Usioe mwanamke bikra kwa ushawishi wa lazima. Bikra ambae hajakupenda mbeleni atakuumiza vibaya

Usioe mwanamke bikra kwa ushawishi wa lazima. Bikra ambae hajakupenda mbeleni atakuumiza vibaya

Wale viherehere wa kuoa nawasanua zingatieni ushauri huu ukitaka kuoa bikra hakikisha unaoa anaekupenda haswaa ila ukitumia ushawishi wa kiwaki huko mbele utauona moto, mwanamke ana evolve kwenye nyanja zote

Wadiz
Hv kwenye karne hii bado kuna watu wanasumbuliwa na kupendwa? /mapenzi?
Sasa ukioa,ukagundua hakupendi! Tatizo lipo wapi? Kwani dunia itaacha kuzunguka! Majinga huwa yanajinyonga!
Kama hii hatua haujapita, huwezi endelea!
Kama Mambo ya mapenzi bado, yanakupa shida! We ni bloodfucken kabisa, dunia Ina shida kibao, we unasumbuliwa na mapenzi!
 
Bikra inawezekana kabisa Tanzania zikawa zimebaki 5 ,good luck yeyote ambaye hajakata tamaa ya kutafuta bikra maana bikra za siku hizi angalau ukute Mwanamke ana Ex watatu maana wengi wao ni kuanzia 15 na kuendelea
 
Bikra zipi? Hizo mlizozitoboa mkaziacha?.kama mtoto wa drs la 6 ana boyfriend bikra ziko wapi...tafuta screpa yako iliyokuzimia mkae kwa kutulia..
 
Hv kwenye karne hii bado kuna watu wanasumbuliwa na kupendwa? /mapenzi?
Sasa ukioa,ukagundua hakupendi! Tatizo lipo wapi? Kwani dunia itaacha kuzunguka! Majinga huwa yanajinyonga!
Kama hii hatua haujapita, huwezi endelea!
Kama Mambo ya mapenzi bado, yanakupa shida! We ni bloodfucken kabisa, dunia Ina shida kibao, we unasumbuliwa na mapenzi!
Wewe ni mavi hayo mastress umeyatoa wapi
 
Back
Top Bottom