Mpe muda aki-graduate na GPA ya 1st Class afu asipate kazi ndo atajua Dunia hada walimwengu shujaa!Aisee ikitokea umekutana na mwanafunzi wa IT mwaka wa kwanza wengi ni much know.
Niko na dogo hapa kamaliza mwaka wa kwanza amesoma masuala ya security yani yeye kila kitu anasema anaweza hack iwe gmail, wi-fi, mitandoa ya simu atumie net bure, anakwambia gmail haiko secur3, instagram anaweza kuhack.
Basi mimi namchora tu na kumkubalia.
Kila anachoona kwenye computer anasema usitúmie hicho tumia hiki ananitajia softwares ambazo ei maarufu ili mradi vurugu tu.
Hapa kaniambia nisitumie chatgpt haina performance nzuri nitumie sijui flick.
mwaka wa kwanza kila mwanafunzi anataka kutengeneza na kumilliki softwares kama Elon musk,Mwisho wa siku wakihitimu wakija mitaani hawawezi hata ku develop web-sitesAisee ikitokea umekutana na mwanafunzi wa IT mwaka wa kwanza wengi ni much know.
Niko na dogo hapa kamaliza mwaka wa kwanza amesoma masuala ya security yani yeye kila kitu anasema anaweza hack iwe gmail, wi-fi, mitandoa ya simu atumie net bure, anakwambia gmail haiko secur3, instagram anaweza kuhack.
Basi mimi namchora tu na kumkubalia.
Kila anachoona kwenye computer anasema usitúmie hicho tumia hiki ananitajia softwares ambazo ei maarufu ili mradi vurugu tu.
Hapa kaniambia nisitumie chatgpt haina performance nzuri nitumie sijui flick.
Umeniwahi na hii comment. Amsubiri Makumbusho kwenye maduka ya iphone baada ya ku graduate.Mpe muda aki-graduate na GPA ya 1st Class afu asipate kazi ndo atajua Dunia hada walimwengu shujaa!
Ananiambia achana na gmail, namwambia mimi gmail hii email naitumia toka niko kidato cha 2 zaidi ya mika 15 iliyopita na niliipenda kwa sababu ya simple user UI nikaachana na Yahoo. Akaniambia mnaitumia kwa sababu ni maarufu ila hakuna kitu ni css tu hiyo. Mimi nacheka tumwaka wa kwanza kila mwanafunzi anataka kutengeneza na kumilliki softwares kama Elon musk,Mwisho wa siku wakihitimu wakija mitaani hawawezi hata ku develop web-sites
Aisee ikitokea umekutana na mwanafunzi wa IT mwaka wa kwanza wengi ni much know.
Niko na dogo hapa kamaliza mwaka wa kwanza amesoma masuala ya security yani yeye kila kitu anasema anaweza hack iwe gmail, wi-fi, mitandoa ya simu atumie net bure, anakwambia gmail haiko secure, instagram anaweza kuhack.
Basi mimi namchora tu na kumkubalia.
Kila anachoona kwenye computer anasema usitúmie hicho tumia hiki ananitajia softwares ambazo si maarufu ili mradi vurugu tu.
Hapa kaniambia nisitumie chatgpt haina performance nzuri nitumie sijui flick.
Mkuu hata sibishani naye kila kitu mimi namkubalia. Maana yuko bsy anachapa code za python hapa anasema akimaliza anataka atengeneze file zake za kupenetrate mtandao wa voda sasa alikuwa hajaijulia vzuri python likizo hii ndipo ameamua kupambana nayo.🙂🙂🙂Mshikishe adabu mwambie ahack Instagram akaunti yoyote aibadili jina
Acheni wivuUmeniwahi na hii comment. Amsubiri Makumbusho kwenye maduka ya iphone baada ya ku graduate.
Atamkuta kafuga ndevu kisuruali kimembana, maneno mengi ya kudalalia iphone. Hapo hatowaza ku hack chochote.
Kwahiyo jamaa yangu unapiga story na vitoto vya chuo akina mshamba_hachekwi dah age. Yako?Mimi sikusoma IT chuo wala, nnachofahamu nimesoma mtandaoni na kwa watu tu na wala si expert wa hiyo field.
Si age yangu nimemzidi sana tu. Mimi napiga story na kila mtu as long as ni productive hadi mwanangu wa miaka 8 napiga naye storyKwahiyo jamaa yangu unapiga story na vitoto vya chuo akina mshamba_hachekwi dah age. Yako?
hapa amezidi mpaka voda?Mkuu hata sibishani naye kila kitu mimi namkubalia. Maana yuko bsy anachapa code za python hapa anasema akimaliza anataka atengeneze file zake za kupenetrate mtandao wa voda sasa alikuwa hajaijulia vzuri python likizo hii ndipo ameamua kupambana nayo.
Huyo uliye mtag ni kitoto cha chuo?Kwahiyo jamaa yangu unapiga story na vitoto vya chuo akina mshamba_hachekwi dah age. Yako?
hii ni sifa mojawapo ya RastafariSi age yangu nimemzidi sana tu. Mimi napiga story na kila mtu as long as ni productive hadi mwanangu wa miaka 8 napiga naye story