Usimwachie mkeo nyumba zaidi ya miaka 5 peke yake

Usimwachie mkeo nyumba zaidi ya miaka 5 peke yake

Na hii hali inawakumba wanaume wengi tu, mi ningekuwa mwanaume nisingewekeza nguvu zangu zote za ujana kwa mwanamke mmoja, hiyo Ni Kama kujichimbia kaburi, Kuna wanawake Ni mafia, ningeoa mmoja ila ningezaa na zaidi ya mmoja, ama ningeoa zaidi ya mmoja

Kwa wanawake haisadii unaweza zaa hata na wanawake 100 lakini watoto wote wakashikana na mama zao after all wao wanakuona ulikuwa mzinzi na kazi yako ilikuwa ni kustarehe na wanawake huku ukitelekeza mama zao. Nimeona sana kwa babu zangu pamoja na wengine kuzaa na wanawake wengi still walikuwa very lonely na miserable life.
 
Kwa wanawake haisadii unaweza zaa hata na wanawake 100 lakini watoto wote wakashikana na mama zao after all wao wanakuona ulikuwa mzinzi na kazi yako ilikuwa ni kustarehe na wanawake huku ukitelekeza mama zao. Nimeona sana kwa babu zangu pamoja na wengine kuzaa na wanawake wengi still walikuwa very lonely na miserable life.
Wangezaa na wake mmoja mmoja hiyo lonely na miserable life izidishe mara kumi yake
 
Asilimia kubwa ya wanawake hawana hofu ya Mungu, wana holu ya kulinda maslahi yao, Ukiona mwanamke anakimbilia kwenye dini,wazazi,mafundisho ya dini, Ndugu,marafiki, wasimamizi wa ndoa, viongozi wa dini, anachotaka hapo ni agenda yake ya kumiliki mwanaume ikamilike. Mwanamke mwenye akili anahakikisha anaelewa malengo ya MUME wake ktk maisha, na anakua msaidizi wake ktk kuyafikia hayo malengo na kama malengo sio mazuri au ni madogo basi mwanamke anakua mshauri kwa Mwanaume ili kurekebisha, Ni kama ilivyo kwenye kazi huwezi mlazimisha Boss wako kufanya jambo ila ukiona ni Nzuri na linafaida unamshauri kwani unajua hasara ikitokea na wewe utaathirika kwani hata kazi utakosa na kipato kitakosekana
Umesema Kweli, wanawake wachache Sana wenye mtazamo kama huu wengi huingia katika ndoa na agenda binafsi
 
  • Thanks
Reactions: Lob
Back
Top Bottom