Usiruhusu mwanaume kuhamia kwenye nyumba yako uliyojenga kwa jasho lako

Kuna mmoja yupo hapa jiran kakuta janamke la kichaga lishajenga 2 houses tena nzur na ka gar na watoto,picha linaanza watoto wale wa like hawamuheshimu baba ,wanavaa vibaya mbele yake. Ila utamkuta mzee kavimba kwenye kagar, lile limama linamgombezaga had mbele za watu. Mbayaaaa
 
Unatukana matusi kwa jina la Yesu!

Pole Mario futa tu mihemko ya kutamani kuhamia mjengoni kwa mkeo
 
Yethuu na Marie!
 
Kutoka kwenye nyumba uliojenga afu kwenda kupanga nako mtihani [emoji854]
 
Unatukana matusi kwa jina la Yesu!

Pole Mario futa tu mihemko ya kutamani kuhamia mjengoni kwa mkeo
Sifuti mtoto yeyote.wa kike kutoka familia tajiri asikubali kuolewa na lofa au kutoka familia ya kilofa aolewe na mtu saizu yake

Biblia inatamka wazi Mungu alisema nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye

Lofa wa kiume hafanani na mwanamke mwenye uwezo.toka familia yenye uwezo

Kukubali mtoto wa kike kuolewa na ambaye mtoto wa kike kamzidi uwezo ni kukiuka maandiko amweleze live kaoe saizi yako achana na mimi kwa Jina la Yesu toka nenda kaoe saizi yako pepo wewe amkemee kama anavyokemea pepo litoke mbele yake kwa Jina la Yesu
 
Unatukana matusi kwa jina la Yesu!

Pole Mario futa tu mihemko ya kutamani kuhamia mjengoni kwa mkeo
Mtoto maskini wa kiume kuoa msichana.wa kike mwenye uwezo hapana
Haikubaliki hata Kibilia
Akaoe maskini mwenzie watajuana huko mbeleni wakifanikiwa sawa kila heri

Lakini kila kijana wa kiume awe saizi.yake kuepusha migogoro mbeleni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…