Usitafute pesa kwasababu ya mwanamke, iwe kwaajili maisha yako. Kilichomkuta huyu jamaa ni fundisho tosha!

Usitafute pesa kwasababu ya mwanamke, iwe kwaajili maisha yako. Kilichomkuta huyu jamaa ni fundisho tosha!

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Habari wakuu

Nimekuwa na msemo mkubwa sana ambao umekuwa ukitumika sana, "tafuta pesa". Hasa linapokuja masuala ya kuhonga, lakini ndugu unaweza ukajisifu unahonga ila kuna watu wanahonga sana wewe cha mtoto.

Ngoja niwape kilichomkuta jamaa yangu, kilinisikitisha, nisingipenda nitaje majina halisi na uhusiano wangu na yeye.

Huyu jamaa ambaye ninampa jina fake la Peter, alikuwa ana mahusiano na dada mmoja mwanafunzi wa form IV, tuna mpa jina fake la Lucy.

Peter alimkubali sana Lucy mpaka akataka amuoe, ila manzi akakataa akamwambia Peter mpaka majibu ya form IV yatoke ndio nitajua unioe au lah! Majibu yalikuja kutoka Lucy alifaulu kwenda advance, moja kwa moja akamwambia jamaa amsubirie mpaka amalize.

Jamaa kwasababu anampenda akawa yupo tayari kumsubiria mpaka amalize, lakini hakuishia hapo alikuwa anamgharamia ada kwa kipindi chote hicho mpaka anamaliza.

Lucy alikuja kumwambia Peter ningependa nimalize kabisa chuo hapo ndio utakuwa huru kunioa kuliko sasa hivi, hii ni baada ya kufaulu kwenda chuo jamaa alikuwa bega bega nae.

Huyo lucy ninamfahamu na aliwahi kunitambulisha kwake, na sio tu mimi wengi tu walikuwa wanajua kiukweli demu ni mzuri haswa. Huyu Lucy alikuwa anaishi na shangazi yake sema walikuwa hawaelewani.

Hii alinimbia peter mwenyewe so peter akaamua ampangishie nyumba nzima Lucy, na sio tu kumpangishia pekee lakini pia akamnunulia gari litakalokuwa linampeleka mpaka chuo. Yeye Lucy alikuwa hajui kuendesha so alimwajiri dereva atakayekuwa anamuendesha.

Kumbe Lucy alikuja kuanzisha uhusiano wa mapenzi na mwanafunzi mwenzake wa pale chuo, jamaa akawa hajui ingawa akipata taarifa hiyo. aliipuzia yeye aliona kama watu wanatumia hiyo njia ili wampate mtu wake kimauhusiano.

Jamaa alikuwa kapenda na kaoza juu ya Lucy, lakini baadae alikuja kuwafumania kwenye nyumba aliyompangishia mpenzi wake Lucy. Imagine jamaa kapoteza muda, fedha kwa mwanamke at the end of the day anapigwa tukio.

Halafu sasa Lucy alipata mimba sasa sikuwahi kujua au kuulizia ile mimba ilikuwa ya Nani ingawa jamaa ndio alikuwa ana itake care.

NB: Nilichogundua mimi jamaa alikuwa hapendwi, ninavyojua mimi ukiwa na hela utapata mademu wa kugonga. Pesa pekee haifanyi demu akupende na sio kigezo cha kumpata mwanamke wa kuishi nae.
 
Habari wakuu

Nimekuwa namsemo mkubwa Sana ambao umekuwa ukitumika Sana "Tafuta pesa" hasa linapokuja masuala ya kuhonga lakini ndugu Unaweza ukajisifu unahonga ila kuna watu wanahonga Sana wewe Cha mtoto ngoja niwape kilichomkuta jamaa yangu klinisikitisha mmoja nisingipenda nitaje majina halisi na uhusiano wangu na yeye.

Huyu jamaa ambaye ninampa jina fake la Peter alikuwa ana mahusiano na dada mmoja mwanafunzi wa form iv tuna mpa jina fake la Lucy, Peter alimkubali Sana Lucy mpaka akataka amuoe ila manzi akakataa akamwambia Peter mpaka majibu ya form iv yatoke ndio nitajua unioe au lah!. Majibu yalikuja kutoka Lucy alifaulu kwenda advance Moja kwa Moja akamwambia jamaa amsubirie mpaka amalize jamaa kwasababu anampenda akawa yupo teyari kumsubiria mpaka amalize lakini hakuishia hapo alikuwa anamgharamia ada kwa kipindi chote hicho mpaka anamaliza.

Lucy alikuja kumwambia Peter ningependa nimalize kabisa chuo hapo ndio utakuwa huru kunioa kuliko sasa hiv hii ni baada ya kufaulu kwenda chuo jamaa alikuwa bega bega nae.

Huyo lucy ninamfahamu na aliwahi kunitambulisha kwake na sio tu mimi wengi tu walikuwa wanajua kiukweli demu ni mzuri haswa. Huyu Lucy alikuwa anaishi na shangazi yake sema walikuwa hawaelewani hii alinimbia peter mwenyewe so peter akaamua ampangishie nyumba nzima Lucy na sio tu kumpangishia pekee lakini pia akamnunulia gari litakalokuwa linampeleka mpaka chuo yeye lucy alikuwa ajui kuendesha so alimwajiri dereva atakaekuwa anamuendesha.

Kumbe Lucy alikuja kuanzisha uhusiano wa mapenzi na mwanafunzi mwenzake wa pale chuo jamaa akawa ajui ingawa akipata taarifa hiyo aliipuzia yeye aliona kama watu wanatumia hiyo njia ili wampate mtu wake kimauhusiano jamaa alikuwa kapenda na kaoza juu ya Lucy lakini baadae akuja kuwafumania kwenye nyumba alimpangishia mpenzi wake lucy imagine jamaa kapoteza muda,fedha kea mwanamke the end of the day anapigwa tukio alafu sasa Lucy alipata mimba sasa sikuwahi kujua au kuulizia ile mimba ilikuwa ya Nani ingawa jamaa ndio alikuwa ana itake care

NB:Nilichogundua mimi jamaa alikuwa apendwi ninavyojua mimi ukiwa na hela utapata mademu wa kugonga pesa pekee haifanyi demu akupende na sio kigezo Cha kumpata mwanamke wa kuishi nae
Hili jambo ni sahihi kabisa kaka pesa sio kigezo cha kupendwa bali ni kigezo cha kupata wanawake wengi wao wenye tamaa za kutaka kupata pesa yako
 
Vifuatavyo ni Marufuku kwa mchumba ...!

Apangishiwi nyumba,asomeshwi,ajengewi,
alipiwi vicoba,alipiwi ADA Wala hanunuliwi gari...!

Marufuku Kbs.

Vinavyoruhusiwa ni vitu kama Zawadi Za peni,mkebe au kompasi,calculator, laptop,kitambaa cha Leso,Saa Ya mkononi,viatu,madaftari,Vishikwambi n.k....!
Rafiki yako Mwambie atulize mshono ndo kashapigwa hapo..!
 
fala kweli huyo, Mwanamke unampelekaje chuo


nimesoma vyuo vyetu hivi vya hapa bongo siwezi peleka mke huko,

Tuna walimu wahuni wanafelisha maksudi ili wapewe papuchi ndio watoe maksi. kama mke wako kilaza kazi inarahusishwa.

Kama mke wako mshamba umemtoa huko bush au kijijini ndio kabisa, vyuoni sehemu zake za siri zitaumia kwa kudanganywa na vijana wa mjini
 
Habari wakuu

Nimekuwa namsemo mkubwa Sana ambao umekuwa ukitumika Sana "Tafuta pesa" hasa linapokuja masuala ya kuhonga lakini ndugu Unaweza ukajisifu unahonga ila kuna watu wanahonga Sana wewe Cha mtoto ngoja niwape kilichomkuta jamaa yangu klinisikitisha mmoja nisingipenda nitaje majina halisi na uhusiano wangu na yeye.

Huyu jamaa ambaye ninampa jina fake la Peter alikuwa ana mahusiano na dada mmoja mwanafunzi wa form iv tuna mpa jina fake la Lucy, Peter alimkubali Sana Lucy mpaka akataka amuoe ila manzi akakataa akamwambia Peter mpaka majibu ya form iv yatoke ndio nitajua unioe au lah!. Majibu yalikuja kutoka Lucy alifaulu kwenda advance Moja kwa Moja akamwambia jamaa amsubirie mpaka amalize jamaa kwasababu anampenda akawa yupo teyari kumsubiria mpaka amalize lakini hakuishia hapo alikuwa anamgharamia ada kwa kipindi chote hicho mpaka anamaliza.

Lucy alikuja kumwambia Peter ningependa nimalize kabisa chuo hapo ndio utakuwa huru kunioa kuliko sasa hiv hii ni baada ya kufaulu kwenda chuo jamaa alikuwa bega bega nae.

Huyo lucy ninamfahamu na aliwahi kunitambulisha kwake na sio tu mimi wengi tu walikuwa wanajua kiukweli demu ni mzuri haswa. Huyu Lucy alikuwa anaishi na shangazi yake sema walikuwa hawaelewani hii alinimbia peter mwenyewe so peter akaamua ampangishie nyumba nzima Lucy na sio tu kumpangishia pekee lakini pia akamnunulia gari litakalokuwa linampeleka mpaka chuo yeye lucy alikuwa ajui kuendesha so alimwajiri dereva atakaekuwa anamuendesha.

Kumbe Lucy alikuja kuanzisha uhusiano wa mapenzi na mwanafunzi mwenzake wa pale chuo jamaa akawa ajui ingawa akipata taarifa hiyo aliipuzia yeye aliona kama watu wanatumia hiyo njia ili wampate mtu wake kimauhusiano jamaa alikuwa kapenda na kaoza juu ya Lucy lakini baadae akuja kuwafumania kwenye nyumba alimpangishia mpenzi wake lucy imagine jamaa kapoteza muda,fedha kea mwanamke the end of the day anapigwa tukio alafu sasa Lucy alipata mimba sasa sikuwahi kujua au kuulizia ile mimba ilikuwa ya Nani ingawa jamaa ndio alikuwa ana itake care

NB:Nilichogundua mimi jamaa alikuwa apendwi ninavyojua mimi ukiwa na hela utapata mademu wa kugonga pesa pekee haifanyi demu akupende na sio kigezo Cha kumpata mwanamke wa kuishi nae
Ukimpenda demu akaenda chuo piga ua garagaza lazima awe na mwanachuo mwenzake
 
Picha za huyo bidada kujazia nyama mkuu.
Lucy mwenyewe ndiyo huyu aise anatesa moyo wa kijana
images%20-%202022-08-25T100119.186.jpg
 
Pesa bila akili huisha bila taarifa ..anapenda kijinga sana au jamaa domo zege muonekano wa kiume Hana

Kila shetani na mbuyu wake huyo Lucy wake unakuta siwezi gonga Mara mbili
Mkuu Unaweza ukamdharau lakini ungemuona huyo demu wake ndio ungejua kwanini jamaa alikuwa boya kwa huyo manzi
 
Back
Top Bottom