Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahii KABISAMkuu, papuchi tangu zamani za kale haijawahi kuwa bure. Cha msingi ni kutafuta ya levo Yako maama Kila Moja Ina bei yake kulingana na hadhi ya aliyenayo.
Kamwaga mandinga, Kala kachoka kamtema ndio zao hizo.Ubahiri mwisho Iringa,
Huoni kina kondeboy wanavomwaga Mandinga[emoji445][emoji3]
Umemaliza.Mkuu, papuchi tangu zamani za kale haijawahi kuwa bure. Cha msingi ni kutafuta ya levo Yako maama Kila Moja Ina bei yake kulingana na hadhi ya aliyenayo.
kutongoza ni kuyatongoza matatizo..
Mbona mama J kakuzid matatizo ila ndio unampenda balaa [emoji6]Ushauri wangu Ni kwamba:-View attachment 2519383
Halafu anakwambiya mumekee kwenye tigo pesa,,
Huwa nashangaa sn.
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Umemaliza.
Mzee umeongea kwa uchungu sana yaonekana ushapigwa tukio,Wapo wachache wanawake wanajielewa. Wengi ni wa kukatisha tamaa sana. Sisi ambao tunataka ku
Kabla haujapiga vitu vyako una akiliMwanamke hiyo ni nature yake, hapo ni kama kujaribu kukimbia majukumu. Muhimu ni kuwa na utaratibu mzuri wa kusaidiana na mwenza wako, isije yakawa unajitoa mazima kumbe mwenzako anakula pesa yako na mwisho wa siku ana kukataa