Usinunue kiwanja au shamba lenye mbuyu mkubwa kama huna uwezo wa kukabiliana na changamoto zake

Usinunue kiwanja au shamba lenye mbuyu mkubwa kama huna uwezo wa kukabiliana na changamoto zake

Kuwahamisha ni gharama, bifu lake ni kama la loliondo na wawekezaji
Inabidi michakato
Mie ninao shambani Dodoma..

Lakini pia mwaka huu nimegundua visanga haviishi hapa kwangu nilinunua eneo kulikuwa na makaburi mawili, baada ya visanga kunizidi mwaka huu nimewafuata ndugu waje wayahamishe wameyahamisha tayari ilatumepatwa na tukio kubwa hatari sana kila nilienda kwenye maombezi naambiwa Pana madha ahu ya muda mrefu nimeiondoa kienyeji....
Hivyo wanakuja kuidai kwa visasi wenye madhabahu yao yaani yale makaburi kumbe kilikuwa lango Lao na mafekeche yalikuwa yanafanyika pale, last month tumefukua fuvu nyuma ya mavanda ya Kuku...
Sina mpango wa kuuza nyumba lakini hebu nipe maujanja jinsi ya kukabiliana na hili zaga.
 
Habari wadau

Ukataji wa mibuyu au miti mikubwa umekuwa ikiambatana na changamoto nyingi sana kwa wamiliki na hata kwetu mafundi!

Ushauri huu tunautoa kwenu tukitambulika kama (SAMICO) ambao ni jopo la mafundi wazoefu katika sekita ya ujenzi, Umeme na gesi asilia! Unaweza kutufuatilia katika kurasa zetu Instagram kwa jina la @samico_tanzania

Kutokana na uzoefu katika fani hii ya ufundi, tunashauri kama mtu huna uwezo mkubwa wa kiuchumi au kiimani!

Usinunue kiwanja au shamba ambalo lina Mbuyu mkubwa au miti mikubwa ya kihistoria ili kuepusha migongano ya kimaslahi inayoweza kujitokeza wakati wa ukataji miti hiyo kwa ajili ujenzi!

Miti hii kwa sehemu kubwa huwa ni (viwanja, bar au kumbi za washirikina) Tulioko site muda mrefu tunajua changamoto zake! Ni kisanga sana ingawa tiba yake tunayo!

View attachment 2286292
Samico hamja chacha, nyanja zote mpo.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom