unacheka unamana gani
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 472
- 476
Mkuu usiwasanue, acha wapigwe si wana hela za kuchezea bhanafala kweli huyo, Mwanamke unampelekaje chuo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu usiwasanue, acha wapigwe si wana hela za kuchezea bhanafala kweli huyo, Mwanamke unampelekaje chuo
Mkuu kupenda kunamfanya mtu awe kipofu na ukizingatia jamaa alikuwa na pic ya yamaanaVifuatavyo ni Marufuku kwa mchumba ...!
Apangishiwi nyumba,asomeshwi,ajengewi,
alipiwi vicoba,alipiwi ADA Wala hanunuliwi gari...!
Marufuku Kbs.
Vinavyoruhusiwa ni vitu kama Zawadi Za peni,mkebe au kompasi,calculator, laptop,kitambaa cha Leso,Saa Ya mkononi,viatu,madaftari,Vishikwambi n.k....!
Rafiki yako Mwambie atulize mshono ndo kashapigwa hapo..!
Hakuna kitu kama hicho. Kwanza hayo majina ya Lucy wanakuwa wabovu sana. Labda useme anajua kujiremba ila siyo mzuri, nakataa. Ni mbovu tu.Mkuu Unaweza ukamdharau lakini ungemuona huyo demu wake ndio ungejua kwanini jamaa alikuwa boya kwa huyo manzi
Pic? Unamaanisha nini?Mkuu kupenda kunamfanya mtu awe kipofu na ukizingatia jamaa alikuwa na pic ya yamaana
Kupenda huko mkuufala kweli huyo, Mwanamke unampelekaje chuo
Si mnaambizanaga humu demu mkali ni wa kupiga na kusepa asa mwenzenu ilikuaje?Mkuu Unaweza ukamdharau lakini ungemuona huyo demu wake ndio ungejua kwanini jamaa alikuwa boya kwa huyo manzi
Asimilia kubwa ya Wanawake wanafiki Sana mtu kakutoa mbali kajitoa kwako the end of the day unampiga tukio kama umpendi siumwambie kuliko kula hela zakeKumekucha Tena😂😂😂
Maisha mkuu ingawa hakuwa mimi ila iliniuma as if nimefanyiwa mimi wanawake wengine wa ovyo Sana alafu utakuta akija kufikisha 30+ ataanza kulamika Wanaume sio waoaji wakati alipata nafasi akaichezeaMpe rafiki yako pole.
samahani mkuu, wewe ndiye to yeye?Sawasawa
Mkuu lucy nijina tu nimelitumia lakini jina halisi haitwi hivyo hii ni jamiiforum Unaweza kukuta yupo humu humu so sio vizuri kutumia jina halisi la mtu ni vizuri kulinda privacy ya mtuHakuna kitu kama hicho. Kwanza hayo majina ya Lucy wanakuwa wabovu sana. Labda useme anajua kujiremba ila siyo mzuri, nakataa. Ni mbovu tu.
Mwanamke mzuriPic? Unamaanisha nini?
Ndiyo mkuu,Kuna nn wangu?samahani mkuu, wewe ndiye to yeye?
Mwenzetu alikuwa mbishi jamaa alikuwa amekufa na ameoza kwa huyo manzi kiasi ambacho hata aambiwe nini kuhusu huyo manzi wake hakusikilizi anaona kama unamtaka demu wakeSi mnaambizanaga humu demu mkali ni wa kupiga na kusepa asa mwenzenu ilikuaje?