Usioe usioe, Narudia tena mpendwa usioe!

You had a point mwanzoni ila huko mwishoni katikati ume exaggerate.
 
Write your reply...akiwa kwenye mitandao ya kijamii Kama jamiiforums, facebook, instagram, pia usioe
labda awe twitter
 
Wanachosha hebu tuwape likizo kama miaka mitano bila kuwaoa tuone itatokea kitu cha namna gani...
 
Kuna mmoja namvizia hapa nimtafune Leo usiku daah hii barid ni kali Sana ajiandae tuu juz nmetoka Denmark Nmemwambia nmemletea zawad najua lazima aje tuu
Wambulu kwakweli kuwaoa ni changamoto kubwa.
 
kama ndo design hiyo kweny pic nitaoa tuuh hata kama ana sifa zote ulizozitaja
 
kama ndo design hiyo kweny pic nitaoa tuuh hata kama ana sifa zote ulizozitaja
[emoji1787][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Inawezekana kabisa wameanzisha movement ya kutaka kuolewa wao. Kwani nani asiyejua siku hizi dizaini hizi za waliofikiriwa kuwa mababa nao wamegeuka kugombea wanaume na wasichana. So sad! !kwa hiyo ukiona post zao ni kwamba wanatafuta kupunguza namba ya wasichana waolewe wao.
Mkuu upo katika movement gani? Kila siku Mada zako ni kupinga ndoa tu[emoji53]
 
Jifunze kiswahili fasahi
 
Mnyaturu, mnyiramba, muiraq, na mrangi usiwowe hata siku moja yata kama yuko tofauti kitabia na wenzake mkianza kuzeeka atarudia tabia za asili wewe mwanaume utakuwa umeshachoka USIOEEEEEE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…