote, tena akiwa mwanamke ndio usizitafute huruma zake.

Sina la ziada. Mwaka mpya mwema

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Makanya, Kilimanjaro
Me nimekuelewa, upo sahihi [emoji122]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom