Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika mkuu[emoji4]Kamwaga mandinga, Kala kachoka kamtema ndio zao hizo.
Shunie nimeishakuwa mtu poa mambo ya ajabu ajabu na mastory ya hovyo hovyo nimejitenga nayo kabisaKabla haujapiga vitu vyako una akili
Eti umemwona mwanamke mrembo anapendeza ukavutiwa naye umtongoze? Basi jua unalolitafuta utalipata.
Soon ukishakuwa naye tu utagundua ana matatizo ya kodi, mtoto au watoto, mzazi wake mgonjwa, anadaiwa. Anahitaji ada mzazi wake ameshindwa ,hana pesa ya matumizi na matatizo mengine kede wa kede.
Sikushauri kabisa utongoze...kutongoza ni kuyatongoza matatizo....yaani umemwona mwanamke mzuri unaenda sasa kuyatafuta matatizo yake ili yawe yako. Unaenda jitafutia matatizo ya bure tu. Bora utafute dada mmoja anayejiuza mzuri. Uonane naye mkamuane umlipe tsh 20,000. Na uchukue namba yake ya simu kuwa ukihitaji huduma utakuwa unamtafuta.
Wapo wachache wanawake wanajielewa. Wengi ni wa kukatisha tamaa sana. Sisi ambao tunataka ku settle tunakutana na changamoto sana.
[emoji1787] Huu ndio ukweli unatafutiwa sababu tu ili uachweNacho jua mwanamke kama hakupendi atakuomba hela na atakutafutia sababu tafuta pale unapo pendeka
mda kidogo hivi.. 😅😅😅😅Mmh lini umebadilika
Hahhah sitaki hata kukuaminimda kidogo hivi.. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mtoto/mama anaumwaUnamtumia SMS anakuomba vocha ya 5000/
[emoji1787] Huu ndio ukweli unatafutiwa sababu tu ili uachwe
Sisi wachawi huwa tuna bahati mbayaUshauri wangu Ni kwamba:-View attachment 2519383
😂😂😂 Maxence Melo mkuu kuna ombi hukuBandiko Bora kabisa la mwaka , naomba Maxence Melo aliwekee lamination
Inasikitisha na kufikirisha sana hii,Umenena vyema, wanawake ni tamaa ndo zinawafanya wajidhalilishe bure kuvua pichu ovyo ovyo wakati wameolewa, stress za maisha, hali ngumu ya uchumi inawafanya wajitoe ufahamu.
Yaani hadi huruma, mama fulani anaenda na mtoto wa miaka mitatu ghetto kwa mwanaume na ananyanduliwa mbele ya mwanaye, faida yake elfu tano tu ya kitanzania jamani.
Unahitaji akili kubwa kung'amua jambo km hilo,Mwanamke hiyo ni nature yake, hapo ni kama kujaribu kukimbia majukumu. Muhimu ni kuwa na utaratibu mzuri wa kusaidiana na mwenza wako, isije yakawa unajitoa mazima kumbe mwenzako anakula pesa yako na mwisho wa siku ana kukataa
kung'amua jambo gani ? Kama una akilo timamu kwanza nyeupe utaijua na nyeusi utaijuaUnahitaji akili kubwa kung'amua jambo km hilo,
Anataka kupigia dunia nzima?Unamtumia SMS anakuomba vocha ya 5000/
Kuna jamaa Alimwambia demu wake omba vyote isipokuwa Kajala 1&2Ubahiri mwisho Iringa,
Huoni kina kondeboy wanavomwaga Mandinga[emoji445][emoji3]
Wengine hadi uje umgundue kashakupiga kilometers za kutosha,kung'amua jambo gani ? Kama una akilo timamu kwanza nyeupe utaijua na nyeusi utaijua
Mtoto/mama anaumwa
Kodi imeisha
Mchango wa birthday
Kodi
Umeme etc