Usiombe kuacha kazi kisa Forex. Nilivyofilisika na kukimbilia kijijini Tabora

Usiombe kuacha kazi kisa Forex. Nilivyofilisika na kukimbilia kijijini Tabora

hii forex imefilisi watu kadhaa wa karibu ninaowajua
kuna rafiki yangu, hatuna mazoea kivile, ni civil engineer, aliniomba sh. 5000

aisee, nilistuka, nikamwambia unamaanisha sh. 500k
akasema hapana , ni sh. 5k bro

baadaye nikapata info kwamba alikua mdau wa forex
Kuwa mdau wa forex na kukuomba 5000 tsh kuna uhusiano gani?....huenda alitaka nauli tu maana alisahau kubeba wallet.
 
Jinsi ulivyoenda na huyo mwamba bampa to bampa, naamini maneno yako, forex now imekua ya kibabe sana, mentor ni wengi na wanapiga pesa kwa kufundisha na sio wao kutrade, hapa kama un akili lazima ujue kudownload hela ni kazi kuliko kutafuta mtaani.

hahaha usipate shida wewe mwambie tu akupe trade history akiweza basi huyo anajua anachofanya other wise hio trade history itafichwa kama bangi
 
Back
Top Bottom