Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nalo nenoZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZA KWAKO
Du pole sana mkuu. Hao wote wametendwa kwa namna moja au nyingine na Wenza waoChuki yangu imepelekewa na wadada wawili mwaka huu. Dada kanitongoza mwenyewe anadai katendwa huko alikokuwa. Nimekamua vizuri na kumjali. Kumbe mke wa mtu kanificha. sometimes nachat naye mpaka saa 6 usiku mumewe akiwepo. huu si unyama mkuu? je ningetatuliwa rinda ingekuweje?
wa pili hivyo hivyo,huyu sasa alizidi mpaka akanitegea mimba. kumbe kaolewa bwana ake anaishi mbali
Hizo ni weakness za kitengo chako cha ujasusi tu mkuu.Chuki yangu imepelekewa na wadada wawili mwaka huu. Dada kanitongoza mwenyewe anadai katendwa huko alikokuwa. Nimekamua vizuri na kumjali. Kumbe mke wa mtu kanificha. sometimes nachat naye mpaka saa 6 usiku mumewe akiwepo. huu si unyama mkuu? je ningetatuliwa rinda ingekuweje?
wa pili hivyo hivyo,huyu sasa alizidi mpaka akanitegea mimba. kumbe kaolewa bwana ake anaishi mbali
Mkuu unawaelewa kwa kiasi fulani wanawake. Hongera kwa hiloUmepuyanga sana bila kufafanuwa usimuonee huruma mwanamke kivipi?
Visa vingi mnavyotendewa na wanawake mara nyingi ni matokeo ya wivu wa kupitiliza na kutojiamini kwao.
Mimi nina watoto wakubwa na ni binti ambaye yungali mdogo ndio namuona will take care me kuliko makaka zake ambao kazi yao itakuwa kujipendekeza kwa wakwe zao na kumjari mama yao zaidi.
Nimestudy kwa muda mrefu mtoto wa kike ana faida kwa Baba kuliko mtoto wa kiume, sasa hapa unapohubiri tusiwaonee huruma wanawake wakati wao ndio wana huruma zaidi siwezi kukuelewa.
Nimekutana sana na visa vya wanawake lakini havihalalishi kusupport hoja yako, labda mimi naweza kukubaliana na Biblia tuishi nao kwa akili.
Ukiwa na mwanamke hesabu kama upo kwenye mchezo wa chase, mvhezo wa chase unahitaji matumizi ya akili kwa muda wote wa mchezo.
Ukiishi na mwanamke kwa akili wala hutopata stress ingawa changamoto ndio ubinadamu wenyewe.
Unachopaswa siyo kumuonea huruma bali timiza majukumu yako ya kiume naye ajisikie yupo na mwanaume kamili.
Huo ni ukweli dhahiriHizo ni weakness za kitengo chako cha ujasusi tu mkuu.
Halafu si kila aliyepo kwenye ndoa ni mke wa mtu, wengine walitaka tu hizo status kwa ajili ya vyeti, marupurupu kazini na uhamisho.
Hakuna ndoa ya mke kuficha kwamba hajaolewa hapo hakuna ndoa hata kama wanaishi pamoja.
Umesema vizuri,wanahitaji kutumia akili sana unapoishi nao,hasa wale waliokwisha kujeruhiwa kwa kutendwa,be very careful with them...Umepuyanga sana bila kufafanuwa usimuonee huruma mwanamke kivipi?
Visa vingi mnavyotendewa na wanawake mara nyingi ni matokeo ya wivu wa kupitiliza na kutojiamini kwao.
Mimi nina watoto wakubwa na ni binti ambaye yungali mdogo ndio namuona will take care me kuliko makaka zake ambao kazi yao itakuwa kujipendekeza kwa wakwe zao na kumjari mama yao zaidi.
Nimestudy kwa muda mrefu mtoto wa kike ana faida kwa Baba kuliko mtoto wa kiume, sasa hapa unapohubiri tusiwaonee huruma wanawake wakati wao ndio wana huruma zaidi siwezi kukuelewa.
Nimekutana sana na visa vya wanawake lakini havihalalishi kusupport hoja yako, labda mimi naweza kukubaliana na Biblia tuishi nao kwa akili.
Ukiwa na mwanamke hesabu kama upo kwenye mchezo wa chase, mvhezo wa chase unahitaji matumizi ya akili kwa muda wote wa mchezo.
Ukiishi na mwanamke kwa akili wala hutopata stress ingawa changamoto ndio ubinadamu wenyewe.
Unachopaswa siyo kumuonea huruma bali timiza majukumu yako ya kiume naye ajisikie yupo na mwanaume kamili.
Jamaa hajanitumia Ila ingia kule twita utamuona mtu anaikatikia chupa mkuu afu anajipiga Dole mpaka analegea kabisa. Anarusha kiuno utadhani akashikwa na kifafa Kama sio kifaduroMkuu ukiipata ni fowadei
Kama unajihisi hutaweza kumpenda kwa dhati mwanamke Yaani mkuu ni bora ukabebelee chokoraa kuliko mwanamke mwenye majeraha ya kutendwa kwani atakuhesabia siku miezi na miaka tu ila lazima akutende zaidi ya alivyotendwa yeyeUmesema vizuri,wanahitaji kutumia akili sana unapoishi nao,hasa wale waliokwisha kujeruhiwa kwa kutendwa,be very careful with them...
Haijarishi amejeruhiwa au ndio anaanza, ishi kwa akili na mwanamke siku zote wakati wote.Umesema vizuri,wanahitaji kutumia akili sana unapoishi nao,hasa wale waliokwisha kujeruhiwa kwa kutendwa,be very careful with them...
Mi nikiangalia wanaume wengi wanaishi maisha magumu baada ya kudhulumiwa na wake zao. Mtu anachukua kila kitu.Hamdhulumiwi na mtu mkuu hilo ni MOJA YA MADHAIFU YA MWANAMUME
Ukiona hivyo ujue huyo mwanamume alikuwa ana jengea "chini" na mwanamke alijenga juu ya ardhiMi nikiangalia wanaume wengi wanaishi maisha magumu baada ya kudhulumiwa na wake zao. Mtu anachukua kila kitu.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Nut zishalegeaWe jamaa nakuonaga mara nyingi sana humu sina shaka kama huna vinasaba vya Aggrey ama Dulvani maana kwenye mada za malaya unajifanyaga mtetezi sana. Napata mashaka na washeli yako kama kweli bado itakuwa sealed!
Wamemlegeza backstage[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Nut zishalegea