Smart Contract
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 1,158
- 2,847
- Thread starter
- #21
Damu yakutosha mpaka nikisimamisha boda wengine wananikataaDuu panga la uso tena mara mbili na ukatoka nduki...hukutokwa na damu? So ukafika home ukalala vzr...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Damu yakutosha mpaka nikisimamisha boda wengine wananikataaDuu panga la uso tena mara mbili na ukatoka nduki...hukutokwa na damu? So ukafika home ukalala vzr...
Kwa hilo Bora waniue tuMshukuru hawajawa-mixx by Yas 🤣
Mkaliunga ..... Pombe za unga unga mwana zinakuwaga tamu sana ... Mara paaaap usiku huu na uko mbali kinyama..pole mwambaNi kweli na ndivyo nnavyfanya tulienda kula pilau mahali tukatana na kreti za bia ikabidi tuonje tukanogewa
Pole sanaDamu yakutosha mpaka nikisimamisha boda wengine wananikataa
Kabisa yaani. . Deiwaka kaua watu 9+ yeye baada ya kujichanganya kwa ngasere bus.Kisa? Gambe.Siku ya Christmas sio siku ya kunywa Pombe.
Za familia sio za ofa, ila Asante kwa ushauriMadhara ya pombe za bure,una bahati wangekula kiboga.
Hata uwe na kisu kwa utamu wa panga mbona utakisahauMuwe mnatembea na kasilaha hata kadogo mfukoni kadharula. Mfano kisu au wembe
Asante sanaPole sana
Kwa bahati nzuri naishi kibachela,Vipi mama watoto hajakushutumu kuwa ulifumaniwa? Anyway nikupe pole sana mkuu nadhani imekua somo kwako nakwetu pia ila dawa ya makovu nadhani ungeenda kumuona dactari
Hahaha inaonekana ulilambwa bapa za hatariHata uwe na kisu kwa utamu wa panga mbona utakisahau
Acha tu mkuu wahuni sio watuHahaha inaonekana ulilambwa bapa za hatari
Pole sanaAcha tu mkuu wahuni sio watu