Usipoacha tabia hizi hautakuwa huru kifedha

Usipoacha tabia hizi hautakuwa huru kifedha

Mimi nina watu kama hao nyuma yangu,hivyo nimeamua kukaa kimya tu kuwacheck,..
Dogo mmoja nilimwambia nikufungulie gereji ndogo ya magari na nitaleta mtu ujifunze kutoka kwake. Akanambia dah hiyo siiwezi. Baadae naambiwa ameajiriwa kiwanda cha maji katoni moja ya upakiaji sijui shilingi 40.Mwishowe kachemka anang'ang'ania remote na wanangu.
 
Kuwasema peke hatuwajenge tuwawezeshe tuwape connection, ni swala la muda tu watajua kuwa life ipo serious kuliko wanavyodhani
Mkuu nimejaribu kuzungumzia hawa ambao niko nao karibu kwa maana nimejaribu kuwapa koneksheni lakini bure kabisa
 
Dogo mmoja nilimwambia nikufungulie gereji ndogo ya magari na nitaleta mtu ujifunze kutoka kwake. Akanambia dah hiyo siiwezi. Baadae naambiwa ameajiriwa kiwanda cha maji katoni moja ya upakiaji sijui shilingi 40.Mwishowe kachemka anang'ang'ania remote na wanangu.
Hahahaha,
 
Ndiyo maana nilimuambia dada akae pembeni suala la kutafuta mme mimi nitalishughulikia mpaka apate mme bora .

Ila hawa masikini ndiyo hawa wanakuja kututukana hapa jamvini kisa washalala na dada zetu .

Damn

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Mkuu usipaniki bali jifunze kitu hapa.

Kumbuka mwanzoni kabisa nilitahadharisha kuwa sina lengo baya bali dhamira yangu ni wadogo zetu wajifunze. Zaidi ya hapo dada ako akiolewa na maskini anaejitambua, akaukataa umaskini kwa kuchapa kazi basi ataishi raha mustarehe. Ubarikiwe mkuu.

Halafu kwa nini ushughulike na swala la kutafuta mume wa dada ako mkuu?🙏🙏🙏
 
Mwanamke hata Kama haumpi hela fahamu tu kuna uwezekano mkubwa akawa tatizo la wewe kutoboa maana mafanikio huwa yanahitaji utulivu mkubwa Wa akili na hisia sasa ukiwa na mwanamke anakucheat basi tayari umeshaua kiungo muhimu katika safari yako ya maisha
Kabisa....Kuna jamaa aliingia kwenye uraibu kisa mkewe anampa stress kupindukia tena anamtia aibu.
 
Asante kwa kunipa moyo kaka uliyoyaandika nimepractice ndani ya miaka 5 mfululizo na naona dalili nzuri sana nimepiga hatua ngoja niendeleze nidhamu
Mkuu usipuuze haya niliyoyaandika siyo maigizo na nimeona athari kwa hao case study wangu maana hazipiti siku 15 lazima wanipige mzinga na kama sina wanafungua mafaili ya ulalamishi "brother mkuda, shemeji siku hizi mnoko"
Mungu akubariki kaka.
 

Nilifungua Uzi nikitaraji kupata nondo za kutosha kuhusu nidham ya matumizi ya pesa, kumbe ni mambo mepesimepesi tu ya kifamilia[emoji849][emoji849]

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Haya mambo madogo madogo (petty issues) ndo yanatupa umaskini.
Mkuu nondo kubwa zinatakiwa ziende kwa watu wa kubwa kama wewe...........Hapa tunazungumzia daraja la chini ambalo wahusika wanaweza kunufaika na haya niliyoyasema.

Siku ikifika zamu yako nitakuwekea mantisa, logarithms, Monopolism na vingine vyenye uzito sawa na wewe.
BTW nimegusia swala la kuweka akiba na wewe kwa level yako hujui hata mabepari wanaofanana na wewe wanaweka akiba then wanainvest. Na vipi kuhusu hoja ya matumizi mabaya ya fedha hayaangushi uchumi wa mtu mmojammoja.

Mkuu Kipanya rudi kwenye uzi wetu wa kuwaua wanajeshi wa Russia 800+ a day
 
Mkuu usipaniki bali jifunze kitu hapa.

Kumbuka mwanzoni kabisa nilitahadharisha kuwa sina lengo baya bali dhamira yangu ni wadogo zetu wajifunze. Zaidi ya hapo dada ako akiolewa na maskini anaejitambua, akaukataa umaskini kwa kuchapa kazi basi ataishi raha mustarehe. Ubarikiwe mkuu.

Halafu kwa nini ushughulike na swala la kutafuta mume wa dada ako mkuu?[emoji120][emoji120][emoji120]
Dada yangu ni slayqueen , dada yangu ni wale wadada hawawezi kukushauri wewe mwanaume juu ya maendeleo ila anahitaji upigane ulete mkate mezani .

Dada yangu ni wale wadada slow learner ambao hata leo nikimpa mtaji hana maajabu katika mtaji huo .

Ila kizuri hakikosi kasoro mkuu wangu , dada yangu ni mzuri ijapokuwa akili za maisha hana .

Sasa kupitia uzuri wake na ilivyo ada katika zama hizi uzuri ni kigezo cha mwanamume kumuweka binti ndani , basi nipo katika juhudi jadidifu kuhakikisha hata kama hana akili ila uzuri wake ukamdondokee mwanaume anayejitambua kiuchumi , kijamii na kifalsafa ili nisiongeze mzigo wa dada na shemeji yangu kuja kwangu kuomba matumizi ilihali na mimi nitakuwa na yangu .

Asante.

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom