Usiombe mwanaume uishiwe yaani full stress hapa nina mia tu wakat salary 1,800,000 per month

Usiombe mwanaume uishiwe yaani full stress hapa nina mia tu wakat salary 1,800,000 per month

Sijui pesa kuenda wapi,sina michepuko nina kagari na kapikipiki tu basi
Gunyumba hagujaisha kujenga
Je wewe ulishawahi kuishiwa kiasi cha kuona kizunguzungu halaf hata wa kumkopa kumkosa ?yaan hata hamu na bint yeyote sina mm pesa yaan pesa tu

#Ama kweli Pesa kwanza mengine mazuri huja
Utakoma.njoo tulime mboga mboga upunguze stress..hakuna maisha ya raha kama kuzoea kula chakula cha buku na kua na pesa au kutokua nayo.vyote amani tu.afu siku ya kulipia ada ya watoto hua tunajikuta tumeipata utafikili tumetokea kwa TB Joshua.maisha na muziki
 
Dah..... Yaani hauna hata shemeji WA kumpiga Mzinga? Njoo nikikodishe [emoji379] [emoji86] [emoji86] [emoji4]
 
Sijui pesa kuenda wapi,sina michepuko nina kagari na kapikipiki tu basi
Gunyumba hagujaisha kujenga
Je wewe ulishawahi kuishiwa kiasi cha kuona kizunguzungu halaf hata wa kumkopa kumkosa ?yaan hata hamu na bint yeyote sina mm pesa yaan pesa tu

#Ama kweli Pesa kwanza mengine mazuri huja
K is sweet but money sweet pass all
 
Sijui pesa kuenda wapi,sina michepuko nina kagari na kapikipiki tu basi
Gunyumba hagujaisha kujenga
Je wewe ulishawahi kuishiwa kiasi cha kuona kizunguzungu halaf hata wa kumkopa kumkosa ?yaan hata hamu na bint yeyote sina mm pesa yaan pesa tu
msimu wa kilimo mwakan tutakutana shambani nimeshaorder kama heka 200 ni 50000 per heka za kulima mahindi,maharage,alizeti,ngano,mbaazi na uwele hizi kazi za kuajriwa ni za kupatia mtaji tu unaweza kuishiwa hata nguvu za kium kisha stress

#Ama kweli Pesa kwanza mengine mazuri huja
Mkuu wew mjanja sana, sipati picha wanavyotiririka huko inbox.
 
Kazipeleka wapi? Hilo swali atauliza asiye na mke, watoto na familia za ukweni au kwake tu...Hela ndogo sana hiyo kama kweli una majukumu ya shule watoto, kula familia, petroli, luku, mboga, mshahara hausigeli, kusaidia ndugu pande zote na mke akiwa na shida zake...
Haya ndio mambo yanaturudisha sana nyuma..
 
Sijui pesa kuenda wapi,sina michepuko nina kagari na kapikipiki tu basi
Gunyumba hagujaisha kujenga
Je wewe ulishawahi kuishiwa kiasi cha kuona kizunguzungu halaf hata wa kumkopa kumkosa ?yaan hata hamu na bint yeyote sina mm pesa yaan pesa tu
msimu wa kilimo mwakan tutakutana shambani nimeshaorder kama heka 200 ni 50000 per heka za kulima mahindi,maharage,alizeti,ngano,mbaazi na uwele hizi kazi za kuajriwa ni za kupatia mtaji tu unaweza kuishiwa hata nguvu za kiume kisha stress

#Ama kweli Pesa kwanza mengine mazuri huja
Mkuu washafika wangapi huko PM, kama kuna mafuriko nije kukusaidia mkuu
 
Back
Top Bottom