Usione anatembea amependeza mrembo hivi. Usijaribu kabisa utajuta

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Eti umemwona mwanamke mrembo anapendeza ukavutiwa naye umtongoze? Basi jua unalolitafuta utalipata.

Soon ukishakuwa naye tu utagundua ana matatizo ya kodi, mtoto au watoto, mzazi wake mgonjwa, anadaiwa. Anahitaji ada mzazi wake ameshindwa ,hana pesa ya matumizi na matatizo mengine kede wa kede.

Sikushauri kabisa utongoze...kutongoza ni kuyatongoza matatizo....yaani umemwona mwanamke mzuri unaenda sasa kuyatafuta matatizo yake ili yawe yako. Unaenda jitafutia matatizo ya bure tu. Bora utafute dada mmoja anayejiuza mzuri. Uonane naye mkamuane umlipe tsh 20,000. Na uchukue namba yake ya simu kuwa ukihitaji huduma utakuwa unamtafuta.

Wapo wachache wanawake wanajielewa. Wengi ni wa kukatisha tamaa sana. Sisi ambao tunataka ku settle tunakutana na changamoto sana.
 
Igwe mr [emoji383][emoji1787]
 
Huo ndio ukweli 100% solution ni kutafuta wauza utelezi ambao mkimalizana ndo imeisha hiyo
 
Mwanamke hiyo ni nature yake, hapo ni kama kujaribu kukimbia majukumu. Muhimu ni kuwa na utaratibu mzuri wa kusaidiana na mwenza wako, isije yakawa unajitoa mazima kumbe mwenzako anakula pesa yako na mwisho wa siku ana kukataa
 
Umenena vyema, wanawake ni tamaa ndo zinawafanya wajidhalilishe bure kuvua pichu ovyo ovyo wakati wameolewa, stress za maisha, hali ngumu ya uchumi inawafanya wajitoe ufahamu.

Yaani hadi huruma, mama fulani anaenda na mtoto wa miaka mitatu ghetto kwa mwanaume na ananyanduliwa mbele ya mwanaye, faida yake elfu tano tu ya kitanzania jamani.
 
Bandiko Bora kabisa la mwaka , naomba Maxence Melo aliwekee lamination
 
Vipi ukitaka watoto?
Vipi ukitaka mtu wa kuwepo pale unapokuwa haupo sawa kimawazo n.k.?
Utamtumia mwanamke anayejiuza?
Matatizo hayakimbiwi bali yanakabiliwa na kutatuliwa.
Don't be a coward. You can not run away from problems or out run them but you can only postpone or buy time when to face them.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…