Usiombe kuacha kazi kisa Forex. Nilivyofilisika na kukimbilia kijijini Tabora

adriz aliuza hadi kiwanja
 
Kuna kitu itakua ulikosea mkuu, ni PM nikuelekwze jinsi ya kuanza tena
 
tunaobet kuna kitu kinaitwa casino games. kwenye casino games kuna play for free (hii ni kama demo kwenye forex). kwenye play for free unapoplay unakula kirahis tu, unaona yes, kumbe simpo, nikiingia kwenye game yenyewe nakula tu. ingia sasa uone, utaliwa mpaka uchakae.

ndivyo ilivyo kwenye demo ya forex. kwenye demo mambo yanakuwa yanakuendea fresh tu, ingia kwenye account halisi sasa uone balaa lake. hizi biashara za trading ni pasua kichwa, asilimia kubwa zipo kwa ajili ya kunufaisha makampuni yanayoendesha hizi biashara. tupo tunatrade kwasababu tumeshaingia tumepoteza hela nyingi, tunaamini ipo siku tutarudisha hela zetu au kupata faida kubwa kwa mara moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…