Tutakutongoza wewe kambi ya fisi- wewe tengeneza mazingira tu ya kujifanya wa kike
Una point lakini nikiangalia ID yako naona kama ni dume, inashangaza sana ujumbe kama huu kutolewa na dume.
Kuwa mpole tu mkuu mambo iko hivyo siku hizi, mbaya zaidi mambo zibapelekwa kisheriaTuliambiwa jana kuwa mali anayochuma Mke aliye katika ndoa ni yake binafsi. Lakini Ile anayochuma Mume ni ya wote yaani ni ya familia nzima. Halafu tena wewe unaendekea kutonesha kidonda ambacho hakijapona. Ama kweli wanaume tumeumbwa kuhangaika hapa duniani, na hao tunaowahangaikia wala hawatuthamini.
Na wewe ni dume ama ni jike?Una point lakini nikiangalia ID yako naona kama ni dume, inashangaza sana ujumbe kama huu kutolewa na dume.
Sio mwanaume huyoo
Kazi kwenuAsante sana kambi ya fisi tumekuelewa
Na wewe ni dume ama ni jike?
Mbona umepanic sana una shida gani?Nani kasema anataka kuhamia kwenye nyumba zenu ili akaishi maisha yake yote kwa masimango [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Kumbe ni mwanamke? Aiseee! Dunia ina mengi ya kujifunza.
Kama wewe sio mario basi tulia waache wadada wachukue ushauri kwa faida yao.Mm Sio marioo Ebo!! Ila tu Mambo ya watu yanakutia wivu wa nn Sasa?
pili pili usio Ila inakuwashia nn?
misemo ya kiswahili..wazungu wanasema Mind your own business.
Sio mwanaume wala sio mwanamke.... ni hii jenda mpya
Aisee! Tatizo ni kubwa
Feminists wengi hawajaolewa, hawajaoaFeminist wengi hua ni wanaume wanaotamani kua wanawake.
Kujipendekeza kwingi
Kwa hiyo umeamua kutoa tangazo kabisa kuwa unataka mwanaume wa kukuoa?Nishakupenda teari wewe unaonekana ni demu sema umeweka dp ya mwanaume tu hapo utuzuge.... njoo dm nishakupenda teari
Ntumie namba yako dm- maana sio Kwa kupigania haki za kina mama kwa nguvu izo
Punguza nyege utapata wa kukukanda soon [emoji16]Sio mwanaume huyoo
Kwa hiyo umeamua kutoa tangazo kabisa kuwa unataka mwanaume wa kukuoa?
Weka tu namba yako hapa utapata utapata hakika wa kukufumua marinda we gay [emoji16]
Jf [emoji23][emoji23]Kumbe ni mwanamke? Aiseee! Dunia ina mengi ya kujifunza.
I-zoom hiyo dp yake utaona kitu