Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann??
Serengeti kuanzia saa tatu usiku watoto wakali wapo unachukua tuuJina lake maarufu panaitwaje, nikafanye utalii??
Au pale ubungo wana choma kuku Sana hadi saa Saba usikuJina lake maarufu panaitwaje, nikafanye utalii??
Wambulu kwakweli kuwaoa ni changamoto kubwa.Cha wote wale kuna mmoja alikua anapigwa machine saiv hapa yaan ni hatar fayaaa
Sijui ni laaana
Wambulu kwakweli kuwaoa ni changamoto kubwa.
Mtabishana kilasiku USIOEDemu Kama Ni muha , muhangaza , musubi , munyarwanda , murundi, munyankore au muhima ... OA HARAKA SANA
We kumbe hujui , tuulize sisiMtabishana kilasiku USIOE
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
- Ukiona msichana ana ujasiri wa kuvaa nguo fupi na kuingia barabarani bila aibu akitembea USIOE.
- Úkiona msichana ana ujasiri wa kuvaa nguo ya kubana sana halafu anatembea bila aibu mtaani USIOE
- Ukiona msichana anakunywa pombe na kulewa akiwa bar USIOE
- Úkiona msichana anaujasiri wa kusimama na wanaume hovyo barabarni bila kuona aibu USIOE
- Ukiona msichana anaujasiri wa kukujibu mbovu hadharani USIOE
- Ukiona msichana anatoa hela anasuguliwa miguu USIOE
- Ukiona msichana unamtumia vocha halafu anakubipu USIOE >
-Ukiona msichana ni mjuaji juaji USIOE
-ukiona msichana ni muongeaji sanduku la maoni la mwendokasi likasome USIOE
-ukiona msichana ametendwa zaidi ya Mara mbili kwenye mahusiano USIOE
-ukiona msichana anapenda kupigia picha kwenye dressing table za lodge, kwa marafiki, saloon huku yeye dressing table yake ni dirishani USIOE
-ukiona msichana amehudhuria harusi zaidi ya tano na bado yupo kwao USIOE
-ukiona msichana kavaa mipete kumbe Hana mume wala mchumba USIOE huyo tayari keshaolewa na shetani
-Ukiona msichana anapenda Sana kupiga picha na kuonesha makalio kwa kuyabinua Kama mtetea anaandaa mazingira ya kupandwa na jogoo USIOE
-Ukiona msichana........ ENDELEA NA WEWE [emoji3][emoji3]View attachment 1114361
[emoji1787][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kama ndo design hiyo kweny pic nitaoa tuuh hata kama ana sifa zote ulizozitaja
[emoji1787][emoji1787]😝😝hii inaitwa komesha...safi sana.+145365265854
Mkuu upo katika movement gani? Kila siku Mada zako ni kupinga ndoa tu[emoji53]
Mkuu umentonesha kidonda[emoji23][emoji23]kunalimanzi hapa nlipopanga anadoto wake yeye ni kulwa.... Alinambia anataka nimuowe ananipenda sana..... Sas one day mnyam nkakaa kwenye jiko nkaivisha vyakura kidogo..... Kikaiva nkamp akaend kulia kwa ndugu yake..... NashangAA Ananludishia vyombo vichafu[emoji23][emoji23][emoji23]
SIOWI
Kalituma ngapi ndani ya dakika tano?Kuna kabint hv tulibadilishana phone number baada ya dk 5 nikachek sms kame nitumia pesa
Sasa vbinti vya namna hii navyo tukiviona tukimbie?