Usimwachie mkeo nyumba zaidi ya miaka 5 peke yake

Usimwachie mkeo nyumba zaidi ya miaka 5 peke yake

Na hii hali inawakumba wanaume wengi tu, mi ningekuwa mwanaume nisingewekeza nguvu zangu zote za ujana kwa mwanamke mmoja, hiyo Ni Kama kujichimbia kaburi, Kuna wanawake Ni mafia, ningeoa mmoja ila ningezaa na zaidi ya mmoja, ama ningeoa zaidi ya mmoja
Wewe ni mwanamke? hebu nieleze hii hali inakuwaje, naona kama uko kwenye nafasi nzuri sana ya kuielezea maana inaonekana hata wewe huipendi.
 
Wamama si unawajua vizuri?
Mi nko pamoja na aliekujibu

Wamama tunawajua ndio

Lakini kama tumekuwa wote kama familia nimekaa na mzee sana.halafu baba aondoke nyumbani kikazi miaka mitano sio rahisi kuninywisha sumu zidi yake sanasana tutakuitikia tu ili kukusapoti tu bi maza .hua pia watoto tunachunguza pia kabla ya kuchagua upande

Na kama mawasiliano na mzee na mtoto kwa simu yapo .ndo kabisaa
 
Mjinga watu daily anamjaza ujinga mtoto, namlia timing tu
 
Na hii hali inawakumba wanaume wengi tu, mi ningekuwa mwanaume nisingewekeza nguvu zangu zote za ujana kwa mwanamke mmoja, hiyo Ni Kama kujichimbia kaburi, Kuna wanawake Ni mafia, ningeoa mmoja ila ningezaa na zaidi ya mmoja, ama ningeoa zaidi ya mmoja

Kwa ruhusa yako, naomba niprint screenshot ya post yako... kisha niilaminate niweke kwa fremu sebleni.

Nikiwa mkubwa nikumbuke kuzingatia ushauri wako.

Nakuomba unisikie!!![emoji1488]
 
Na hii hali inawakumba wanaume wengi tu, mi ningekuwa mwanaume nisingewekeza nguvu zangu zote za ujana kwa mwanamke mmoja, hiyo Ni Kama kujichimbia kaburi, Kuna wanawake Ni mafia, ningeoa mmoja ila ningezaa na zaidi ya mmoja, ama ningeoa zaidi ya mmoja

Agiza chochote kwa bili yangu, pia naamuru jeshi likupatie ulinzi kwa wiki nzima.

Waambie hawa madogo, utawasaidia na kuwaokoa pakubwa... proud of you mrembo!
 
Na hii hali inawakumba wanaume wengi tu, mi ningekuwa mwanaume nisingewekeza nguvu zangu zote za ujana kwa mwanamke mmoja, hiyo Ni Kama kujichimbia kaburi, Kuna wanawake Ni mafia, ningeoa mmoja ila ningezaa na zaidi ya mmoja, ama ningeoa zaidi ya mmoja
Kweli safari hii wanawake mmeamua kutoa Siri za kambi heko kwako wapo watakao kuponda lakin ukwel mchungu


#USIWASIKILIZEHAO5INATOSHA
 
Kwa ruhusa yako, naomba niprint screenshot ya post yako... kisha niilaminate niweke kwa fremu sebleni.

Nikiwa mkubwa nikumbuke kuzingatia ushauri wako.

Nakuomba unisikie!!![emoji1488]
Ruksa mkuu, na kila la heri
 
Na hii hali inawakumba wanaume wengi tu, mi ningekuwa mwanaume nisingewekeza nguvu zangu zote za ujana kwa mwanamke mmoja, hiyo Ni Kama kujichimbia kaburi, Kuna wanawake Ni mafia, ningeoa mmoja ila ningezaa na zaidi ya mmoja, ama ningeoa zaidi ya mmoja
ukiwa tayari uj nikupe uume
 
Kwann umesema hivi mkuu? Elezea vizuri nipate point yako huenda kuna funzo hapo.
Pamoja na kuoa wake wengi

Kisanga kinabaki palepale tena itakuwa zaidi maana kila mwanamke anavuta mtoto kwake tena zile hasira za kwamba kaenda kulala kwa mke mdogo zinahamia kwa watoto na kuwajaza ujinga.

Vita inapamba moto mpaka unazeeka
 
Pamoja na kuoa wake wengi

Kisanga kinabaki palepale tena itakuwa zaidi maana kila mwanamke anavuta mtoto kwake tena zile hasira za kwamba kaenda kulala kwa mke mdogo zinahamia kwa watoto na kuwajaza ujinga.

Vita inapamba moto mpaka unazeeka
Wanawake tuna tabia ya kushindana hasa mkiwa na uke wenza ndio inakuwa zaidi, haiwezekani wote mkamtelekeza Kuna atakaejipendekeza kwa mwanaume ili aonekane bora hivyo inakuwa ndo pona pona ya mwanaume husika, na ikiwa hivyo wengine nao wataiga tu hawatokubali kumuachia ushindi kizembe hivyo mwenzao
 
Back
Top Bottom