Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Aisee ikitokea umekutana na mwanafunzi wa IT mwaka wa kwanza wengi ni much know.
Niko na dogo hapa kamaliza mwaka wa kwanza anasoma masuala ya security yani yeye kila kitu anasema anaweza hack iwe gmail, wi-fi, mitandoa ya simu atumie net bure, anakwambia gmail haiko secure, instagram anaweza kuhack.
Basi mimi namchora tu na kumkubalia.
Kila anachoona kwenye computer anasema usitúmie hicho tumia hiki ananitajia softwares ambazo si maarufu ili mradi vurugu tu.
Hapa kaniambia nisitumie chatgpt haina performance nzuri nitumie sijui flick.
Niko na dogo hapa kamaliza mwaka wa kwanza anasoma masuala ya security yani yeye kila kitu anasema anaweza hack iwe gmail, wi-fi, mitandoa ya simu atumie net bure, anakwambia gmail haiko secure, instagram anaweza kuhack.
Basi mimi namchora tu na kumkubalia.
Kila anachoona kwenye computer anasema usitúmie hicho tumia hiki ananitajia softwares ambazo si maarufu ili mradi vurugu tu.
Hapa kaniambia nisitumie chatgpt haina performance nzuri nitumie sijui flick.