Usimwachie mkeo nyumba zaidi ya miaka 5 peke yake

Kwa Mwanaume mwenye akili anajua haya, na lazıma ahakikishe anazaa watoto wachache unasomesha, mapema na una save pesa yako na unawekeza, ukifanya hivyo Mwanaume hufi mapema
 
Kuna wanawake hasa hasa wanaoringa ujanani wamevaa ringi tena hufikia hatua ya kuwatenga mashostio wasiovaa Ringo,

Yaani wananyenyekea ndoaa ili kuwaonesha jamii,, ngoja Mzazi mwenzie spate kilema au astaafu ndo utajua rangi zao.
Hasa hao wanawake wanaojionyesha ndio matatizo kabisa, yuko kwa mission ya kupata pesa akiona haifanikiwi au Mume pesa imeyumba utasikia alikua na malaya kibao, na kashakimbia. Wanaume kaeni nao kwa akili usiwekeze pesa yako yote kwa mwanamke.
 
Ushindani upo sababu yupo kazini
 
Kuna mfano mmoja baba na mama wote ni MOD( Madawa ) sasa shida ni mmoja mwanaume baada ya kuona mke naye anapata pesa na nini aka acha kutoa ada. Timbili lake sio la kitoto.
Kwa uwelewa wangu mdogo pesa utayo pata mwanaume, hawa viumbe wanataka waione inavo tumika lakini pesa yake haikuhusu
Niwe tu mkwel wamama aanapenda kujikweza mbele ya watoto utasikia baba enu hajatoa pesa ya ada kumbe !!! Pesa kapewa anacheza tu mind game na watoto na baba akizubaa anaweka full mzigo kabisa "nawasomesha kwa pesa zangu bila aibu "
 
Pamoja na kuoa wake wengi

Kisanga kinabaki palepale tena itakuwa zaidi maana kila mwanamke anavuta mtoto kwake tena zile hasira za kwamba kaenda kulala kwa mke mdogo zinahamia kwa watoto na kuwajaza ujinga.

Vita inapamba moto mpaka unazeeka
Usinikumbushe babu yangu alipo fariki mke mdogo alikimbilia kuuza nyumba yaani kafa leo kesho kutwa yake nyumba inauzwa.
Na pia nakumbuka nilivo kuwa katoto kadogo nilienda jikoni kuomba samaki si unajua utoto tena yule bimdogo kafanya kusudi kuni nyima ila angekuwa mwanaye ange mpa. Dawa ya hawa viumbe ni kuishi nao kwa akili. Usikubali wakutawale
 
Kuna na watoto wachache sio sababu. Point ni moja tu Oa mwanamke mwenye hofu ya Mungu. Akiweza kukusikiliza baasi ushamteka huyo
Kwa Mwanaume mwenye akili anajua haya, na lazıma ahakikishe anazaa watoto wachache unasomesha, mapema na una save pesa yako na unawekeza, ukifanya hivyo Mwanaume hufi mapema
 
Kuna na watoto wachache sio sababu. Point ni moja tu Oa mwanamke mwenye hofu ya Mungu. Akiweza kukusikiliza baasi ushamteka huyo
Asilimia kubwa ya wanawake hawana hofu ya Mungu, wana holu ya kulinda maslahi yao, Ukiona mwanamke anakimbilia kwenye dini,wazazi,mafundisho ya dini, Ndugu,marafiki, wasimamizi wa ndoa, viongozi wa dini, anachotaka hapo ni agenda yake ya kumiliki mwanaume ikamilike. Mwanamke mwenye akili anahakikisha anaelewa malengo ya MUME wake ktk maisha, na anakua msaidizi wake ktk kuyafikia hayo malengo na kama malengo sio mazuri au ni madogo basi mwanamke anakua mshauri kwa Mwanaume ili kurekebisha, Ni kama ilivyo kwenye kazi huwezi mlazimisha Boss wako kufanya jambo ila ukiona ni Nzuri na linafaida unamshauri kwani unajua hasara ikitokea na wewe utaathirika kwani hata kazi utakosa na kipato kitakosekana
 
Wamama si unawajua vizuri?
Mkuu wanawake wana vitimbi na hivyo ndivyo walivyoumbwa hilo ni moja ya mapungufu yao , sasa kama umeshalijua hilo unatumia hekima tu msikilize halafu maamuzi fanya kwa hekima maana hata kama kweli mzee alimtenda(hapa wanaume huwa tunazingua kweli ) mtafute mzee kwa muda wako ongeeni malizeni huko huko yeye ni mzazi hata kama hatakuomba msamaha direct ila kwa reaction tu utaelewa.

Halafu saidia wote bila ubaguzi ,mama akisafiri sijui anakuja kukutembelea aje na mzee akishindwa tumia mzee nauli waje wote maanaa utaitwa baba pia na wewe yatakukuta tu simple kama hivyo na kwa wale wenye dini pia kuwasaidia wazazi ni moja ya njia ya kuongeza baraka na umri pia unapata thawabu.
 
Uko sahihi Kiongozi, hasa kwa watoto Wakiume kuna mtihani kwani wakina mama Wengi wanajitahidi kukuambia mabaya ya Baba tu, na la kwanza ni Baba yenu anaharibu pesa na malaya, ni mlevi nimewalea kwa shida, usijeingia kwenye huo mtego. Baba ni muhimu sana kwenye maisha na ukimfanya rafiki akakufundisha maisha utatoboa Baba wanajua na wanauzoefu mkubwa kwenye kutafuta maisha, Angalia ktk rafiki au Ndugu, wale ambao wako karibu na Baba zao wako vizuri kimaisha hawakosei target zao.
 
Huu ni ukweli mtupu mkuu , wanaokuwa violeted ni baba zetu sana ila kwa sababu hawei toka akatangaza basi jamii huwa haioni hilo.

Binafsi nina balance kila kitu hakuna sijui mama hiki mama kike sijui nini sina hiy kitu walikosana huwa namuambia tu hayo mtajadili nyie kama wazazi si hekima mimi kuingilia mambo yenu.

Tuwasikilize wazazi lakini tutumie hekima sana kwenye maamuzi aisee wazazi wa kiume wanateswa pia.
 
Naomba uongeze nyama kwenye hii comment...kuna kitu nataka kujifunza
 
Kwa Mwanaume mwenye akili anajua haya, na lazıma ahakikishe anazaa watoto wachache unasomesha, mapema na una save pesa yako na unawekeza, ukifanya hivyo Mwanaume hufi mapema
Mzee uko sahihi ndo wanavyofanya wenzetu ngozi nyeupe
 
Reactions: Lob
Agiza chochote kwa mangi naja kulipa


Mkuu upate ulinzi harak iwezekanavyo!!
 
Noelia, Noelia Noelia, nimekuita mara tatu😳😳😳
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…