Usioe usioe, Narudia tena mpendwa usioe!

Usioe usioe, Narudia tena mpendwa usioe!

Wanachosha hebu tuwape likizo kama miaka mitano bila kuwaoa tuone itatokea kitu cha namna gani...
 
Kuna mmoja namvizia hapa nimtafune Leo usiku daah hii barid ni kali Sana ajiandae tuu juz nmetoka Denmark Nmemwambia nmemletea zawad najua lazima aje tuu
Wambulu kwakweli kuwaoa ni changamoto kubwa.
 
kama ndo design hiyo kweny pic nitaoa tuuh hata kama ana sifa zote ulizozitaja
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

- Ukiona msichana ana ujasiri wa kuvaa nguo fupi na kuingia barabarani bila aibu akitembea USIOE.

- Úkiona msichana ana ujasiri wa kuvaa nguo ya kubana sana halafu anatembea bila aibu mtaani USIOE

- Ukiona msichana anakunywa pombe na kulewa akiwa bar USIOE

- Úkiona msichana anaujasiri wa kusimama na wanaume hovyo barabarni bila kuona aibu USIOE

- Ukiona msichana anaujasiri wa kukujibu mbovu hadharani USIOE

- Ukiona msichana anatoa hela anasuguliwa miguu USIOE

- Ukiona msichana unamtumia vocha halafu anakubipu USIOE >

-Ukiona msichana ni mjuaji juaji USIOE

-ukiona msichana ni muongeaji sanduku la maoni la mwendokasi likasome USIOE

-ukiona msichana ametendwa zaidi ya Mara mbili kwenye mahusiano USIOE

-ukiona msichana anapenda kupigia picha kwenye dressing table za lodge, kwa marafiki, saloon huku yeye dressing table yake ni dirishani USIOE

-ukiona msichana amehudhuria harusi zaidi ya tano na bado yupo kwao USIOE

-ukiona msichana kavaa mipete kumbe Hana mume wala mchumba USIOE huyo tayari keshaolewa na shetani

-Ukiona msichana anapenda Sana kupiga picha na kuonesha makalio kwa kuyabinua Kama mtetea anaandaa mazingira ya kupandwa na jogoo USIOE

-Ukiona msichana........ ENDELEA NA WEWE [emoji3][emoji3]View attachment 1114361
 
kama ndo design hiyo kweny pic nitaoa tuuh hata kama ana sifa zote ulizozitaja
[emoji1787][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Inawezekana kabisa wameanzisha movement ya kutaka kuolewa wao. Kwani nani asiyejua siku hizi dizaini hizi za waliofikiriwa kuwa mababa nao wamegeuka kugombea wanaume na wasichana. So sad! !kwa hiyo ukiona post zao ni kwamba wanatafuta kupunguza namba ya wasichana waolewe wao.
Mkuu upo katika movement gani? Kila siku Mada zako ni kupinga ndoa tu[emoji53]
 
Jifunze kiswahili fasahi
Mkuu umentonesha kidonda[emoji23][emoji23]kunalimanzi hapa nlipopanga anadoto wake yeye ni kulwa.... Alinambia anataka nimuowe ananipenda sana..... Sas one day mnyam nkakaa kwenye jiko nkaivisha vyakura kidogo..... Kikaiva nkamp akaend kulia kwa ndugu yake..... NashangAA Ananludishia vyombo vichafu[emoji23][emoji23][emoji23]
SIOWI
 
Mnyaturu, mnyiramba, muiraq, na mrangi usiwowe hata siku moja yata kama yuko tofauti kitabia na wenzake mkianza kuzeeka atarudia tabia za asili wewe mwanaume utakuwa umeshachoka USIOEEEEEE
 
Back
Top Bottom