Usipuuze taarifa yoyote inayohusu kuwa umebambikiziwa Mtoto

Usipuuze taarifa yoyote inayohusu kuwa umebambikiziwa Mtoto

Kama umezaliwa Africa ardhi ya Mtu mweusi lazima utahasirika na tamaduni zetu maana tuko tayari kukupa hata taarifa za Uongo juu ya DNA ili kulinda haki za Watoto . Kwa ufupi Mtoto anayeaminika ni wetu ni aliyezaliwa na Dada maana Dada abambikiwi Mwana .

Hekima ya Afrika ni Pevu sana .Kitanda hakizai Haramu waliotoa huu Msemo walifikiri zaidi kuliko DNA.
Wewe ni mwehu! Na kama ni mfanyakazi basi ni hasara kwa taifa. Huna miiko na maadili bora ya kazi.

Nani kakudanganya DNA inapimwa TZ pekee? Nani kakudanganya DNA za kizungu ni uthibitisho tosha wa kuwa mtoto ni wako au si wako?

Nikiamua kujua ukweli kuhusu mtoto wangu nitajua tu! Sina hata haja ya hizo DNA zenu.
 
Niliwahi bambikiziwa mtoto kwa miaka karibu mitano toka anazaliwa, na mtoto alikuwa na cicle cell na kipindi hicho sikuwa kazi yoyote ya maana.

Sitosahau baada ya kugundua sikudai chochote wala kulipiza. Ila wanawake muda fulani basi tu.
Duh
 
Wewe ni mwehu! Na kama ni mfanyakazi basi ni hasara kwa taifa. Huna miiko na maadili bora ya kazi.

Nani kakudanganya DNA inapimwa TZ pekee? Nani kakudanganya DNA za kizungu ni uthibitisho tosha wa kuwa mtoto ni wako au si wako?

Nikiamua kujua ukweli kuhusu mtoto wangu nitajua tu! Sina hata haja ya hizo DNA zenu.
Mtu akiwa mkali kwenye ukweli ni tatizo.Hapa ni Africa huku Kwetu kitanda hakizai Haramu.
 
Kuna mtoto wa kike nimebambikwa hapa juzi tu, ikabidi nifike kumwona na watu wote nilioongozana nao wanashuhudia kanifanana.... cha ajabu hadi ndugu zangu na mjomba mmoja anaingia kingi eti alama za mikono ni zetu!

Mimi namba zooote zinagoma kuanzia mimba hadi kuzaliwa kwake, ndugu zangu wameshaingia kimiani... nimebaki nawachora tu ila sijafanya maamuzi.

Kuna nafsi inaniambia nimkubali tu huyu mtoto ili nimlee, haitonigharimu kitu.... ila ni hadi huyu mama yake anyooshe maelezo kuwa sio mtoto wangu ila anahitaji msaada wa malezi tu.

Akikubali, nitamlea huyu binti kama ndugu mwingine yeyote.
Na wwe Kama ulikula mbususu yake bila shida, wwe lea tu hakuna shida mradi ukweli unao moyoni mwako!!
 
acha kuongea sana .kipimo kikubwa mfate shangazi yako.ndio DNA tosha ya majibu.
kwani neno "shangazi sawa na mchawi " kwa nini wanawake wanawagopa mashangazi.
DNA wanaogopa kujaza watoto wa mtaani naona wanaona heri ubandikwe tu ,labda upime ndani na nje
 
Sheria hairuhusu kumchukua mtoto wako uliyezaa na mke wa mtu,jela itakuhusu
 
Wewe ni mwehu! Na kama ni mfanyakazi basi ni hasara kwa taifa. Huna miiko na maadili bora ya kazi.

Nani kakudanganya DNA inapimwa TZ pekee? Nani kakudanganya DNA za kizungu ni uthibitisho tosha wa kuwa mtoto ni wako au si wako?

Nikiamua kujua ukweli kuhusu mtoto wangu nitajua tu! Sina hata haja ya hizo DNA zenu.
Tanzania wanazingua Sana hawatoi majibu ya kweli
 
Pana mtu alimkatakata mapanga mkewe kwa kumropokea mtoto Sio wako.Sijaelewa hii saikolojia ya kuropoka mambo wanapokuwa na hasira wanaropoka tu au ni wanajisahau hivyo Mungu anakupa ujumbe.Au tu ni hasira za mdomo mchafu maana silaha ya mwanamke mpumbavu ni mdomo wake mchafu.
Maana hasira hasara hisia hasara.
Ipo hivi jamaa aliudhiana na mkewe wakati maudhi hayajapoa akawa amewabeba wanae wawili,huku mwanamke bado ana hasira mwanamke akaropoka " unabeba hovyo watoto wa wanaume wenzio unajua kuzaa wewe mbwa" hii kauli ilipelekea mwisho wa uhai wa huyo mwanamke mwanaume alichukua panga akamkatakata mkewe kwa hasira na ikawa mwisho wao, mwanaume yupo jela mwanamke uhai wake ulikoma siku hio.
Watoto wamebakia yatima baba jela mama kaburini.
Wataalamu wa emotional intelligence mwanamke anapotamka jambo kwa hasira Huwa anaamisha Nini? Akukere akuumize au Mungu kakuonyesha sawa na mlevi aropokaye Siri baada ya kulewa,maana ni wanawake wachache sana wenye vifua.
 
Haisaidii kitu kuchunguza chunguza kama mtoto ni wako ama la. Tunza watoto wote kwenye ndoa. Kisa Cha kujitafutia kifo cha mapema ni nini, hebu fikiria umemlea mtoto tangu akiwa kichanga mpaka anafika miaka 20 halafu ujue sio wako.... Mtoto ni mtoto
 
-et kitanda hakizai haramu.
-et mtoto akikuwa anaweza kuwa great person.
-mara mtoto wa kubambikizia anaweza kusaidia famila.
-et baba yako mzazi anaweza kuwa sio baba yako ila amevunga
-sijui mtoto wa kubambikiziwa anaweza epuka laana na mikosi kama hivyo vitu vikiachiliwa kwenye ukoo

hizo point juu zote haziko logic zote ni assumption na uoga juu ya kufanya maamuzi
kama alivosema mtoa mada mwanaume anaetetea huu ujinga anaweza kua na matatizo katika kufikiri kidhibitisho soma point hapo juu yani ni assumption na uoga haziko logic kabisa
yote hayo kisa kuogopa kuface ukweli na kutoa maamuzi hakuna kingine
et ndio hekima na busara ,hakuna hekima na busara kwenye kukimbia ukweli na kukimbia kufanya maamuzi
mtoto sio wako timua huyo ni alama ya usaliti ,mtu msaliti hata shetani hamtaki iweje wewe ambaye sio hanithi wala sio mgumba ukubali huu ujinga
 
Haisaidii kitu kuchunguza chunguza kama mtoto ni wako ama la. Tunza watoto wote kwenye ndoa. Kisa Cha kujitafutia kifo cha mapema ni nini, hebu fikiria umemlea mtoto tangu akiwa kichanga mpaka anafika miaka 20 halafu ujue sio wako.... Mtoto ni mtoto

Mtoto sio Mtoto.
Hiyo kauli hutolewa na watu wasioelewa Dunia inatoka wapi na wapi inaelekea.

Watu dhaifu wasioweza kuukabili ukweli na uhalisia.
Kisingizio kujitafutia kifo.

Ni vizuri kujua ukweli, kuhusu Kulea wote ni maamuzi, Kwani wangapi wanalea Watoto wasio wao Kwa mapenzi Yao.

Ila Kulea mtoto ambaye unajua ni wako WA kumzaa kumbe sio wako, hicho ni kizazi haramu, kizazi cha uongouongo, kizazi cha kitapeli.
 
Back
Top Bottom