Usiruhusu mwanaume kuhamia kwenye nyumba yako uliyojenga kwa jasho lako

πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨
 
Una hoja wanaume wa sikuhizi wapenda kitonga na hawana haya unaendeleaje Kwa nyumba ambayo hulipi kodi Wala hujajenga na inakuwa comfortable
 
Una hoja wanaume wa sikuhizi wapenda kitonga na hawana haya unaendeleaje Kwa nyumba ambayo hulipi kodi Wala hujajenga na inakuwa comfortable
Kama mwanamke anaenda kwenye nyumba ambayo hajajenga na halipi kodi, alafu anakua comfortable, iweje ishindikane kwa mwanaume? Kwanini kwa mwanaume ionekane ni kupenda kitonga?

Shida ni kwamba, Feminists wengi hamjui mnachokipigania. Hata 50/50 mnayoitaka pia hamuelewi tafsiri yake kiundani.
 
Una hoja wanaume wa sikuhizi wapenda kitonga na hawana haya unaendeleaje Kwa nyumba ambayo hulipi kodi Wala hujajenga na inakuwa comfortable
Mbn nyie mnakaa kwenye nyumba zetu hamlip Kodi wala hamjajenga na mnakua comfortable na hamna anaewabugudh achen uchoyo kmmk
 
Safi bro
Hawa ombaomba tunawahifadh tunawalisha tunawavisha tunawatibu na bado kwenye chΓ kula tunachonunua kwa pesa zetu wanatutilia midawa tufe warith Mali zetu kudadadek zao
 
Gongelea pale pale πŸ˜‚
πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨
 
Mwanaume usikubali kuishi na mwanamke kwenye nyumba ulojenga kwa jasho lako hata kama n nzur vip
Jengen yenuu kwa jasho len kwa mia mia zetu pamoja

Utakuja nishukuru
Na usioe ikiwa hujajenga
 
Hakuna kitu kibaya kama umaskini wewe una nyumba au kibanda?

Kuzaliwa familia maskini ndio unakuwa na hivyo vi concept vya kimaskini

Ndio maana matajiri wengi huwa hawataki mtoto wao wa kike aolewe na familia ya kimaskini hata huyo mtoto.wao wa kiume awe Proffessor

Mleta mada kaoe maskini wenzio una pepo la umaskini wewe na ukoo wako na wazazi wako kaa mbali na watoto wa kike toka familia za wenye uwezo usije ambukiza familia za wenye uwezo pepo lenu la umaskini bakini nalo hukoko kwenu na kwenye ukoo wenu kwa Jina la Yesu

Mungu awakwepeshe na kila mtoto wa kike mwenye uwezo muishie kuoana maskini watupu kwa jina la Yesu

Kaoe mashenzini kwenu huko kulikojaa kunguni na mnalala chini na kusoma ulisoma kwa shida sababu ya ulofa wa familia yako kaoe saizi yako kwa maskini wenzio huko ulikozaliwa mpe taarifa na mama yako mpuuzi wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…