Usipoacha tabia hizi hautakuwa huru kifedha

Usipoacha tabia hizi hautakuwa huru kifedha

Haya mambo madogo madogo (petty issues) ndo yanatupa umaskini.
Mkuu nondo kubwa zinatakiwa ziende kwa watu wa kubwa kama wewe...........Hapa tunazungumzia daraja la chini ambalo wahusika wanaweza kunufaika na haya niliyoyasema.

Siku ikifika zamu yako nitakuwekea mantisa, logarithms, Monopolism na vingine vyenye uzito sawa na wewe.
BTW nimegusia swala la kuweka akiba na wewe kwa level yako hujui hata mabepari wanaofanana na wewe wanaweka akiba then wanainvest. Na vipi kuhusu hoja ya matumizi mabaya ya fedha hayaangushi uchumi wa mtu mmojammoja.

Mkuu Kipanya rudi kwenye uzi wetu wa kuwaua wanajeshi wa Russia 800+ a day
[emoji28]

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom