Usione anatembea amependeza mrembo hivi. Usijaribu kabisa utajuta

Usione anatembea amependeza mrembo hivi. Usijaribu kabisa utajuta

Wengine hadi uje umgundue kashakupiga kilometers za kutosha,
Hayo ni makosa ya mwanaume kwa asilimia kubwa.. Makosa ambayo wengi tunafanya ni kujaribu kuingia kwenye mahusiano na tusio wafahamu.. hiyo ni kosa la kiufundi.. unakuwa kama una bet.. mwanamke anatoka kwenye mazingira yako ( atakufahamu na utakuwa una mfahamu ) hata atapo kubalia anaelewa nani kaamua kuwa nae ndio maana ndoa za kale zilikuwa zinadumu.. nyie mnakuta juu juu mnabebana.. mna bet wote.. vetting muhimu mkuu
 
Mwanamke hiyo ni nature yake, hapo ni kama kujaribu kukimbia majukumu. Muhimu ni kuwa na utaratibu mzuri wa kusaidiana na mwenza wako, isije yakawa unajitoa mazima kumbe mwenzako anakula pesa yako na mwisho wa siku ana kukataa
Hivi mna hakika na na hizi fikra zenu au mnasingizia nature?
Ni wapi nature iliacha pengo kwa jinsia ya kike kiasi kwamba wawe tegemezi?
Jinsia zote zina ubongo
Jinsia zote zina mikono miwili
Jinsia zote zina miguu miwili
Jinsia zote zina macho mawili, masikio mawili, pua, mdomo moyo nk.

Sema mlichonyimwa na nature ili tuwaelewe mbwa nyinyi
 
Eti umemwona mwanamke mrembo anapendeza ukavutiwa naye umtongoze? Basi jua unalolitafuta utalipata.

Soon ukishakuwa naye tu utagundua ana matatizo ya kodi, mtoto au watoto, mzazi wake mgonjwa, anadaiwa. Anahitaji ada mzazi wake ameshindwa ,hana pesa ya matumizi na matatizo mengine kede wa kede.

Sikushauri kabisa utongoze...kutongoza ni kuyatongoza matatizo....yaani umemwona mwanamke mzuri unaenda sasa kuyatafuta matatizo yake ili yawe yako. Unaenda jitafutia matatizo ya bure tu. Bora utafute dada mmoja anayejiuza mzuri. Uonane naye mkamuane umlipe tsh 20,000. Na uchukue namba yake ya simu kuwa ukihitaji huduma utakuwa unamtafuta.

Wapo wachache wanawake wanajielewa. Wengi ni wa kukatisha tamaa sana. Sisi ambao tunataka ku settle tunakutana na changamoto sana.
Pole sana naona yamekukuta mkuu
 
Siku hizi hata uwe na nyimbo kiasi gani kama hutumi miamala,
Utaishia kuota usingizini..

Ili mwanamke akuone ni mwanaume unayefaa ni lazima utume miamala Kwanza.

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app

Kimsingi ukitaka demu wa kibongo umteke akili ni mwendo wa tigo pesa tu,na mpeleke sehemu akale vzr atakacho.
 
Mkuu, papuchi tangu zamani za kale haijawahi kuwa bure. Cha msingi ni kutafuta ya levo Yako maama Kila Moja Ina bei yake kulingana na hadhi ya aliyenayo.
Ha ha haaa ..
Ngoja nimtusi mtu hapa.
Mimi ningekuwa na pesa ningeitafuta ya Makiwendo .
Let me send my apology in advance to the above mentioned member. Sijui uchizi gani umenikuta adi nimkosee hivi huyu member.
 
Ndo mana akiipendacho binti
Wahuni tunanunua, na ikifiika mida ya miti
Asije aka zingu-a, bby Deka, Deka baby nikudekeze. To yeye Basi deka, Deka nikudekeze.[emoji1787]
😅😅😅😅😅😅😅🎤🎤🎤🎤 Kwako Mwalimu aseee harmonize in de building......
 
Mwanamke anaweza akawa na wanaume hata 10 ambao kila siku lazima aombe vocha,kwa mtindo wa weka kwenye tigo pesa.


Mfano kila mwanaume mmoja anatoa pesa ya Bando 5000 tu,

Kwa siku anakunja 50000 Safi.
Kwa mwezi 1500,000/..

Hyo ni maombi ya bandle tu,,bado hajalia shida.



Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Sio wote watatoa sasa kati ya 10 labda mmoja au wawili afu wakitoa watatu mmoja anakula papuchi.......
 
Vipi ukitaka watoto?
Vipi ukitaka mtu wa kuwepo pale unapokuwa haupo sawa kimawazo n.k.?
Utamtumia mwanamke anayejiuza?
Matatizo hayakimbiwi bali yanakabiliwa na kutatuliwa.
Don't be a coward. You can not run away from problems or out run them but you can only postpone or buy time when to face them.
Ndio siyo hawaa wa vikoba na vyama.
 
Eti umemwona mwanamke mrembo anapendeza ukavutiwa naye umtongoze? Basi jua unalolitafuta utalipata.

Soon ukishakuwa naye tu utagundua ana matatizo ya kodi, mtoto au watoto, mzazi wake mgonjwa, anadaiwa. Anahitaji ada mzazi wake ameshindwa ,hana pesa ya matumizi na matatizo mengine kede wa kede.

Sikushauri kabisa utongoze...kutongoza ni kuyatongoza matatizo....yaani umemwona mwanamke mzuri unaenda sasa kuyatafuta matatizo yake ili yawe yako. Unaenda jitafutia matatizo ya bure tu. Bora utafute dada mmoja anayejiuza mzuri. Uonane naye mkamuane umlipe tsh 20,000. Na uchukue namba yake ya simu kuwa ukihitaji huduma utakuwa unamtafuta.

Wapo wachache wanawake wanajielewa. Wengi ni wa kukatisha tamaa sana. Sisi ambao tunataka ku settle tunakutana na changamoto sana.
Nitaiprint afu naipigia lamination inafaha kwa vizazi vijavyo piaa manake c kwa kuoza kwa hii dunia ya minyanduanoo
 
Back
Top Bottom