Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #61
-et kitanda hakizai haramu.
-et mtoto akikuwa anaweza kuwa great person.
-mara mtoto wa kubambikizia anaweza kusaidia famila.
-et baba yako mzazi anaweza kuwa sio baba yako ila amevunga
-sijui mtoto wa kubambikiziwa anaweza epuka laana na mikosi kama hivyo vitu vikiachiliwa kwenye ukoo
hizo point juu zote haziko logic zote ni assumption na uoga juu ya kufanya maamuzi
kama alivosema mtoa mada mwanaume anaetetea huu ujinga anaweza kua na matatizo katika kufikiri kidhibitisho soma point hapo juu yani ni assumption na uoga haziko logic kabisa
yote hayo kisa kuogopa kuface ukweli na kutoa maamuzi hakuna kingine
et ndio hekima na busara ,hakuna hekima na busara kwenye kukimbia ukweli na kukimbia kufanya maamuzi
mtoto sio wako timua huyo ni alama ya usaliti ,mtu msaliti hata shetani hamtaki iweje wewe ambaye sio hanithi wala sio mgumba ukubali huu ujinga
Mkuu WANAUME wengi wanaosema kauli kama hizo ni wanaume wasiojiamini, na Upeo wao wa kufikiri huwaga ni mdogo.
Ndio wengi wao hufanya mauaji Kwa sababu hawakutaka kuutafuta ukweli mpaka pale ukweli ulipojidhihirisha