Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Napitia comments zenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
This is a subjective opinion that cannot be verified by facts
Jiunge na wewe upigwe na kitu chenye ncha kali uje kutoa ushuhuda hapa.
Juzi Mimi na rafiki yangu tumeweka $10Forex imewadondosha wengi nnaowajua kama ilivyo network marketng. Hela za kudownload n hatari sana.
Hapana sifundishi.Unafundisha watu?
Hii ni currencies ama volatilities.Juzi Mimi na rafiki yangu tumeweka $10
Jana asubuhi ikawa $20.50
Nikamwambia withdraw hiyo $10 kwanza tuile Mambo yasiwe mengi
Hapana sifundishi.
Uamuzi mzuri, kuna jamaa alipigwa 40m ndani ya siku chache tu.Juzi Mimi na rafiki yangu tumeweka $10
Jana asubuhi ikawa $20.50
Nikamwambia withdraw hiyo $10 kwanza tuile Mambo yasiwe mengi
Bufa kama una hela invest hapo nikakutaftie kiwanja chap kule tour drive kwenye balozi. Forex ni genuine, ongea na watu vizurUtapata wateja usisite kuwapa mbinu zako za ushindi. Sharing is caring.
Bufa kama una hela invest hapo nikakutaftie kiwanja chap kule tour drive kwenye balozi. Forex ni genuine, ongea na watu vizur
Noma sana.Uamuzi mzuri, kuna jamaa alipigwa 40m ndani ya siku chache tu.
Kuna dada mmoja alilipia training nikamwambia achana na hiyo kitu hakusikia, akaweka mshahara wa miezi 4 ukafyekelewa mbali, siku hizi simsikii akiiongelea forex, ameshajifunza.
Alikuwa ananishauri tutrade nikawa namzoom tu nikamshauri uhalisia hakutaka kuelewa, nikajisemea wacha kimpate kama cha kenge ndio asikieNoma sana.
Yalikushinda ww sio magumu kwa kila mtu mzee,we endelea na kilimoForex ni upuuzi mtupu. Sishauri mtu ajifunze huo ujinga.
Noma sana mkuu.Alikuwa ananishauri tutrade nikawa namzoom tu nikamshauri uhalisia hakutaka kuelewa, nikajisemea wacha kimpate kama cha kenge ndio asikie