24hrs
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,630
- 5,958
du kwa kwer huenda mshaara unadumaza akili kila la kher mkuu.Yaani hiyo tu unalalamika? Mi nina take home ya 2.8m nalipiwa nyumba na mafuta ya gari na airtime napewa ila bado naishiwa kabla mwez uishe. Mshahara huwa unamajini...mwakani naacha kazi nipo kwenye harakat za kujiajiri