Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli mchungu .... huyo mwanamke alikuwa sahihi sababu zangu ni hiziHabar wadau !!!
Leo nimeachana rasmi na msichana niliedumu nae kwa miaka mitatu ni mlokole na ameishika din kweli kweli yaan ni kila siku jpili ni lazima aende church na siku za kati ya wiki anaenda mkesha misa za usiku mapenzi yetu yalitawaliwa na utata mwing mno km kudo ilikuwa ngumu sn na yote akidai kuwa hatak kwenda gest na pia anataka tuoane
Kwa kipimd kile anayadai hayo nilikuwa naish na ndugu yngu wa kiume ivo ilikuwa ngumu yy kuja kulala pale ninapokaa na aliweka mkazo nikapange na aliweka waz kuwa nikapange na anataka tuoane tuwe na familia na sababu ya yy kunipangia siku za kuonana ni hilo la kuoana na gest ki ukweli ni story ndefu kidogo apo maana hata huko gest siku moja moja tulizokuwa tunaenda ilikuwa kunq tokea vurugu kuna wakat nakuwa cjaridhika yy anasema basi anaondoka imetosha kuna wakati analia kabisa na kudai tumbo linamuuma na kuna mda ananisukuma na kuna mda anajaza mate mdomon na kuna mda anayatema baada ya kukiss tukienda bafuni kuoga ananisukuma yani tusioge karibu karibu tuoge mbali mbali na hayo yanatokea kila mara tutakayoenda gest ni stori ndefu kidogo lkn in short ni kwamba almost kwa mwez tulikuwa tunakutana once na baada ya kumuomba sex sana
Mara zote yy alidai hapendi gest nipqnge ayo mambo yataisha tuligombana sn tunapatana sasa last mouth mwezi ule wa sensa nikawaambia mdau wngu kuwa kila mtu akatafute room yke kwa sasa na tukakubaliana kila mmoja aish kivyake ajitegemee mpango wa kushare kodi hamna tena na maswala ya geto yakaishia pale
Mimi nikatafuta zngu room mahali pengine nikapanga nilipopanga tu gafla tu yule dada alianza visa nikimpigia simu hapokei sms hajibu na baadh ya namba kablock kabisa nikaongea na da yke anaeish nae akasema ataongea nae lkn haikuzaa matunda baada ya km wiki 2 za kumtafuta sinu yke ikiwa hapokei nilimtumia sms TUACHANE sasa cha ajabu baada ya kutuma tu ile sms ilijibiwa ivi kuwa chanzo cha yeye kukaa kimya ni kwa sababu anataka ndoa na kwa kipind hko nilikuwa tayar nimepanga mwez mzima naish peke angu na hii nimefuata ushauri wke na yy hajawah hata kukanyaga
Nikamjibu kuwa yy analiliaje ndoa mbayo yy haipiganii karibu sherehe nying huwq naenda na yy na mara zote ni yy tu yaan baba na mama na ndugu wanamjua na kuna story fupi kidogo kwenye hzo sherehe alikuwa akigundua mama upo tu lazima aomdoke nikimuuliza sababu ya yeye kukimbia anasema mama ni mtu wa heshima sn inabid akutane nae nyumban na sio kwenye sherehe
apo tuligombana pia kwamba mama sio MUNGU msalimie tu yaishe ili ata siku akijua naoa ajue ni ww japo haikuwah kutokea na naweza kucomclude kwamba hakuwah ongea na mama hata siku moja baba aliwah onhea nae mara moja tu basi
Mapenzi yetu yaligubikwa na wingu kubwa ambalo kabla mwaka huu haujaisha nilipanga tuoane ndugu zake namjua mmoja tu dada ake mkubwa ambae ndo anaish nae wamepanga room moja yy ana saloon na dada ake anashona nguo na aliniweka waz kuwa huku mjin hana ndugu wengi ndugu zke weng wapo kijijin na mama ake upo uko apa mjin aliletwa na dada yke ambae undugu uko mbali kidogo kuja kufanya kaz za saloon uyo dada ake ndo ni km.mama yke apa mjim anaishi nae toka 2016 na amemsaidia kaz nying amemlea km mwanae
Mwaka 2016 kipindi nakutana nae 1st time aliniomba pesa akafungue saloon nikqmkatalia nilijua hayo ndo yale mapenzi ya mjin ukimwaga tu mpunga huna chako japo msaada mdogo mdogo km na pesa km chakula mavazi simu nilimnunulia na kuna siri zngu za biashara nilimpa lengo langu sikutaka ateseke nilitaka awe free aish maisha mazur lkn sasa najuta maana nilimwamin sn kiasi kuwa naweza semq hakuna mwanamke alifikia pale na nimewakataa wengi sana kipimdi nipo nae ata wale walikuwa na mm walipoona siwapi priority na sina mpango nao walisepa mmoja ni mwanafunzi anasoma CBG ni mchaga tuliachana na sasa ana mtoto mwengine anaitwa gift saiz hata sms.zngu hajibu kuna mwingine anaitwa basia nae namba yke haipatikan ni wengi kwa kweli niliowapuuza kipimdi nipo nae nikisema niwataje apa sitowamaliza kuna mwingine nae anaitwa rapahaela kanipuuza kabisa na baadh ya girls washaniblock siwez walaumu sababu kipindi nipo nahuyu dada niliwatesa wengi sikuwajali hata
Sasa baada ya my love of all time kupigilia msumar kuwa anataka ndoq nilimpigia simu mwezi huo akiwa hajakanyaga kwangu nimuulizq kuwa dada ako ambae ni km mama yko apa dar na ndugu zako wanajua mahusiano yetu akasema ndio nikamwambia anielekeze anapoishi akaniuliza unataka kwenda nikamwambia ww nielekeze tu akaniambia usijali ntakuelekeza na apo nshawaepeza ndugu na wazazi kuwa nataka nioe mwaka huu ajabu hakunitafuta kunielekeza uyo dada ake anapoish na nilipopiga nikagundua kuwa namba zangu kaziblock zote na usiku huo niliota ndoto tata sana nikampigia kwa namba yngu extra mbal na zile alizofunga ikapokelewa lkn iliposikia ni mm hakujibu kitu na nikapokea sms h
View attachment 2363267
UPDATES
Kwa comment za wadau apo chini wengi wanadai demu hakunipenda since first time alihitaji tu msaada wangu sawa sikatai yaweza kuwa kweli lkn naomba nielezeee maisha uetu yalivyokuwa na kwann tulidumu
1.sikukuu zote kubwa na muhimu km x mas pasaka new year birthday zake valentine day birthday zngu zote tulikuwa wote na hakukuwa na fujo zozote labda simu yke kuita au meseji kuingia na simu yke nilitumia technolojia kuhack simu yke sikupata hatia yyote zaid ya wanaume kumtumia sms na hazijibu
2.apaishi na anapofanya kaz napajua nimetega ambush mara kadhaa na huwa anatoka usiku saa 5 nk na sikuwah mkuta na mtu wala nn
3.anapenda sana dini aiseee si mchezo mchezo km hao mnaomfananisha nae huyu upo serious na din na aliniweka waz kuwa bila din yy na mama yke wanheshafariki alinieleza kinagaubaga chini juu na hata usiku nampigia video call naona upo kanisan
4.aligusa sana maisha yngu hapa wengi hawawez kunielewa mfano niliibiwa simu yy ndio alinipa pesa laki 1 niongezee ninunue simu nyingine na pili alinialika adi kanisa analosali hata kipind naumwa alikuwa very close kunijulia hali
5. ubongenyanya nahisi unamboa mara kadhaa amekuwa akiniambia nifanye mazoezi nipunguze mwili lkn sikufanya ivo badala yke nilizid kunenepa kwa kukosa mda wa mazoezi na kula
5.hapendi pesa akiniomba hela nikimwambia sina anaelewa na day 1 tunakuwa in relationship kumpima nilimpa nauli 1000 tu na alishukuru na alipofka alinijuza amefika
6.kutema mate as from my experience nilichogundua manzi kuna kitu hataki kusema ila ukweli ni kwamba nahitaji modification in my mouth ikiwezekana ata pafyumu ya mdomo hayo mambo ya kula kyla sana mdomo biskuti sijui karanga mdomo unakuwa mchafu sn
7.ameisho kijijin si wa bongo dar ameingiza 2016 na aliletwa na dada ake aje afanye biashara ya kuuza nguo
8. Tumewah kuachana mara zisizopungua 5 na kila nikimtext tuachane lazima aje home tena wakati mwingine asubuh na mapema hata sijaamka namba nshaziblock anatumia namba za watu wengine naroka nje namsikiliza tunayaongea tunayanmaliza na hii ndio sababu dada ake ananiambia nimfuate saloon
Nimeongea na dada ake mkubwa kaniambiq nitafute mda niende kwenye saloon yke niongee nae
Nashukuru kwa michango yenu inatia moyo lkn pia mnisamehe kwa mwandiko sina good mood kabisa
Ni kweli ukiacha achika japo ukweli sio rahisi kama tunavyozungumza inahitaji kujitoa sana pia.Ukiachwa,achika,
Unachokitafuta utakipata.
ninachokitaka ni kipi icho nn anaweza kufanya ukilazimishaNi kweli ukiacha achika japo ukweli sio rahisi kama tunavyozungumza inahitaji kujitoa sana pia.
Huyo mwanamke hakupendi kabisa tokea mwanzoni alafu pia inaonekana ni mshamba wa wanawake a.k.a zoba samahan kama nimekutolea maneno makaliHabar wadau !!!
Leo nimeachana rasmi na msichana niliedumu nae kwa miaka mitatu ni mlokole na ameishika din kweli kweli yaan ni kila siku jpili ni lazima aende church na siku za kati ya wiki anaenda mkesha misa za usiku mapenzi yetu yalitawaliwa na utata mwing mno km kudo ilikuwa ngumu sn na yote akidai kuwa hatak kwenda gest na pia anataka tuoane
Kwa kipimd kile anayadai hayo nilikuwa naish na ndugu yngu wa kiume ivo ilikuwa ngumu yy kuja kulala pale ninapokaa na aliweka mkazo nikapange na aliweka waz kuwa nikapange na anataka tuoane tuwe na familia na sababu ya yy kunipangia siku za kuonana ni hilo la kuoana na gest ki ukweli ni story ndefu kidogo apo maana hata huko gest siku moja moja tulizokuwa tunaenda ilikuwa kunq tokea vurugu kuna wakat nakuwa cjaridhika yy anasema basi anaondoka imetosha kuna wakati analia kabisa na kudai tumbo linamuuma na kuna mda ananisukuma na kuna mda anajaza mate mdomon na kuna mda anayatema baada ya kukiss tukienda bafuni kuoga ananisukuma yani tusioge karibu karibu tuoge mbali mbali na hayo yanatokea kila mara tutakayoenda gest ni stori ndefu kidogo lkn in short ni kwamba almost kwa mwez tulikuwa tunakutana once na baada ya kumuomba sex sana
Mara zote yy alidai hapendi gest nipqnge ayo mambo yataisha tuligombana sn tunapatana sasa last mouth mwezi ule wa sensa nikawaambia mdau wngu kuwa kila mtu akatafute room yke kwa sasa na tukakubaliana kila mmoja aish kivyake ajitegemee mpango wa kushare kodi hamna tena na maswala ya geto yakaishia pale
Mimi nikatafuta zngu room mahali pengine nikapanga nilipopanga tu gafla tu yule dada alianza visa nikimpigia simu hapokei sms hajibu na baadh ya namba kablock kabisa nikaongea na da yke anaeish nae akasema ataongea nae lkn haikuzaa matunda baada ya km wiki 2 za kumtafuta sinu yke ikiwa hapokei nilimtumia sms TUACHANE sasa cha ajabu baada ya kutuma tu ile sms ilijibiwa ivi kuwa chanzo cha yeye kukaa kimya ni kwa sababu anataka ndoa na kwa kipind hko nilikuwa tayar nimepanga mwez mzima naish peke angu na hii nimefuata ushauri wke na yy hajawah hata kukanyaga
Nikamjibu kuwa yy analiliaje ndoa mbayo yy haipiganii karibu sherehe nying huwq naenda na yy na mara zote ni yy tu yaan baba na mama na ndugu wanamjua na kuna story fupi kidogo kwenye hzo sherehe alikuwa akigundua mama upo tu lazima aomdoke nikimuuliza sababu ya yeye kukimbia anasema mama ni mtu wa heshima sn inabid akutane nae nyumban na sio kwenye sherehe
apo tuligombana pia kwamba mama sio MUNGU msalimie tu yaishe ili ata siku akijua naoa ajue ni ww japo haikuwah kutokea na naweza kucomclude kwamba hakuwah ongea na mama hata siku moja baba aliwah onhea nae mara moja tu basi
Mapenzi yetu yaligubikwa na wingu kubwa ambalo kabla mwaka huu haujaisha nilipanga tuoane ndugu zake namjua mmoja tu dada ake mkubwa ambae ndo anaish nae wamepanga room moja yy ana saloon na dada ake anashona nguo na aliniweka waz kuwa huku mjin hana ndugu wengi ndugu zke weng wapo kijijin na mama ake upo uko apa mjin aliletwa na dada yke ambae undugu uko mbali kidogo kuja kufanya kaz za saloon uyo dada ake ndo ni km.mama yke apa mjim anaishi nae toka 2016 na amemsaidia kaz nying amemlea km mwanae
Mwaka 2016 kipindi nakutana nae 1st time aliniomba pesa akafungue saloon nikqmkatalia nilijua hayo ndo yale mapenzi ya mjin ukimwaga tu mpunga huna chako japo msaada mdogo mdogo km na pesa km chakula mavazi simu nilimnunulia na kuna siri zngu za biashara nilimpa lengo langu sikutaka ateseke nilitaka awe free aish maisha mazur lkn sasa najuta maana nilimwamin sn kiasi kuwa naweza semq hakuna mwanamke alifikia pale na nimewakataa wengi sana kipimdi nipo nae ata wale walikuwa na mm walipoona siwapi priority na sina mpango nao walisepa mmoja ni mwanafunzi anasoma CBG ni mchaga tuliachana na sasa ana mtoto mwengine anaitwa gift saiz hata sms.zngu hajibu kuna mwingine anaitwa basia nae namba yke haipatikan ni wengi kwa kweli niliowapuuza kipimdi nipo nae nikisema niwataje apa sitowamaliza kuna mwingine nae anaitwa rapahaela kanipuuza kabisa na baadh ya girls washaniblock siwez walaumu sababu kipindi nipo nahuyu dada niliwatesa wengi sikuwajali hata
Sasa baada ya my love of all time kupigilia msumar kuwa anataka ndoq nilimpigia simu mwezi huo akiwa hajakanyaga kwangu nimuulizq kuwa dada ako ambae ni km mama yko apa dar na ndugu zako wanajua mahusiano yetu akasema ndio nikamwambia anielekeze anapoishi akaniuliza unataka kwenda nikamwambia ww nielekeze tu akaniambia usijali ntakuelekeza na apo nshawaepeza ndugu na wazazi kuwa nataka nioe mwaka huu ajabu hakunitafuta kunielekeza uyo dada ake anapoish na nilipopiga nikagundua kuwa namba zangu kaziblock zote na usiku huo niliota ndoto tata sana nikampigia kwa namba yngu extra mbal na zile alizofunga ikapokelewa lkn iliposikia ni mm hakujibu kitu na nikapokea sms h
View attachment 2363267
UPDATES
Kwa comment za wadau apo chini wengi wanadai demu hakunipenda since first time alihitaji tu msaada wangu sawa sikatai yaweza kuwa kweli lkn naomba nielezeee maisha uetu yalivyokuwa na kwann tulidumu
1.sikukuu zote kubwa na muhimu km x mas pasaka new year birthday zake valentine day birthday zngu zote tulikuwa wote na hakukuwa na fujo zozote labda simu yke kuita au meseji kuingia na simu yke nilitumia technolojia kuhack simu yke sikupata hatia yyote zaid ya wanaume kumtumia sms na hazijibu
2.apaishi na anapofanya kaz napajua nimetega ambush mara kadhaa na huwa anatoka usiku saa 5 nk na sikuwah mkuta na mtu wala nn
3.anapenda sana dini aiseee si mchezo mchezo km hao mnaomfananisha nae huyu upo serious na din na aliniweka waz kuwa bila din yy na mama yke wanheshafariki alinieleza kinagaubaga chini juu na hata usiku nampigia video call naona upo kanisan
4.aligusa sana maisha yngu hapa wengi hawawez kunielewa mfano niliibiwa simu yy ndio alinipa pesa laki 1 niongezee ninunue simu nyingine na pili alinialika adi kanisa analosali hata kipind naumwa alikuwa very close kunijulia hali
5. ubongenyanya nahisi unamboa mara kadhaa amekuwa akiniambia nifanye mazoezi nipunguze mwili lkn sikufanya ivo badala yke nilizid kunenepa kwa kukosa mda wa mazoezi na kula
5.hapendi pesa akiniomba hela nikimwambia sina anaelewa na day 1 tunakuwa in relationship kumpima nilimpa nauli 1000 tu na alishukuru na alipofka alinijuza amefika
6.kutema mate as from my experience nilichogundua manzi kuna kitu hataki kusema ila ukweli ni kwamba nahitaji modification in my mouth ikiwezekana ata pafyumu ya mdomo hayo mambo ya kula kyla sana mdomo biskuti sijui karanga mdomo unakuwa mchafu sn
7.ameisho kijijin si wa bongo dar ameingiza 2016 na aliletwa na dada ake aje afanye biashara ya kuuza nguo
8. Tumewah kuachana mara zisizopungua 5 na kila nikimtext tuachane lazima aje home tena wakati mwingine asubuh na mapema hata sijaamka namba nshaziblock anatumia namba za watu wengine naroka nje namsikiliza tunayaongea tunayanmaliza na hii ndio sababu dada ake ananiambia nimfuate saloon
Nimeongea na dada ake mkubwa kaniambiq nitafute mda niende kwenye saloon yke niongee nae
Nashukuru kwa michango yenu inatia moyo lkn pia mnisamehe kwa mwandiko sina good mood kabisa
Mwanamke anayekukubali Kuna tabasamu flani hivi anaachia kila mkikutana, sms anakuanza yeye sio lazima umuanze yeye same applies kwenye call na ukimwambia tukutane chap kwa haraka anakubali kama hakupendi ni vice versa ya mambo yote niliyoyaandika hapo juuMwanamke anayekupenda kweli hana haja ya kukwambia anakupenda, uso wake tu mkionana na tabia zake zitazungumza yote.
[emoji1787]Hyo update uloweka sijaelewa ni ww ndo unanuka mdomo au yeye mpk unataka pafume za kupuliza mdomoni?
Yaani stori nzima inaonesha hukujua ufanye nini ili upate mke. Yaani mwanamke kupigania ndoa ni kulala na wewe? Unapanga chumba ili aje mzini! No way, unajaribu kuplay cool guy, lakini wewe nawe ni wale wale tuHabar wadau !!!
Leo nimeachana rasmi na msichana niliedumu nae kwa miaka mitatu ni mlokole na ameishika din kweli kweli yaan ni kila siku jpili ni lazima aende church na siku za kati ya wiki anaenda mkesha misa za usiku mapenzi yetu yalitawaliwa na utata mwing mno km kudo ilikuwa ngumu sn na yote akidai kuwa hatak kwenda gest na pia anataka tuoane
Kwa kipimd kile anayadai hayo nilikuwa naish na ndugu yngu wa kiume ivo ilikuwa ngumu yy kuja kulala pale ninapokaa na aliweka mkazo nikapange na aliweka waz kuwa nikapange na anataka tuoane tuwe na familia na sababu ya yy kunipangia siku za kuonana ni hilo la kuoana na gest ki ukweli ni story ndefu kidogo apo maana hata huko gest siku moja moja tulizokuwa tunaenda ilikuwa kunq tokea vurugu kuna wakat nakuwa cjaridhika yy anasema basi anaondoka imetosha kuna wakati analia kabisa na kudai tumbo linamuuma na kuna mda ananisukuma na kuna mda anajaza mate mdomon na kuna mda anayatema baada ya kukiss tukienda bafuni kuoga ananisukuma yani tusioge karibu karibu tuoge mbali mbali na hayo yanatokea kila mara tutakayoenda gest ni stori ndefu kidogo lkn in short ni kwamba almost kwa mwez tulikuwa tunakutana once na baada ya kumuomba sex sana
Mara zote yy alidai hapendi gest nipqnge ayo mambo yataisha tuligombana sn tunapatana sasa last mouth mwezi ule wa sensa nikawaambia mdau wngu kuwa kila mtu akatafute room yke kwa sasa na tukakubaliana kila mmoja aish kivyake ajitegemee mpango wa kushare kodi hamna tena na maswala ya geto yakaishia pale
Mimi nikatafuta zngu room mahali pengine nikapanga nilipopanga tu gafla tu yule dada alianza visa nikimpigia simu hapokei sms hajibu na baadh ya namba kablock kabisa nikaongea na da yke anaeish nae akasema ataongea nae lkn haikuzaa matunda baada ya km wiki 2 za kumtafuta sinu yke ikiwa hapokei nilimtumia sms TUACHANE sasa cha ajabu baada ya kutuma tu ile sms ilijibiwa ivi kuwa chanzo cha yeye kukaa kimya ni kwa sababu anataka ndoa na kwa kipind hko nilikuwa tayar nimepanga mwez mzima naish peke angu na hii nimefuata ushauri wke na yy hajawah hata kukanyaga
Nikamjibu kuwa yy analiliaje ndoa mbayo yy haipiganii karibu sherehe nying huwq naenda na yy na mara zote ni yy tu yaan baba na mama na ndugu wanamjua na kuna story fupi kidogo kwenye hzo sherehe alikuwa akigundua mama upo tu lazima aomdoke nikimuuliza sababu ya yeye kukimbia anasema mama ni mtu wa heshima sn inabid akutane nae nyumban na sio kwenye sherehe
apo tuligombana pia kwamba mama sio MUNGU msalimie tu yaishe ili ata siku akijua naoa ajue ni ww japo haikuwah kutokea na naweza kucomclude kwamba hakuwah ongea na mama hata siku moja baba aliwah onhea nae mara moja tu basi
Mapenzi yetu yaligubikwa na wingu kubwa ambalo kabla mwaka huu haujaisha nilipanga tuoane ndugu zake namjua mmoja tu dada ake mkubwa ambae ndo anaish nae wamepanga room moja yy ana saloon na dada ake anashona nguo na aliniweka waz kuwa huku mjin hana ndugu wengi ndugu zke weng wapo kijijin na mama ake upo uko apa mjin aliletwa na dada yke ambae undugu uko mbali kidogo kuja kufanya kaz za saloon uyo dada ake ndo ni km.mama yke apa mjim anaishi nae toka 2016 na amemsaidia kaz nying amemlea km mwanae
Mwaka 2016 kipindi nakutana nae 1st time aliniomba pesa akafungue saloon nikqmkatalia nilijua hayo ndo yale mapenzi ya mjin ukimwaga tu mpunga huna chako japo msaada mdogo mdogo km na pesa km chakula mavazi simu nilimnunulia na kuna siri zngu za biashara nilimpa lengo langu sikutaka ateseke nilitaka awe free aish maisha mazur lkn sasa najuta maana nilimwamin sn kiasi kuwa naweza semq hakuna mwanamke alifikia pale na nimewakataa wengi sana kipimdi nipo nae ata wale walikuwa na mm walipoona siwapi priority na sina mpango nao walisepa mmoja ni mwanafunzi anasoma CBG ni mchaga tuliachana na sasa ana mtoto mwengine anaitwa gift saiz hata sms.zngu hajibu kuna mwingine anaitwa basia nae namba yke haipatikan ni wengi kwa kweli niliowapuuza kipimdi nipo nae nikisema niwataje apa sitowamaliza kuna mwingine nae anaitwa rapahaela kanipuuza kabisa na baadh ya girls washaniblock siwez walaumu sababu kipindi nipo nahuyu dada niliwatesa wengi sikuwajali hata
Sasa baada ya my love of all time kupigilia msumar kuwa anataka ndoq nilimpigia simu mwezi huo akiwa hajakanyaga kwangu nimuulizq kuwa dada ako ambae ni km mama yko apa dar na ndugu zako wanajua mahusiano yetu akasema ndio nikamwambia anielekeze anapoishi akaniuliza unataka kwenda nikamwambia ww nielekeze tu akaniambia usijali ntakuelekeza na apo nshawaepeza ndugu na wazazi kuwa nataka nioe mwaka huu ajabu hakunitafuta kunielekeza uyo dada ake anapoish na nilipopiga nikagundua kuwa namba zangu kaziblock zote na usiku huo niliota ndoto tata sana nikampigia kwa namba yngu extra mbal na zile alizofunga ikapokelewa lkn iliposikia ni mm hakujibu kitu na nikapokea sms h
View attachment 2363267
UPDATES
Kwa comment za wadau apo chini wengi wanadai demu hakunipenda since first time alihitaji tu msaada wangu sawa sikatai yaweza kuwa kweli lkn naomba nielezeee maisha uetu yalivyokuwa na kwann tulidumu
1.sikukuu zote kubwa na muhimu km x mas pasaka new year birthday zake valentine day birthday zngu zote tulikuwa wote na hakukuwa na fujo zozote labda simu yke kuita au meseji kuingia na simu yke nilitumia technolojia kuhack simu yke sikupata hatia yyote zaid ya wanaume kumtumia sms na hazijibu
2.apaishi na anapofanya kaz napajua nimetega ambush mara kadhaa na huwa anatoka usiku saa 5 nk na sikuwah mkuta na mtu wala nn
3.anapenda sana dini aiseee si mchezo mchezo km hao mnaomfananisha nae huyu upo serious na din na aliniweka waz kuwa bila din yy na mama yke wanheshafariki alinieleza kinagaubaga chini juu na hata usiku nampigia video call naona upo kanisan
4.aligusa sana maisha yngu hapa wengi hawawez kunielewa mfano niliibiwa simu yy ndio alinipa pesa laki 1 niongezee ninunue simu nyingine na pili alinialika adi kanisa analosali hata kipind naumwa alikuwa very close kunijulia hali
5. ubongenyanya nahisi unamboa mara kadhaa amekuwa akiniambia nifanye mazoezi nipunguze mwili lkn sikufanya ivo badala yke nilizid kunenepa kwa kukosa mda wa mazoezi na kula
5.hapendi pesa akiniomba hela nikimwambia sina anaelewa na day 1 tunakuwa in relationship kumpima nilimpa nauli 1000 tu na alishukuru na alipofka alinijuza amefika
6.kutema mate as from my experience nilichogundua manzi kuna kitu hataki kusema ila ukweli ni kwamba nahitaji modification in my mouth ikiwezekana ata pafyumu ya mdomo hayo mambo ya kula kyla sana mdomo biskuti sijui karanga mdomo unakuwa mchafu sn
7.ameisho kijijin si wa bongo dar ameingiza 2016 na aliletwa na dada ake aje afanye biashara ya kuuza nguo
8. Tumewah kuachana mara zisizopungua 5 na kila nikimtext tuachane lazima aje home tena wakati mwingine asubuh na mapema hata sijaamka namba nshaziblock anatumia namba za watu wengine naroka nje namsikiliza tunayaongea tunayanmaliza na hii ndio sababu dada ake ananiambia nimfuate saloon
Nimeongea na dada ake mkubwa kaniambiq nitafute mda niende kwenye saloon yke niongee nae
Nashukuru kwa michango yenu inatia moyo lkn pia mnisamehe kwa mwandiko sina good mood kabisa
Umeongea point kinomaa mwenye kukuelewa atakuelewa.Mwanamke ambae wewe unamchukulia kama mpendwaa sijui Mcha Mungu jua kuna Mshikaji anamtreat kama malayaaa wakeee...!! Hii hata kwa wake za watuuu... Na ogopaa sana mwanamke mpendwa malaya akiamua kukuonesha upande wake mmoja wa Utumishi aiseee siku ukiujua ukweli unaweza tamani umuuee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
hii ishaletaga igomvi familia moja jina kapuni kuna dada mmoja alieshimika sana ajabu ikaja gundulika analiwa tigo tena sio gest wala nn jumba bovuMwanamke ambae wewe unamchukulia kama mpendwaa sijui Mcha Mungu jua kuna Mshikaji anamtreat kama malayaaa wakeee...!! Hii hata kwa wake za watuuu... Na ogopaa sana mwanamke mpendwa malaya akiamua kukuonesha upande wake mmoja wa Utumishi aiseee siku ukiujua ukweli unaweza tamani umuuee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
uyo mbona niemwelewa sanaUmeongea point kinomaa mwenye kukuelewa atakuelewa.
kuna kitu inaitwa fake smile kwan huyu wangu tabasamu alikuwa hatoiMwanamke anayekukubali Kuna tabasamu flani hivi anaachia kila mkikutana, sms anakuanza yeye sio lazima umuanze yeye same applies kwenye call na ukimwambia tukutane chap kwa haraka anakubali kama hakupendi ni vice versa ya mambo yote niliyoyaandika hapo juu
Siyo nema huyo kweliHabar wadau !!!
Leo nimeachana rasmi na msichana niliedumu nae kwa miaka mitatu ni mlokole na ameishika din kweli kweli yaan ni kila siku jpili ni lazima aende church na siku za kati ya wiki anaenda mkesha misa za usiku mapenzi yetu yalitawaliwa na utata mwing mno km kudo ilikuwa ngumu sn na yote akidai kuwa hatak kwenda gest na pia anataka tuoane
Kwa kipimd kile anayadai hayo nilikuwa naish na ndugu yngu wa kiume ivo ilikuwa ngumu yy kuja kulala pale ninapokaa na aliweka mkazo nikapange na aliweka waz kuwa nikapange na anataka tuoane tuwe na familia na sababu ya yy kunipangia siku za kuonana ni hilo la kuoana na gest ki ukweli ni story ndefu kidogo apo maana hata huko gest siku moja moja tulizokuwa tunaenda ilikuwa kunq tokea vurugu kuna wakat nakuwa cjaridhika yy anasema basi anaondoka imetosha kuna wakati analia kabisa na kudai tumbo linamuuma na kuna mda ananisukuma na kuna mda anajaza mate mdomon na kuna mda anayatema baada ya kukiss tukienda bafuni kuoga ananisukuma yani tusioge karibu karibu tuoge mbali mbali na hayo yanatokea kila mara tutakayoenda gest ni stori ndefu kidogo lkn in short ni kwamba almost kwa mwez tulikuwa tunakutana once na baada ya kumuomba sex sana
Mara zote yy alidai hapendi gest nipqnge ayo mambo yataisha tuligombana sn tunapatana sasa last mouth mwezi ule wa sensa nikawaambia mdau wngu kuwa kila mtu akatafute room yke kwa sasa na tukakubaliana kila mmoja aish kivyake ajitegemee mpango wa kushare kodi hamna tena na maswala ya geto yakaishia pale
Mimi nikatafuta zngu room mahali pengine nikapanga nilipopanga tu gafla tu yule dada alianza visa nikimpigia simu hapokei sms hajibu na baadh ya namba kablock kabisa nikaongea na da yke anaeish nae akasema ataongea nae lkn haikuzaa matunda baada ya km wiki 2 za kumtafuta sinu yke ikiwa hapokei nilimtumia sms TUACHANE sasa cha ajabu baada ya kutuma tu ile sms ilijibiwa ivi kuwa chanzo cha yeye kukaa kimya ni kwa sababu anataka ndoa na kwa kipind hko nilikuwa tayar nimepanga mwez mzima naish peke angu na hii nimefuata ushauri wke na yy hajawah hata kukanyaga
Nikamjibu kuwa yy analiliaje ndoa mbayo yy haipiganii karibu sherehe nying huwq naenda na yy na mara zote ni yy tu yaan baba na mama na ndugu wanamjua na kuna story fupi kidogo kwenye hzo sherehe alikuwa akigundua mama upo tu lazima aomdoke nikimuuliza sababu ya yeye kukimbia anasema mama ni mtu wa heshima sn inabid akutane nae nyumban na sio kwenye sherehe
apo tuligombana pia kwamba mama sio MUNGU msalimie tu yaishe ili ata siku akijua naoa ajue ni ww japo haikuwah kutokea na naweza kucomclude kwamba hakuwah ongea na mama hata siku moja baba aliwah onhea nae mara moja tu basi
Mapenzi yetu yaligubikwa na wingu kubwa ambalo kabla mwaka huu haujaisha nilipanga tuoane ndugu zake namjua mmoja tu dada ake mkubwa ambae ndo anaish nae wamepanga room moja yy ana saloon na dada ake anashona nguo na aliniweka waz kuwa huku mjin hana ndugu wengi ndugu zke weng wapo kijijin na mama ake upo uko apa mjin aliletwa na dada yke ambae undugu uko mbali kidogo kuja kufanya kaz za saloon uyo dada ake ndo ni km.mama yke apa mjim anaishi nae toka 2016 na amemsaidia kaz nying amemlea km mwanae
Mwaka 2016 kipindi nakutana nae 1st time aliniomba pesa akafungue saloon nikqmkatalia nilijua hayo ndo yale mapenzi ya mjin ukimwaga tu mpunga huna chako japo msaada mdogo mdogo km na pesa km chakula mavazi simu nilimnunulia na kuna siri zngu za biashara nilimpa lengo langu sikutaka ateseke nilitaka awe free aish maisha mazur lkn sasa najuta maana nilimwamin sn kiasi kuwa naweza semq hakuna mwanamke alifikia pale na nimewakataa wengi sana kipimdi nipo nae ata wale walikuwa na mm walipoona siwapi priority na sina mpango nao walisepa mmoja ni mwanafunzi anasoma CBG ni mchaga tuliachana na sasa ana mtoto mwengine anaitwa gift saiz hata sms.zngu hajibu kuna mwingine anaitwa basia nae namba yke haipatikan ni wengi kwa kweli niliowapuuza kipimdi nipo nae nikisema niwataje apa sitowamaliza kuna mwingine nae anaitwa rapahaela kanipuuza kabisa na baadh ya girls washaniblock siwez walaumu sababu kipindi nipo nahuyu dada niliwatesa wengi sikuwajali hata
Sasa baada ya my love of all time kupigilia msumar kuwa anataka ndoq nilimpigia simu mwezi huo akiwa hajakanyaga kwangu nimuulizq kuwa dada ako ambae ni km mama yko apa dar na ndugu zako wanajua mahusiano yetu akasema ndio nikamwambia anielekeze anapoishi akaniuliza unataka kwenda nikamwambia ww nielekeze tu akaniambia usijali ntakuelekeza na apo nshawaepeza ndugu na wazazi kuwa nataka nioe mwaka huu ajabu hakunitafuta kunielekeza uyo dada ake anapoish na nilipopiga nikagundua kuwa namba zangu kaziblock zote na usiku huo niliota ndoto tata sana nikampigia kwa namba yngu extra mbal na zile alizofunga ikapokelewa lkn iliposikia ni mm hakujibu kitu na nikapokea sms h
View attachment 2363267
UPDATES
Kwa comment za wadau apo chini wengi wanadai demu hakunipenda since first time alihitaji tu msaada wangu sawa sikatai yaweza kuwa kweli lkn naomba nielezeee maisha uetu yalivyokuwa na kwann tulidumu
1.sikukuu zote kubwa na muhimu km x mas pasaka new year birthday zake valentine day birthday zngu zote tulikuwa wote na hakukuwa na fujo zozote labda simu yke kuita au meseji kuingia na simu yke nilitumia technolojia kuhack simu yke sikupata hatia yyote zaid ya wanaume kumtumia sms na hazijibu
2.apaishi na anapofanya kaz napajua nimetega ambush mara kadhaa na huwa anatoka usiku saa 5 nk na sikuwah mkuta na mtu wala nn
3.anapenda sana dini aiseee si mchezo mchezo km hao mnaomfananisha nae huyu upo serious na din na aliniweka waz kuwa bila din yy na mama yke wanheshafariki alinieleza kinagaubaga chini juu na hata usiku nampigia video call naona upo kanisan
4.aligusa sana maisha yngu hapa wengi hawawez kunielewa mfano niliibiwa simu yy ndio alinipa pesa laki 1 niongezee ninunue simu nyingine na pili alinialika adi kanisa analosali hata kipind naumwa alikuwa very close kunijulia hali
5. ubongenyanya nahisi unamboa mara kadhaa amekuwa akiniambia nifanye mazoezi nipunguze mwili lkn sikufanya ivo badala yke nilizid kunenepa kwa kukosa mda wa mazoezi na kula
5.hapendi pesa akiniomba hela nikimwambia sina anaelewa na day 1 tunakuwa in relationship kumpima nilimpa nauli 1000 tu na alishukuru na alipofka alinijuza amefika
6.kutema mate as from my experience nilichogundua manzi kuna kitu hataki kusema ila ukweli ni kwamba nahitaji modification in my mouth ikiwezekana ata pafyumu ya mdomo hayo mambo ya kula kyla sana mdomo biskuti sijui karanga mdomo unakuwa mchafu sn
7.ameisho kijijin si wa bongo dar ameingiza 2016 na aliletwa na dada ake aje afanye biashara ya kuuza nguo
8. Tumewah kuachana mara zisizopungua 5 na kila nikimtext tuachane lazima aje home tena wakati mwingine asubuh na mapema hata sijaamka namba nshaziblock anatumia namba za watu wengine naroka nje namsikiliza tunayaongea tunayanmaliza na hii ndio sababu dada ake ananiambia nimfuate saloon
Nimeongea na dada ake mkubwa kaniambiq nitafute mda niende kwenye saloon yke niongee nae
Nashukuru kwa michango yenu inatia moyo lkn pia mnisamehe kwa mwandiko sina good mood kabisa
Nakazia
Shame...shamee... shameeeNa haya ndo madhara ya kutohudhuria vikao alaf yakiwatokea puani unakuja huku kuanza kusumbua watu tu……SHAME