THE HARD WORKER
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 231
- 338
Mh alisema anaumwa sana ni muda mrefu aise hadi insta kawa kimya kuna watu wanasema kafilisika sana anajitafutaOntario hivi bado anafundisha forex?? Kitambo sana nasikia anamiliki jaguar na ofisi kali mafanikio ya forex hayo
Hyo ofisi pia walifungua na partners wenzake wakagombana na akasema walimtapeli.Ontario hivi bado anafundisha forex?? Kitambo sana nasikia anamiliki jaguar na ofisi kali mafanikio ya forex hayo
Kwa hio unamaanisha hata ukiweka trade mbili tofauti kwa pair moja yaani nusu ukasell nusu ukabuy bado mwisho wa siku utaloose zoteπ π π ?
Wengine wanatrade kupitia simu.
View: https://youtu.be/RE3ZHd8jx58?si=NXQJnJveaC29ZywNππΏππΏππΏππΏ kwenye hio documentary ukiangalia wanakuambia Forex trader ukiweza kutrade in profit of 50 -55 percent of your total trades you are the best. Kwa hio the best wanalose minimum 45 percent of their money.Hao ni watu wapo kwenye investment firms. Jiulize wewe na laptop yako itakuwaje. Najua kuna Ng'ombe watakusikiliza na kukupa hela. Maana watanzania wajinga hawaishi wanaozaliwa kila si
hahahaNi wapumbavu tu wanaweza kuvutwa kwenye upuuzi wa Forex wakiamini kuna utajiri. Mtu anakwambia Forex ina utajiri mkubwa sana halafu hapo hapo anatoa mafunzo kwa kuchaji vijipesa. Huo muda wa kufundisha watu kwanini asiuwekeze kwenye kutrade yeye mwenyewe awe Bilionea?
Ila wapumbavu hawaishi duniani na wataendelea kugeuzwa fursa ndio maana manabii, wazee wa network marketing na waganga wa kienyeji wanaendelea kupiga pesa.
Hapa naweza kusema kuhusu usemalo sahihi.Forex ilitajirisha watu miaka huo ya 80 na 70 ambapo trading ilikuwa inafanywa kwa simu. Na watu walikuwa na inside information.