Usinunue vitu vya thamani kwenye nyumba ya kupanga, kabla hujajenga kwako

Wee una akili Sana tunaweza kuwa washkaji

Alfu kingine umepanga alfu unaenda mliani cty kununua simu ya laki Tisa milioni. HV nmtu huna vya kufanya mpk kufanya hvyo
 
Sasa mkuu haya maisha tunayoishi si tupo safarini? Sasa kwahiyo tujenge njiani???
 
Huyu jamaa ndio wale akiona mwenzake kanunua gari utaskia mi siwezi kumiliki gari kabla sijajenga unakuta anaacha kula vizuri kila siku anakula pembejeo (maharage) kwasababu hajajenga.
Kwa mtazamo wangu mdogo maisha yanahitaji akili na mipango na sio kujinyima au kuishi kimaskini.
Kuna wanaoishi kimaskini wanajibana na bado hawatoboi na kunawanao ishi kimkakati hawajibani wala nini na wametoboa wana majengo yao.
 
Msingi wa hoja yako umeegemea kwenye matumaimi "hope " kwamba kuna siku kila mtu atamiliki nyumba yake, je hujui kuwa watu hutofautiana vipato, malengo hats majkumu?Yaani niache kula vzuri mgahawani kwa matumaini kuwa nkifika kwangu nd nile vzuri? Wake up bro.
 
Paragraph ya mwisho inatosha kabisa kujua how bright you are... nimeipenda hiyooo
 
Huwa nawachora tu wanaokimbilia ardhi au viwanja
Dunia kubwa hii mazee.
Relax fanya maisha.
Unapata hela kidogo unawaza kujenga hahahaa.

Ishi kwanza halafu ujue ili ukamilishe kitu cha maana Kama nyumba Jenga kidogo kidogo utashangaa!

Muda huo unajenga hakikisha haupandi daladala kwenda site, unakitu ya kuingizA pesa daily na haujachakaa wewe mwenyewe
 
Ahahahah na unaweza kwako usifikie pia ukazima an...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…