Aisee mtumieTuma namba ya m-pesa nikutumie ya kula leo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee mtumieTuma namba ya m-pesa nikutumie ya kula leo.
Utakoma.njoo tulime mboga mboga upunguze stress..hakuna maisha ya raha kama kuzoea kula chakula cha buku na kua na pesa au kutokua nayo.vyote amani tu.afu siku ya kulipia ada ya watoto hua tunajikuta tumeipata utafikili tumetokea kwa TB Joshua.maisha na muzikiSijui pesa kuenda wapi,sina michepuko nina kagari na kapikipiki tu basi
Gunyumba hagujaisha kujenga
Je wewe ulishawahi kuishiwa kiasi cha kuona kizunguzungu halaf hata wa kumkopa kumkosa ?yaan hata hamu na bint yeyote sina mm pesa yaan pesa tu
#Ama kweli Pesa kwanza mengine mazuri huja
[emoji23] [emoji23] we wapi mkuu kiswahili chako kinachekesha kweli[emoji23] [emoji23]Sijui twagenda pee
[emoji23]Sijui nina huruma sana bandugu bangu baniomba sana mbongo na mm gwashindwa jizuia kutoa
K is sweet but money sweet pass allSijui pesa kuenda wapi,sina michepuko nina kagari na kapikipiki tu basi
Gunyumba hagujaisha kujenga
Je wewe ulishawahi kuishiwa kiasi cha kuona kizunguzungu halaf hata wa kumkopa kumkosa ?yaan hata hamu na bint yeyote sina mm pesa yaan pesa tu
#Ama kweli Pesa kwanza mengine mazuri huja
Mia ni 100000Mkuu mbona umesema tena upo palace hotel arusha unatafuta nyama pori[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] .....
Kumbe umebakiwa na mia mzee [emoji3][emoji3][emoji3]
karibu boss tunakuandalia meza hapaKuna dada mmoja ni mhasibu wa kampuni flani analipwa 2Mil kwa mwezi ana nyumba kali na gari kali... Ngoja nitarudi
Sawa.Mungu akusaidieUkifika huo wakati na nikawa ktk hayo mazingira naomba Mungu anipe UJASIRI
Unampa pole yanini ?[emoji23]Pole sana mkuu
Mkuu wew mjanja sana, sipati picha wanavyotiririka huko inbox.Sijui pesa kuenda wapi,sina michepuko nina kagari na kapikipiki tu basi
Gunyumba hagujaisha kujenga
Je wewe ulishawahi kuishiwa kiasi cha kuona kizunguzungu halaf hata wa kumkopa kumkosa ?yaan hata hamu na bint yeyote sina mm pesa yaan pesa tu
msimu wa kilimo mwakan tutakutana shambani nimeshaorder kama heka 200 ni 50000 per heka za kulima mahindi,maharage,alizeti,ngano,mbaazi na uwele hizi kazi za kuajriwa ni za kupatia mtaji tu unaweza kuishiwa hata nguvu za kium kisha stress
#Ama kweli Pesa kwanza mengine mazuri huja
Haya ndio mambo yanaturudisha sana nyuma..Kazipeleka wapi? Hilo swali atauliza asiye na mke, watoto na familia za ukweni au kwake tu...Hela ndogo sana hiyo kama kweli una majukumu ya shule watoto, kula familia, petroli, luku, mboga, mshahara hausigeli, kusaidia ndugu pande zote na mke akiwa na shida zake...
Mm wakutokea lile kabila la kuongoza kwa uchawi Tanzania[emoji23] [emoji23] we wapi mkuu kiswahili chako kinachekesha kweli[emoji23] [emoji23]
[emoji54] [emoji54] [emoji50] [emoji50] [emoji15] [emoji15] [emoji134] [emoji134]Mkuu vipi yule bosi wako mwanamke? Pamoja na ushauri wote wadau waliokupa bado hukujua jinsi ya kuishi na yule bosi wako mwanamke? Halafu hata wiki 2 toka uajiriwe bado mshahara unakuumiza kichwa !! Nimepata kazi naombeni kanuni za kuishi na boss mwanamke,madhaifu yao pia,wanapenda nini pia
Mkuu washafika wangapi huko PM, kama kuna mafuriko nije kukusaidia mkuuSijui pesa kuenda wapi,sina michepuko nina kagari na kapikipiki tu basi
Gunyumba hagujaisha kujenga
Je wewe ulishawahi kuishiwa kiasi cha kuona kizunguzungu halaf hata wa kumkopa kumkosa ?yaan hata hamu na bint yeyote sina mm pesa yaan pesa tu
msimu wa kilimo mwakan tutakutana shambani nimeshaorder kama heka 200 ni 50000 per heka za kulima mahindi,maharage,alizeti,ngano,mbaazi na uwele hizi kazi za kuajriwa ni za kupatia mtaji tu unaweza kuishiwa hata nguvu za kiume kisha stress
#Ama kweli Pesa kwanza mengine mazuri huja