Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee una akili Sana tunaweza kuwa washkajiWatu wengi hupenda kununua vitu vya thamani na kuishi navyo kwenye nyumba za kupanga (nyumba za wanaume wenzao, waliojinyima na kuweka mijengo).
Kufanya hivyo, kunawafanya watu wengi kuishi muda mrefu kwenye nyumba za kupanga, na kusahau kujenga nyumba zao.
Utakuta mtu ana kipato kizuri; lakini utashangaa atakimbilia kununua gari, music system ya gharama, tv kubwa ya gharama n.k, na hivyo vyote anavipaki kwenye mjengo wa mwanaume aliyejinyima na kutimiza ndoto zake.
Inapotokea kipato kimeyumba, na kushindwa kujikimu kwenye kodi ya pango; wanakosa sehemu ya kwenda kuvipaki vitu walivyovinunua kwenye nyumba ya kupanga; matokeo yake ni kuanza kuviuza kwa bei ya hasara.
Ushauri; kwenye nyumba za kupanga, weka godoro, kitanda na vitendea kazi vya kupikia tu.
Salio linalobaki; nenda katafute kiwanja ujenge
Ni vizuri kila mmoja akijenga, mapori yapungue.Sasa kila mtu akijenga, hizo nyumba za wapangaji watakaa nani?
Kuna ujumbe mkubwa kafikisha huyu jamaaa👉👉👉🤝🤝🤝Una mawazo ya kimaskini sana mkuu..
KabisaKuna ujumbe mkubwa kafikisha huyu jamaaa[emoji117][emoji117][emoji117][emoji1666][emoji1666][emoji1666]
Sasa mkuu haya maisha tunayoishi si tupo safarini? Sasa kwahiyo tujenge njiani???Watu wengi hupenda kununua vitu vya thamani na kuishi navyo kwenye nyumba za kupanga (nyumba za wanaume wenzao, waliojinyima na kuweka mijengo).
Kufanya hivyo, kunawafanya watu wengi kuishi muda mrefu kwenye nyumba za kupanga, na kusahau kujenga nyumba zao.
Utakuta mtu ana kipato kizuri; lakini utashangaa atakimbilia kununua gari, music system ya gharama, tv kubwa ya gharama n.k, na hivyo vyote anavipaki kwenye mjengo wa mwanaume aliyejinyima na kutimiza ndoto zake.
Inapotokea kipato kimeyumba, na kushindwa kujikimu kwenye kodi ya pango; wanakosa sehemu ya kwenda kuvipaki vitu walivyovinunua kwenye nyumba ya kupanga; matokeo yake ni kuanza kuviuza kwa bei ya hasara.
Ushauri; kwenye nyumba za kupanga, weka godoro, kitanda na vitendea kazi vya kupikia tu.
Salio linalobaki; nenda katafute kiwanja ujenge
Mkuu ebu nipe short story ya hilo jina lakoKabisa
Paragraph ya mwisho inatosha kabisa kujua how bright you are... nimeipenda hiyoooHuyu jamaa ndio wale akiona mwenzake kanunua gari utaskia mi siwezi kumiliki gari kabla sijajenga unakuta anaacha kula vizuri kila siku anakula pembejeo (maharage) kwasababu hajajenga.
Kwa mtazamo wangu mdogo maisha yanahitaji akili na mipango na sio kujinyima au kuishi kimaskini.
Kuna wanaoishi kimaskini wanajibana na bado hawatoboi na kunawanao ishi kimkakati hawajibani wala nini na wametoboa wana majengo yao.
Ahahahah na unaweza kwako usifikie pia ukazima an...Msingi wa hoja yako umeegemea kwenye matumaimi "hope " kwamba kuna siku kila mtu atamiliki nyumba yake, je hujui kuwa watu hutofautiana vipato, malengo hats majkumu?Yaani niache kula vzuri mgahawani kwa matumaini kuwa nkifika kwangu nd nile vzuri? Wake up bro.
Maisha yasivyokuwa na adabu; kama unaishi maisha magumu, Mungu anakupa miaka mingi ya kuishi kwa taabuSasa mkuu haya maisha tunayoishi si tupo safarini? Sasa kwahiyo tujenge njiani???