Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi wangekuwa na huruma wamuachie hata pakuanziaUkiona hivyo ujue huyo mwanamume alikuwa ana jengea "chini" na mwanamke alijenga juu ya ardhi
Hv hawanawake mnaowangelea hawana faida MAMA zenu mnawaweka....??Yaani wanawake wamekuja duniani kuharibu ustaarabu wa wanaume tu, sijaona faida yao. Sasa mtu unamuhangaikia anakuua abaki na Mali! Mungu amewaonya sana wanaume kuhusu wanawake, lakini wengi ni sikio la kufa!
[emoji3][emoji3] Mkuu sijui umemaanisha Nini kwenye hii post, wengine kutafsiri maana inatupa shida sanaKumbukumbu la Torati 24:5
[5]Mtu atwaapo mke mpya, asiende vitani pamoja na jeshi, wala asipewe shughuli juu yake yo yote; akae faragha mwaka mmoja nyumbani mwake, apate mfurahisha mkewe aliyemtwaa.
Hakuna dhaifu zaidi yao mkuuKwamba wanaume wako perfect???
Aachiwe wapi naye atakuwa kamalizia kwa michepuko isiyo na idadi Acha tu wataabike wakiambiwa FAINALI UZEENI wao wanadhani ni dhihakaBasi wangekuwa na huruma wamuachie hata pakuanzia
Hakuna limbwatas mkuu ni udhibiti tu ukiongea kidogo kakupa, ukikohoa kakugea, ukivuta pumzi, mkandamizu, Ukitabasamu kakuachia HAPO HUCHOMOI mkuuAmbae hajaoa hatakuelewa ila aliyeoa atakuelewa.. Vitabu vitakatifu vinasema tuishi nao kwa kutumia akili. Mwanamke ana uwezo wa kukuteka dakika sifuri. Kwa Wakristu, Adam alidanyanywa na Eva. Tafakari kwa makini. Akishindwa kabisa utapigwa libwata la uhakika uhangaike nalo mpaka ushike adabu.
Kama hujawahi kukojoa kwenye uchi wa mwanamke ni haki yako useme hawana faida,Yaani wanawake wamekuja duniani kuharibu ustaarabu wa wanaume tu, sijaona faida yao. Sasa mtu unamuhangaikia anakuua abaki na Mali! Mungu amewaonya sana wanaume kuhusu wanawake, lakini wengi ni sikio la kufa!
Kama hujawahi kukojoa kwenye uchi wa mwanamke ni haki yako useme hawana fai
MWANAMKE HAHITAJI HURUMA YAKO, ANAJIWEZA IDARA ZOOOTETunaishi na slogan yako mkuu hatutowahurumia kabisa.
Unataka kumteka umtese au, kumbuka mwanamke ni msaidizi wa mwanaume Kwahiyo mshauri mkuu wa mwanaume ni mwanamkeMWANAMKE HAHITAJI HURUMA YAKO, ANAJIWEZA IDARA ZOOOTE
Nina tetea UWEZO mkubwa alionao mwanamke katika IDARA ZOTE tofauti na MeUnataka kumteka umtese au, kumbuka mwanamke ni msaidizi wa mwanaume Kwahiyo mshauri mkuu wa mwanaume ni mwanamke
Sheria za mirathi zibadilishwe, urithi wote uwe wa watoto tu.Yaani wanawake wamekuja duniani kuharibu ustaarabu wa wanaume tu, sijaona faida yao. Sasa mtu unamuhangaikia anakuua abaki na Mali! Mungu amewaonya sana wanaume kuhusu wanawake, lakini wengi ni sikio la kufa!
Acha kuwa inferior kwa kiumbe ambacho kilitokana na ubavu wakoNina tetea UWEZO mkubwa alionao mwanamke katika IDARA ZOTE tofauti na Me
[emoji1787][emoji23]Mwanamke unaweza ukamnunulia chupi ikavuliwa na wengine.Unaweza ukajikosha kwake ukampiga lunch jion akalazwa na mhuni [emoji36]