Usimuonee huruma Mwanamke

Usimuonee huruma Mwanamke

[emoji1485] As a man pambana mwenyewe katika kila situation, usitegemee msaada kutoka kwa yoyote labda msaada ujitokeze wenyewe

[emoji1485]Do no favor to anyone

[emoji1485]Kuwa wa mwisho katika maamuzi yanayokuhusu

[emoji1485]Kuwa tayari kumpoteza mwanamke yoyote
[emoji1485]Usilaumu chochote kinachokutokea, funga mkanda songa mbele

Naomba kwa leo niishie hapa
Pia usiwekeze sana kwa mwanamke
 
Mimi naomba niwe nimekamilisha mchango wangu hapa.

Amani iwe pamoja nawe.
CONCLUSION;

Wote mliomsapoti mtoa mada ani watu COLD..

.Ni watu wa kuhide hamu express emotions zenu openly, ama mnatoa/express Inappropriate emotions,sehemu ya kulia mtacheka..au sehemu ya kucheka mtajifanya kinafiki mna huzuni, sehemu ya kuexpress hasira mtajifanya kila kitu kiko OK… not very GENUINE people…

Mna issue na MAMA zenu, mnaweza msiwe na matatizo openly, lakini issue ziko ndani ya minds/ brains zenu……..mnachukia mama zenu, subconsciously

Ni watu either hamna uzoefu na wanawake ama uzoefu wenu mdogo na wanawake umewaacha disappointed hivyo mmedevelop even more hostility towards women……..

I predict relationship zenu, (kama mlishawahi kuwa nazo),zote ni mifarakano/mitifuano ilikuwa kila siku…siku za mifarakano zina outnumber siku za Peace, hakuna mwanamke atakayekua na amani na mwanaume asiyemuonea huruma/kumjali…na sisi tukihisi tunakua ignored hatupigani,( well wapowanaopigana),..tunanuna na kususa, huelewi mkeo kanun ana kususa kwa nini, unam confront, mnagombana tu kila siku…

ni wadogo ..immatured..sidhani kama nimebishana na watu wanaosapoti mada hii ambao wako over 30!, .. wachache sana wamevuka miaka 30…

Baba zenu au wanaume waliochukua father’s role katika Maisha yenu nao walikua hivyo hivyo!.walikua wana supress emotions..ndio wamewajengea Mazingira ya ‘ Mwanaume halii’…sababu hata wao ndio walikuwa made to believe that!… these things are passed from generation to generation…Ngumu sana kwa mzazi aliyekulia katika mazingira ya kusupress emotions kumuona mwanae wa kiume akilia, asimwambie Nyamaza!, wanaume hawalii….

I can predict trouble in your future relationships/marriages!

SOLUTION;

Ni ku make Peace na Mama zenu kwenye Minds zenu!,,, List down…vitu/sacrifices zote ambazo Mama yako amekufanyia, kuanzia kukubeba mimba, kukunyonyesha, kukutawadha, kukupikia, kukufulia..etc utaanza kumuona mama yako Differenly…utaapreciate mchango wake katika Maisha yako, ukianza kufanya hivyo utaona wanawake ni viumbe na sio Mazimwi, ni binadamu wenye hisia, na wanaopaswa kujaliwa..kuonewa huruma. TCHAO!
 
Nilipoandika kuhusu single mother nimeona kawa mkali sana immediately nikaelewa na nikaona nijitoe kwenye mjadala.

Huyo ni single mother aka feminist hawezi kusubmit kwa mwanaume.
Naona umeanza kutoka kwenye kuwa objective na kuanza kushambulia na wewe, ndio mlivyo nyie wachukia wanawake....😡😡😡
 
MWANAMKE :

1) Aliungana na Shetani kumfanya Adam amkosee Mungu muumbaji wake.

2) Alitumiwa na shetani kuchunguza siri ya Samson na mwishowe akamsaliti, Samson akatobolewa macho na kuteswa sana na Wafilisti

3) Aliungana na Shetani kumdharau Ayubu na kumwambia amwache Mungu wake kabisa.

4) Aliambiwa na Mungu asigeuke nyuma, akageuka na kuwa jiwe la chumvi.

NB: Hata leo ugomvi mkubwa wa Mwanaume na Mungu unasababishwa na Mwanamke.

Tuishi nao huku tukiwafahamu walivyo
Bila shaka mwanamke ni muasi by nature.

Ndio maana huwa siwaamini hata chembe.
 
Kuna demu mmoja alikuwa analia& kujitia vihuruma kwangu kuwa hana hela ya Krismas,alisema atapika zake wali maharage siku ipite.Sikutuma hela nikamuahidi kumpelekea zawadi kesho geto kwake,siku ya boxing day jion nikafunga safari kumpelekea zawadi zake,nilijiongeza kidogo nikanunua zawadi neutral,anaweza kuzitumia hata mwanaume.Nikiwa njiani nlimtumia sms kuwa naenda kwake,nilipofika kwake nilimpigia kama mara mbili lakini hakupokea,kwa kuwa tulikuwa tunaishi karibu niliamua kujongea zangu geto kwangu nikiwa nimemaindi,zile zawadi nikajizawadia.Baadaye demu akanipigia akilalamikia zawadi zake na kusema kwamba muda nilipopiga alikuwa saluni.Niliamua kupotezea nikamwambia afate zawadi zake kwangu,akasema boy friend wake kamkataza kwenda mageto ya watu usiku.Nikamdanganya nina laki mbili cash mkononi kwa ajili yake,alikuja mbio nikala mzigo afu zile zawadi nilizificha,niliendea pedi za buku dukani,nikampiga swaga alipomaindi akazikubali akasepa.
Hawa wanawake unatakiwa kucheza Kama Pele.Hata ajilize vipi unatakiwa kutumia akili[emoji108]
Daaah
 
Kuna demu mmoja alikuwa analia& kujitia vihuruma kwangu kuwa hana hela ya Krismas,alisema atapika zake wali maharage siku ipite.Sikutuma hela nikamuahidi kumpelekea zawadi kesho geto kwake,siku ya boxing day jion nikafunga safari kumpelekea zawadi zake,nilijiongeza kidogo nikanunua zawadi neutral,anaweza kuzitumia hata mwanaume.Nikiwa njiani nlimtumia sms kuwa naenda kwake,nilipofika kwake nilimpigia kama mara mbili lakini hakupokea,kwa kuwa tulikuwa tunaishi karibu niliamua kujongea zangu geto kwangu nikiwa nimemaindi,zile zawadi nikajizawadia.Baadaye demu akanipigia akilalamikia zawadi zake na kusema kwamba muda nilipopiga alikuwa saluni.Niliamua kupotezea nikamwambia afate zawadi zake kwangu,akasema boy friend wake kamkataza kwenda mageto ya watu usiku.Nikamdanganya nina laki mbili cash mkononi kwa ajili yake,alikuja mbio nikala mzigo afu zile zawadi nilizificha,niliendea pedi za buku dukani,nikampiga swaga alipomaindi akazikubali akasepa.
Hawa wanawake unatakiwa kucheza Kama Pele.Hata ajilize vipi unatakiwa kutumia akili[emoji108]
Ukiwaambia una zawadi zao huwa wanachizika.

Nishakula kama wawili kwa gia za zawadi zao nimewanunulia kumbe hakuna kitu.

Wanawake bhana
 
mwaka huu ulikua mgumu Sana kwangu nilijikuta namuonea huruma mwanamke wangu wa kwanza aliyenibikiri! amefiwa na mume wake na alikua Hana mbele Wala nyuma nkamsaidia bwana nkamfungulia genge duka nkampangishia nilichoishia kupata ni kulazwa police eti namfanyia fujo kwenye biashara yake
Hahahahah
 
CONCLUSION;

Wote mliomsapoti mtoa mada ani watu COLD..

.Ni watu wa kuhide hamu express emotions zenu openly, ama mnatoa/express Inappropriate emotions,sehemu ya kulia mtacheka..au sehemu ya kucheka mtajifanya kinafiki mna huzuni, sehemu ya kuexpress hasira mtajifanya kila kitu kiko OK… not very GENUINE people…

Mna issue na MAMA zenu, mnaweza msiwe na matatizo openly, lakini issue ziko ndani ya minds/ brains zenu……..mnachukia mama zenu, subconsciously

Ni watu either hamna uzoefu na wanawake ama uzoefu wenu mdogo na wanawake umewaacha disappointed hivyo mmedevelop even more hostility towards women……..

I predict relationship zenu, (kama mlishawahi kuwa nazo),zote ni mifarakano/mitifuano ilikuwa kila siku…siku za mifarakano zina outnumber siku za Peace, hakuna mwanamke atakayekua na amani na mwanaume asiyemuonea huruma/kumjali…na sisi tukihisi tunakua ignored hatupigani,( well wapowanaopigana),..tunanuna na kususa, huelewi mkeo kanun ana kususa kwa nini, unam confront, mnagombana tu kila siku…

ni wadogo ..immatured..sidhani kama nimebishana na watu wanaosapoti mada hii ambao wako over 30!, .. wachache sana wamevuka miaka 30…

Baba zenu au wanaume waliochukua father’s role katika Maisha yenu nao walikua hivyo hivyo!.walikua wana supress emotions..ndio wamewajengea Mazingira ya ‘ Mwanaume halii’…sababu hata wao ndio walikuwa made to believe that!… these things are passed from generation to generation…Ngumu sana kwa mzazi aliyekulia katika mazingira ya kusupress emotions kumuona mwanae wa kiume akilia, asimwambie Nyamaza!, wanaume hawalii….

I can predict trouble in your future relationships/marriages!

SOLUTION;

Ni ku make Peace na Mama zenu kwenye Minds zenu!,,, List down…vitu/sacrifices zote ambazo Mama yako amekufanyia, kuanzia kukubeba mimba, kukunyonyesha, kukutawadha, kukupikia, kukufulia..etc utaanza kumuona mama yako Differenly…utaapreciate mchango wake katika Maisha yako, ukianza kufanya hivyo utaona wanawake ni viumbe na sio Mazimwi, ni binadamu wenye hisia, na wanaopaswa kujaliwa..kuonewa huruma. TCHAO!
My mom is my sweet and best friend..♥️😍. Usijali utakuja kujipatia mwanaume crying baby uwe unambembeleza.
 
My mom is my sweet and best friend..♥️😍. Usijali utakuja kujipatia mwanaume crying baby uwe unambembeleza.
No, unasema tu ... kwenye mind yako una conflict!....pole, hutapata mke kamwe! na ukimpata both mtacreate unhappy home.....hii sentesi unaweza kuihifadhi for future reference!
 
Naona umeanza kutoka kwenye kuwa objective na kuanza kushambulia na wewe, ndio mlivyo nyie wachukia wanawake....😡😡😡
Mimi nawapenda wanawake na huwa nawasaidia kadiri ninavyoweza japo huwa mara nyingi wanakuja kutengeneza uadui wakifanikiwa. But either way ni one love. Sina muda wa kubeba negative emotions and attitudes.

Naona nikitaja single mother reaction inakuwa kali.🤣
 
No, unasema tu ... kwenye mind yako una conflict!....pole, hutapata mke kamwe! na ukimpata both mtacreate unhappy home.....hii sentesi unaweza kuihifadhi for future reference!
Nimemuonesha wife hii meseji yako hapa anacheka kinoma. Ningekuwa na namba yako ningemwambia akupigie ufahamu anavyofurahia kuwa na mwanaume makini.
 
Wanawake wa leo ni zaidi ya shetani tusipokuwa makini watatumaliza tusiwaonee huruma kabisaaaa.
Wanaume tuandamane kwa hili na ikiwezekana tuwe na semina pamoja na jukwaa letu maalumu kukumbushana jinsi ya kujikinga na kuwa na roho mbaya dhidi ya adui yetu Mwanamke
emoji1548.png
Adui tena ?....
 
Nimemuonesha wife hii meseji yako hapa anacheka kinoma. Ningekuwa na namba yako ningemwambia akupigie ufahamu anavyofurahia kuwa na mwanaume makini.
hahhah huwezi kuwa na Mwanamke makini kama una chuki na wanawake, NO Never!, inabidi u examine huo uhusiano sana..kuna kitu kimemuweka hapo!
 
Mimi nawapenda wanawake na huwa nawasaidia kadiri ninavyoweza japo huwa mara nyingi wanakuja kutengeneza uadui wakifanikiwa. But either way ni one love. Sina muda wa kubeba negative emotions and attitudes.

Naona nikitaja single mother reaction inakuwa kali.🤣
Kumbe unasaidia...sasa una preach nini humu???..stop beind a hypocrite!....

Single mother my a$$ ...Sio single mother, na ningekuwa sidhani kama ningeruhusu mtu ani treat differentley eti tu sababu ni single mother..no, never!
 
Kumbe unasaidia...sasa una preach nini humu???..stop beind a hypocrite!....

Single mother my a$$ ...Sio single mother, na ningekuwa sidhani kama ningeruhusu mtu ani treat differentley eti tu sababu ni single mother..no, never!
Mimi naeleza uhalisia, wanawake wengi ni wabinafsi na thankless. Wanaona ni haki yao kupewa na wakipewa sio lazima wathamini.
 
...Simply hayakuhusu!, mbona humu kwenye hii topic faces ni zile zile zilizokuwepo kwenye topic nyingine...?? mbona sijasema na nyie mnapenda ligi?
Nimekutarget wewe kwasababu unapenda majibizano Tena upendi kushindwa hii kitu sio kizuri kiafya hasa kwa mwanamke unatakiwa uwe na staha na mtiifu kwa mwanaume badilika bidada nakushauri kwa nia njema kama rafiki tofauti utakuwa ngumu Sana kuolewa au kudumu na mwanaume kama itaendelea na hii tabia
 
Back
Top Bottom