Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe wenye mioyo ya huruma na kujali wapo eeeTuma namba ya m-pesa nikutumie ya kula leo.
More money,more problems,Umezipeleka wp hizo pesa mbona mshahara Mkubwa huo
You are such a good person... Upo Bongo bahati mbaya mkuu... Mioyo kama hii wanayo binadamu wachache sana kwenye hili bara la giza. Mungu akubariki sana...Tuma namba ya m-pesa nikutumie ya kula leo.
You are a loan shark! 😱😱😱Karibu Nakopesha Kwa Riba Ya 10% kwa wiki
[emoji18] [emoji18] [emoji18] [emoji18] [emoji18] [emoji54] [emoji54] jamani mnapobarikiwa msikufuru hivyo... pana watu mshahara huo wa 1.8 m ni ndoto kabisa kwao na wanaishi dar.... je hao wote ni makahaba?We jamaa unakipato kidogo sana kwa mwezi! Upo dar au Sumbawanga? Kwa kipato hicho kama ni demu lazima uliwe kipara!
NdioKumbe wenye mioyo ya huruma na kujali wapo eee
Ubarikiwe... na baraka zikiendelea kuwa nyingi muwe mwatukumbuka nasi piaNdio
Abeeee, umesema/Yaani hiyo tu unalalamika? Mi nina take home ya 2.8m nalipiwa nyumba na mafuta ya gari na airtime napewa ila bado naishiwa kabla mwez uishe. Mshahara huwa unamajini...mwakani naacha kazi nipo kwenye harakat za kujiajiri
[emoji54] [emoji54] [emoji54] [emoji54] 2.8m na mwezi hauishi... lini Mungu atanibariki nami kwa pesa hiyo?Yaani hiyo tu unalalamika? Mi nina take home ya 2.8m nalipiwa nyumba na mafuta ya gari na airtime napewa ila bado naishiwa kabla mwez uishe. Mshahara huwa unamajini...mwakani naacha kazi nipo kwenye harakat za kujiajiri
Ahsante.usisite kueleza shida yako.Ubarikiwe... na baraka zikiendelea kuwa nyingi muwe mwatukumbuka nasi pia