Usipotoshwe na watu wasioelewa maana na utaratibu wa kuwa na raia pacha. Angalia hapa maelezo ya uraia pacha na niulize swali lolote nitakujibu

Usipotoshwe na watu wasioelewa maana na utaratibu wa kuwa na raia pacha. Angalia hapa maelezo ya uraia pacha na niulize swali lolote nitakujibu

Unajua, swali lako wala sihitaji kulijibu, kwa sababu wewe unataka kutuambia kwamba hizi ncho zote zilizoruhusu uraia zimefanya hivyo kiupofu bila kutambua kwamba hakuna faida ya uraia pacha. Hebu angalia tena hii ramani na jiulize nini wanachoona wao ambacho sisi hatuoni?

View attachment 2382456
Unaniuliza mimi tena? Wewe ndio ulitakiwa useme hizo nchi zenye uraia pacha wamepata nini tofauti na sisi ambao hatuna.
 
Unaniuliza mimi tena? Wewe ndio ulitakiwa useme hizo nchi zenye uraia pacha wamepata nini tofauti na sisi ambao hatuna.
Orodha ni ndefu sana, na imo humu somewhere. Soma thread na posts. Lakini sometimes, ikitokea hapa duniani watu wote wakaacha kuvaa viatu vya raizon na suruali za bugaluu lakini wewe ukaendelea kuvivaa kwa sababu unaona kuna ubora katika kuvaa raizoni na bugaluu, wewe ndio kituko duniani!
 
Orodha ni ndefu sana, na imo humu somewhere. Soma thread na posts. Lakini sometimes, ikitokea hapa duniani watu wote wakaacha kuvaa viatu vya raizon na suruali za bugaluu lakini wewe ukaendelea kuvivaa kwa sababu unaona kuna ubora katika kuvaa raizoni na bugaluu, wewe ndio kituko duniani!
unaongea mambo ya kufikirika unaacha uhalisia.

Nchi zilizotunguka zina uraia pacha, kuna maajabu gani kwenye hizo nchi yaliyoletwa na ndugu zao wanaoishi nje?

Nchi nyingi za Asia zimepiga marufuku Uraia pacha na kiuchumi zipo vizuri sasa sijui hapo utasemaje.

mfano wako wa bugaluu na raizon sijaelewa unataka kusema nini.
 
Nchi nyingi za Asia zimepiga marufuku Uraia pacha na kiuchumi zipo vizuri sasa sijui hapo utasemaje.

mfano wako wa bugaluu na raizon sijaelewa unataka kusema nini.
Unajua nini, unaweza kusema nilisafiri toka Dar hadi Morogoro kwa bodaboda, sasa kuna tatizo gani kwamba sikutumia basi?

Sasa hiyo tunaita constrained thinking capacity
 
Uraia pacha kwa Tanzania naona Kama ujinga tu uraia pacha unawafaa wazungu,wahindi na waarabu na wachina kwa sababu wana faida kwenye zao kiuchumi na kibiashara wakiwa Nchi sio zao

Mfano mhindi wa Tanzania ndio importer mkubwa wa bidhaa za India kuleta Tanzania

Mwarabu pia ndie importer mkubwa wa bidhaa za Uarabuni Kama mafuta nk kuleta Tanzania

Mchina vivyo hivyo

Diaspora wa kwetu wa nini kikubwa wanacho import kwenye Nchi zao waliko watafute masoko huko?

Uraia pacha kwa watanzania hawana maana yeyote ninkujaza tu mipassport tu kwenye kabati

Diaspora wetu was kitanzania Ni choka mbaya

Mhindi,mwarabu na mchina diaspora yeye huwaza tu namna ya kuleta bidhaa toka nchini kwake kwenye country of origin kuuza aliko tofauti na midiaspora mitanzania .Ni kelele tu ohhh tunataka uraia pacha kwa kipi Cha maana walichonacho wanachosaidia Nchi?
Uraia pacha unafaa Afrika kutokana na historia zetu za muingiliano wa makabila. Wamasai wako Kenya na Tanzani, wamakonde Msumbiji na Tanzania etc
 
mfano wako wa bugaluu na raizon sijaelewa unataka kusema nini.
Nataka kusema hivi, ikiwa leo hapa duniani watu wote wataamua kukata masikio wasiwe nayo, wewe peke yako ukagoma kukata masikio yako, kuanzia siku hiyo wewe ndio utakuwa mlemavu wa masikio na wengine wote waliokata masikio ndio wana masikio sawa bila ulemavu!
 
Hao ni minor wasiokuwa na uwezo wa kufanya maamuzi.
Hivyo wanaruhusiwa mpaka umri watakao ruhusiwa kufanya maamuzi kwa mujibu wa sheria ambao ni 18.

Kumbuka asipokana uraia na kula kiapo Cha utii kikijulikana kama Oath of allegiance basi uraia wake wa Tanzania utakufa kifo Cha asili
 
Hulitaki wewe, na sisi tunalitaka. Kwa hiyo tufanyeje sasa?
Kwa nini uraia pacha?
Na si uraia wa nchi tatu, nne au zaidi?
Unapowaza Uraia pacha ukumbuke pia utahusisha nchi tulizopakana nazo ambayo itakuwa ngumu kukontroo
 
Hili la aliloeleza la kufuatiwa Uraia inabidi aliongezee nyama. Ni kwa sheria ipi au ibara ipi ya katiba inatoa rukhsa ya kufuta Uraia wa kuandikishwa.
Uraia wa kuandikishwa unafutwa wakati wowote
 
Unajua, swali lako wala sihitaji kulijibu, kwa sababu wewe unataka kutuambia kwamba hizi ncho zote zilizoruhusu uraia zimefanya hivyo kiupofu bila kutambua kwamba hakuna faida ya uraia pacha. Hebu angalia tena hii ramani na jiulize nini wanachoona wao ambacho sisi hatuoni?

View attachment 2382456
Hakuna faida yote zaidi ya opportunist wa hache ambao watataka kufaidika kiuchumi?
 
Uraia pacha kwa Tanzania naona Kama ujinga tu uraia pacha unawafaa wazungu,wahindi na waarabu na wachina kwa sababu wana faida kwenye zao kiuchumi na kibiashara wakiwa Nchi sio zao

Mfano mhindi wa Tanzania ndio importer mkubwa wa bidhaa za India kuleta Tanzania

Mwarabu pia ndie importer mkubwa wa bidhaa za Uarabuni Kama mafuta nk kuleta Tanzania

Mchina vivyo hivyo

Diaspora wa kwetu wa nini kikubwa wanacho import kwenye Nchi zao waliko watafute masoko huko?

Uraia pacha kwa watanzania hawana maana yeyote ninkujaza tu mipassport tu kwenye kabati

Diaspora wetu was kitanzania Ni choka mbaya

Mhindi,mwarabu na mchina diaspora yeye huwaza tu namna ya kuleta bidhaa toka nchini kwake kwenye country of origin kuuza aliko tofauti na midiaspora mitanzania .Ni kelele tu ohhh tunataka uraia pacha kwa kipi Cha maana walichonacho wanachosaidia Nchi?
Wewe endelea kulala na akili yako sijui ya wapi hiyo, nilipita Columbus Ohio nikakuta Michele wa mbeya nikaambiya Kuna mbongo ndio ana import, acheni kujidharau
 
Wewe endelea kulala na akili yako sijui ya wapi hiyo, nilipita Columbus Ohio nikakuta Michele wa mbeya nikaambiya Kuna mbongo ndio ana import, acheni kujidharau
Huyo mmoja katika watanzania maelfu walio nje

Wengi kazi yao wakiwa nje ni kutufanya tu soko.la mitumba yao bidhaa za nchi wanayonunua huko nchi waliko

Tofauti na wahindi,waarabu na wazungu na wachina walioko Tanzania ambao huwa na faida kubwa nchi zao kwa kununua vitu kwao nchi walizotoka na kuvileta Tanzania kuuza
 
Huyo mmoja katika watanzania maelfu walio nje

Wengi kazi yao wakiwa nje ni kutufanya tu soko.la mitumba yao bidhaa za nchi wanayonunua huko nchi waliko

Tofauti na wahindi,waarabu na wazungu na wachina walioko Tanzania ambao huwa na faida kubwa nchi zao kwa kununua vitu kwao nchi walizotoka na kuvileta Tanzania kuuza
Wako wengi sasa wanajaribu, nawajua wengi tuu wanafanya biashara na wanafanikiwa,mambo yanabadilika na hao ndio wataleta capital na utaalam
 
Back
Top Bottom