Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,629
- 9,530
Serikali inafanya makusudi sana mwaka juzi iliajiri watu 2000 wa NTA level 5 (assistant clinical officer) nakuacha diploma na medical doctor wakisaga rumba mtaaniWanataka usiendelee level 6 uishie level 5 ili uweze kuajiriwa na Serikali kwa hio kwa maana hio wanaoendelea level 6 ni mafala wenzao walioishia level 5 wanaajiriwa wao wanaendelea kusota mtaani,