Usimuonee huruma Mwanamke

kabla ya yote kwanza tueleze ulichotendwa na hawa viumbe kisha tuanze kutiririka sio bure lazima kuna kitu
 
Taja udhaifu wa mwanaume Aya mmoja tu
 
Wanaume naturally ni viumbe dhaifu, tumependelewa tu uwezo wa kufikiria deep ila nafikiri ndo inatucost pia, maana yanapohitajika maamuzi ya haraka ni hatari kwa mwanaume.
Wasagaji bhna mpo vzur
 
Matatzo yote dunian yamesababishwa na wanawake wa ovyo kuzalisha wanaume wa ovyo , ukiona mwanaume mdhaifu jua mama yake ndo chanzo
Ukiona kizazi dhaifu juwa BABA NDIYE CHANZO.
BABA NDIO ANAEZAA NA MAMA HUJIFUNGUA TUÙ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…