Usimuonee huruma Mwanamke

Usimuonee huruma Mwanamke

Yaani wanawake wamekuja duniani kuharibu ustaarabu wa wanaume tu, sijaona faida yao. Sasa mtu unamuhangaikia anakuua abaki na Mali! Mungu amewaonya sana wanaume kuhusu wanawake, lakini wengi ni sikio la kufa!
 
Yaani wanawake wamekuja duniani kuharibu ustaarabu wa wanaume tu, sijaona faida yao. Sasa mtu unamuhangaikia anakuua abaki na Mali! Mungu amewaonya sana wanaume kuhusu wanawake, lakini wengi ni sikio la kufa!
Hv hawanawake mnaowangelea hawana faida MAMA zenu mnawaweka....??
PUNGUZENI ukali wa maneno kisa mmeumizwa na vijanamke vyenu visivyo na akili...Heshimuni na MAMA zenu...eti mwanamke hana faida na alikuelea miezi 9....mnajitafutia laana..mkuingea muwe specific kuwataja hao wanawanake ni wapi......
 
Ambae hajaoa hatakuelewa ila aliyeoa atakuelewa.. Vitabu vitakatifu vinasema tuishi nao kwa kutumia akili. Mwanamke ana uwezo wa kukuteka dakika sifuri. Kwa Wakristu, Adam alidanyanywa na Eva. Tafakari kwa makini. Akishindwa kabisa utapigwa libwata la uhakika uhangaike nalo mpaka ushike adabu.
 
Kumbukumbu la Torati 24:5
[5]Mtu atwaapo mke mpya, asiende vitani pamoja na jeshi, wala asipewe shughuli juu yake yo yote; akae faragha mwaka mmoja nyumbani mwake, apate mfurahisha mkewe aliyemtwaa.
[emoji3][emoji3] Mkuu sijui umemaanisha Nini kwenye hii post, wengine kutafsiri maana inatupa shida sana
 
Ambae hajaoa hatakuelewa ila aliyeoa atakuelewa.. Vitabu vitakatifu vinasema tuishi nao kwa kutumia akili. Mwanamke ana uwezo wa kukuteka dakika sifuri. Kwa Wakristu, Adam alidanyanywa na Eva. Tafakari kwa makini. Akishindwa kabisa utapigwa libwata la uhakika uhangaike nalo mpaka ushike adabu.
Hakuna limbwatas mkuu ni udhibiti tu ukiongea kidogo kakupa, ukikohoa kakugea, ukivuta pumzi, mkandamizu, Ukitabasamu kakuachia HAPO HUCHOMOI mkuu
 
Yaani wanawake wamekuja duniani kuharibu ustaarabu wa wanaume tu, sijaona faida yao. Sasa mtu unamuhangaikia anakuua abaki na Mali! Mungu amewaonya sana wanaume kuhusu wanawake, lakini wengi ni sikio la kufa!
Sheria za mirathi zibadilishwe, urithi wote uwe wa watoto tu.
 
Tafadhali sana udhaifu unaosemwa ni UPI na kuishi nao kwa akili kivipi kwa mujibu was bibilia
 
Back
Top Bottom