Usipuuze taarifa yoyote inayohusu kuwa umebambikiziwa Mtoto


Mkuu WANAUME wengi wanaosema kauli kama hizo ni wanaume wasiojiamini, na Upeo wao wa kufikiri huwaga ni mdogo.
Ndio wengi wao hufanya mauaji Kwa sababu hawakutaka kuutafuta ukweli mpaka pale ukweli ulipojidhihirisha
 
Mkuu WANAUME wengi wanaosema kauli kama hizo ni wanaume wasiojiamini, na Upeo wao wa kufikiri huwaga ni mdogo.
Ndio wengi wao hufanya mauaji Kwa sababu hawakutaka kuutafuta ukweli mpaka pale ukweli uulipojidhihiri
siko zote kweli ni adui adui kwa mtu mpumbavu na mwovu
 
Binafsi kwenye ndoa ninao wanne. Hapo kabla nilikua nae mmoja. Sifuatilii wala nini maana waja watakwambia mbona humfanani mtoto wako wa tatu😀😀 ili tu uvurugwe
 
Tanzania wanazingua Sana hawatoi majibu ya kweli



Kweli kabisa.

Hawazingatii ukweli na uadilifu.

Hawana code of ethics labda.

Eti wanauliza kati yenu wanaume nani anaishi na mwanamke na hiyo Mtoto ukisema mimi basi majibu yatatoka wewe ndiwe mwenye mtoto [emoji108]
 
Kwanini kushindwa kuwa na mtoto iwe ni tatizo kubwa hivi kwamba ubambikiziwe mtoto asiye wako kuwa wako nawe ukubali eti kama stara?? Hata vitabu vya dini vimesema kupata watoto ni majaliwa, haipaswi kuwa ni aibu isiyobebeka
 
Kwanini kushindwa kuwa na mtoto iwe ni tatizo kubwa hivi kwamba ubambikiziwe mtoto asiye wako kuwa wako nawe ukubali eti kama stara?? Hata vitabu vya dini vimesema kupata watoto ni majaliwa, haipaswi kuwa ni aibu isiyobebeka

Wengine wanaona Bora hivyo. Na wengine wanaweza kuwa na mashaka ya kwenda kupima ili kuondoa mashaka Yao.
 
Nawaangaliaaaaa, naishia kusema hiiiiiii!! Yaani ulimwengu wa sasa Yesu asingepata wa kumlea! Angepata changamoto mapema sana kutoka kwa baba! Kama ulipenda boga penda na ya lake! Sasa umemkuta mama ana mtoto au anazaliwa mkiwa mmeshaanza mapenzi sasa utamkataa ili aende wapi? Kwani ukimlea tu unapungukiwa na nini?
 
Mungu aliishi afrika kabla hajapakwa vumbi na weupe na dini zao.
 
Dogo mkaldayo unaenda pupa sana. Subiri ukue kue.
 
Endelea kusikiliza maneno ya watu mitaani,..

Kwamba ukisikia mtoto sio wako basi umkatae.[emoji23][emoji23]


Kweli kuwa na bichwa kubwa kama siafu sio kuwa na akili.
Mkuu mwandende kuna uzi flani ulikoment nilicheka sana yani wee jamaa. Eti ikija kugegeda sijui kwa mashemeji, shangazi, mamdogo mamkubwa na binadamu huna huruma wewe unagonga tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…